Kwanini bia lita 5 zinanyweka ndani ya saa na sio maji?

Kwanini bia lita 5 zinanyweka ndani ya saa na sio maji?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Swali fupi sana ila ni la msingi ambalo mtaalam wa afya yakupasa ulifanyie Utafiti uliandikie andiko.

Kwanini ukikaa bar unaweza kupiga safari lager zile kubwa za nusu lita hata 10 Sawa na lita 5 ila haiwezekani kukaa sehemu ukanywa maji Lita 5 labda unywe taratibu asubuhi Mpaka jioni.

Kwa mawazo yangu naona bia ni chakura iliyochanganywa na maji kidogo, labda.
 
Swali fupi sana ila ni la msingi ambalo mtaalam wa afya yakupasa ulifanyie Utafiti uliandikie andiko.

Kwanini ukikaa bar unaweza kupiga safari lager zile kubwa za nusu lita hata 10 Sawa na lita 5 ila haiwezekani kukaa sehemu ukanywa maji Lita 5 labda unywe taratibu asubuhi Mpaka jioni.

Kwa mawazo yangu naona bia ni chakura iliyochanganywa na maji kidogo, labda.
Tumbo la binaadamu haliwezi kupokea ujazo wa lita 5 ndani ya lisaa limoja, haiwezekani mkuu fanya utafiti zaidi
 
Trip za chooni zinakua ngapi? Pia lita tano ni chupa 20 zile kubwa. Yani kreti moja. Je unaweza gida kwa kasi hiyo?
 
Bia/alcohol ina tabia ya kukausha maji mwilini (dehydration) ukinywa utakojoa sana, kadiri mwili unavyopungukiwa maji ubongo unapelekewa taarifa kuwa mwili unahitaji maji so kwa wakati huo utaendelea tena kunywa bia (mzunguko huu ni endelevu) unapoteza maji na bado unakunywa kinywaji kinachokupelekea kupoteza maji.

Hii ni tofauti kidogo na maji, maji hayana dehydrating effect, unapokunywa maji mwili ukifikia hydration level inayohitajika, taarifa inatumwa kwenye ubongo kuwa mwili umepokea kiwango hitajika na hapo ndipo unajikuta umeacha kunywa maji unless kama unataka kujaza tumbo.
 
Bia/alcohol ina tabia ya kukausha maji mwilini (dehydration) ukinywa utakojoa sana, kadiri mwili unavyopungukiwa maji ubongo unapelekewa taarifa kuwa mwili unahitaji maji so kwa wakati huo utaendelea tena kunywa bia (mzunguko huu ni endelevu) unapoteza maji na bado unakunywa kinywaji kinachokupelekea kupoteza maji.

Hii ni tofauti kidogo na maji, maji hayana dehydrating effect, unapokunywa maji mwili ukifikia hydration level inayohitajika, taarifa inatumwa kwenye ubongo kuwa mwili umepokea kiwango hitajika na hapo ndipo unajikuta umeacha kunywa maji unless kama unataka kujaza tumbo.
Nin sababu ya pombe kuwa chanzo kimojawapo cha kuharibu Figo
 
Bia/alcohol ina tabia ya kukausha maji mwilini (dehydration) ukinywa utakojoa sana, kadiri mwili unavyopungukiwa maji ubongo unapelekewa taarifa kuwa mwili unahitaji maji so kwa wakati huo utaendelea tena kunywa bia (mzunguko huu ni endelevu) unapoteza maji na bado unakunywa kinywaji kinachokupelekea kupoteza maji.

Hii ni tofauti kidogo na maji, maji hayana dehydrating effect, unapokunywa maji mwili ukifikia hydration level inayohitajika, taarifa inatumwa kwenye ubongo kuwa mwili umepokea kiwango hitajika na hapo ndipo unajikuta umeacha kunywa maji unless kama unataka kujaza tumbo.
And this is the answer. Keep it up, lkn badili Hilo jina la MastaKiraka
 
Bia/alcohol ina tabia ya kukausha maji mwilini (dehydration) ukinywa utakojoa sana, kadiri mwili unavyopungukiwa maji ubongo unapelekewa taarifa kuwa mwili unahitaji maji so kwa wakati huo utaendelea tena kunywa bia (mzunguko huu ni endelevu) unapoteza maji na bado unakunywa kinywaji kinachokupelekea kupoteza maji.

Hii ni tofauti kidogo na maji, maji hayana dehydrating effect, unapokunywa maji mwili ukifikia hydration level inayohitajika, taarifa inatumwa kwenye ubongo kuwa mwili umepokea kiwango hitajika na hapo ndipo unajikuta umeacha kunywa maji unless kama unataka kujaza tumbo.
Kwanini maji hayana dehydrating effect na bear yenye 95% maji ina dehdrating effect?........mkuu sitasema kwamba unatupiga kamba ila fafanua zaidi hiyo 5% ya bear inacontent gani ya kuleta dehydration katika mwili wa binaadamu.
 
Nin sababu ya pombe kuwa chanzo kimojawapo cha kuharibu Figo
Maji hayana essential soutes za kufanya mkojo utengenezwe, kunywa maji mengi ndani ya muda mfupi hupelekea mchanganyiko mbovu wa solutes hali inayopelekea figo zako kushindwa kutoa mkojo wa haraka kwa ziada, matokeo yake utabaki umevimba tumbo.

Hii ni kinyume kwenye suala la bia, bia ina solutes muhimu ambazo hupelekea mkojo kutengenezwa kwa haraka, so figo zako zitakuwa busy hali inayoweza kupelekea kuichosha figo na kuleta madhara. Ukinywa kwa pupa utapata matokeo kwa pupa pia
 
Kwanini maji hayana dehydrating effect na bear yenye 95% maji ina dehdrating effect?........mkuu sitasema kwamba unatupiga kamba ila fafanua zaidi hiyo 5% ya bear inacontent gani ya kuleta dehydration katika mwili wa binaadamu.
Kumbuka hiyo asilimia 5 ni alcohol , ukiitazama kwa udogo wake unaweza kusema 'Nikilamba sumu (polonium) kidogo sitopata madhara tofauti na nikilamba zaidi' effect ni zile zile kitakachobadilika ni muda tu wa reaction/end results kutokea.
 
Kwa mawazo yangu naona bia ni chakura iliyochanganywa na maji kidogo, labda.
Maji Lita 5 namaliza ndani ya Nusu saa Ila BIA Lita 5 hata unipe siku nzima simalizii nitajitahidi sana robo glass, inategemea na mazoea tu
 
BTW: hayo maelezo yasiwatishe, nimeyatoa mtandaoni tu, Ila linapokuja suala la Bia mimi mwenyewe ni mnywaji mzuri tu
 
Back
Top Bottom