Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Ndiyo ushahidi huo umetowa?Wanaojadiliwa ni waarabu sio kadinali Pengo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ushahidi huo umetowa?Wanaojadiliwa ni waarabu sio kadinali Pengo.
Hata nikikupa ni kazi bure tu. kama una nia sana ya ushahidi kuna maoni mengi yametolewa humu kuhusu biashara ya utumwa ni kazi kwako kuyafatilia.Ndiyo ushahidi huo umetowa?
Si ulisema unao ushahidi Na nikakuambia ulete Huo ushahidi, mbona unaanza kurusha vichwa hewani?Hata nikikupa ni kazi bure tu. kama una nia sana ya ushahidi kuna maoni mengi yametolewa humu kuhusu biashara ya utumwa ni kazi kwako kuyafatilia.
Wewe unakujua kwenu ? Si mlizaliwa kwenye mbio Za mwenge Na wengine ni watoto wa makardinali Na mapadrihii biashara haikuwa nzuri, imeleta machotara wengi mno wa kiarabu - yaonekama hawa jamaa walikuwa kila wakifika sehemu wanaamcha mbegu kwa dada zetu.
Sasa hawa machotara hawajui kwako, kama ni maskati, omani ama Tanga, Tabora, Bagamoyo, Kilwa, Igunga au Zenji.
Mfuate uko alipo + nyerere wenu. Imewauma mno muisilamu kuongoza nchi. Mutake musitake ndiyo raisi wenu bandugu, na nimefurai mno yeye kujiita mzanzibari. Ingawa mimi ni mmbara.Tutamkumbuka JPM alitaka tutumie historia yetu na tuache histiria propaganda za wazungu na waarabu.
Asante, haipunguzi ukatili upande wa mnunuzi. Ila tu sioni jinsi injavyopunguza ukatili upande wa mwuzaji. Kuuza mtoto wa jamii yako ?The fact that you have a demand for such kind of a commodity.
Yaani Leo wewe uwe na hitaji la mtoto wa kike wa miaka saba. Halafu uletewe, umnajisi na useme tumlaumu pia aliekuletea.
Unadhani hilo litapunguza ukatili wako?
Kwamba sasa mmegawana ukatili nusu Kwa nusu.
Kwanini uwe na hitaji hilo? Bila hitaji hilo, usingeuziwa.
Asante, haipunguzi ukatili upande wa mnunuzi. Ila tu sioni jinsi injavyopunguza ukatili upande wa mwuzaji. Kuuza mtoto wa jamii yako ?
Na kosa pekee upande wa mnunuzi??
Eee ndugu .....
Hadi Sikonge Tabora wapo[emoji28][emoji119]Hakuna mtu asie na ubaguzi kama mwarab, ndio maana hata hapa Tanzania kuna machotara wengi wa Kiarabu kulikon wa kihindi au Kizungu.
Mwarab ana kizaz kila kona ya Tanzania hii.
Tena wengi sanaHadi Sikonge Tabora wapo[emoji28][emoji119]
Mfuate uko alipo + nyerere wenu. Imewauma mno muisilamu kuongoza nchi. Mutake musitake ndiyo raisi wenu bandugu, na nimefurai mno yeye kujiita mzanzibari. Ingawa mimi ni mmbara.
Lisikieni hili choko
Imekugusa ee,,,Habari ndiyo iyo,, so, acheni chuki zczokuwa na maana.
Huna akili mnaleta uislamu kwenye nchi hii na ndo maana mnekataza makabila makubwa wachagga, wahaya na wanyakyusa wasiongoze kwasababu population yao kubwa ni wakristo. Mnajua wakiongoza nchi wataleta maendeleo nchi nzima na sio pwani peke yake
Watumwa takribani 2m walitoka afrika mashariki kwenda marekani..arabuni no kiduchu sanaWatumwa waliopelekwa uarabuni walikuwa wachache sana.