Kwanini bia lita 5 zinanyweka ndani ya saa na sio maji?

Ni vile calories zinazopatikana kwa beer haziwezi kuwa converted glycogen, ni empty calories.

Hivyo mwili una zi treat kama fat, yaani alcohol sugar ina kuwa converted fat acids.

Ndio maana unaweza kupiga lita nyingi the same time utazitoa kwa njia ya mkojo maana kiuhalisia mwili hauzihitaji, nafikiri hii ndiyo inaweza kuwa sababu.
 
Miaka ya Nyuma kuna Ticha mmoja aliwahi tuuliza Swali moja kuwa Why a drunker person urinate frequently!?

Jibu la hili swali ndio linajibu kwanini mtu anaweza Gida Bia hata Crate hata kama ni masaa ma6 ila hawezi kunywa Soda hata 5 kwa saa3!!

Iko hivi Consumptions ya Alcohol huwa inainhibit secretions ya ADH/antidiuretic hormones na hii hooni hufanya zile loop of henle kwenye Nephron/kidneys kuwa Imparmeable to water hivyo kiasi cha mkojo kitakuwa kingi na mtu atakojoa kila mara humalizi lazima uwe na round ya Toi hapo utazigida haswaa bila kuhisi kama umejaa sana!!
 
Sababu ya msingi kabisa nikiwa kama mtaalamu wa vinywaji hapa TBS ni kwamba bia tamu sana wakati maji hayana radha yoyote Ile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…