Kwanini Biashara ya Watumwa ya Waarabu haiongelewi shuleni?

Kwanini Biashara ya Watumwa ya Waarabu haiongelewi shuleni?

Kuna professor alisema "Islam is to a man like rabid to a dog" yaani Uislam akilini mwa binadamu Ni kama Ukichaa akilini mwa mbwa...Yani kupona Ni miujiza
Mimi nasema Uislam Ni Zaidi ya Opium Na Heroin kichwani

Ni kweli kabisa kwani ukristo ndio super na akili kubwa , unaruhusu mwanaume aolewe na mwanaume mwenzake tena kanisani👍
👍👍💪💪


4267947594_92553f8abe_w.jpg
 
Kwahyo Kwa logic zako kama jamaa hakuwepo ndo hamna ushahidi basi hata wazungu hawakufanya utumwa... inshort utumwa hakuwahi kutokea

Kwa wazungu ushahidi utaupata,,,kwa waarabu ushahid haupo. Icpokuwa Mmekaririshwa hukoo mashuleni cjui makanisani kuwa waarabu ndiyo waritesa na kuwahac mababu. Je, hao waliohacwa wako wapi ivi sasa!!!! Uarabuni kuna waarabu weuc, wanazaa kama kawa, wana hella za kumwaga. Sasa niambie hao wa2mwa walioteswa na kuhacwa wasizae wako wapi ivi sasa?
 
Kwa wazungu ushahidi utaupata,,,kwa waarabu ushahid haupo. Icpokuwa Mmekaririshwa hukoo mashuleni cjui makanisani kuwa waarabu ndiyo waritesa na kuwahac mababu. Je, hao waliohacwa wako wapi ivi sasa!!!! Uarabuni kuna waarabu weuc, wanazaa kama kawa, wana hella za kumwaga. Sasa niambie hao wa2mwa walioteswa na kuhacwa wasizae wako wapi ivi sasa?
Hao weusi uarabuni walienda kutalii?
 
Nadhani mnataka kupotosha ukweli kwa manufaa/maslahi ya kidini au aidha ukweli hamuufahamu. Kuna sehemu kubwa ya utumwa wa mwarabu dhidi ya mtu mweusi ambao baadhi ya machifu wa kiafrika walihusika haupo kabisa kwenye mitaala yetu.

Wengi wetu tunalazimishana kwamba waarabu walikuwa wema na wakaleta dini ya kiislamu ambayo haikubagua mtu na kuwafanya hata wale weusi wawe waarabu kama wao. Namna nyingine naweza kusema kwamba ndugu zetu wengi waislamu wanaamini kwamba ASSIMILATION ilianza na waarabu kabla ya wafaransa. Lakini tukubali na kusema labda hili lina chembe ya ukweli, hata hivyo maswali mengi sana yanabaki.

Mfano hai kabisa, UASI WA WAZENJI (THE ZANJ REBELLION) mnamo karne ya 9 uliofanywa na watumwa wa kiafrika (Bantu Speaking) huko nchini Iraq. Inasemekana hawa watumwa walikamatwa kimabavu kutoka pwani ya Afrika Mashariki na kupelekwa kwenye Kalifeti ya Abbas (Abbasid Caliphate) kuwafanyia kazi mabwanyenye wa kiislamu na kiarabu (HUU NDIYO UKWELI MCHUNGU). Kufika kule waliteswa, kuuwawa na kutumikishwa.

Vyanzo vinasema baada ya Kalifeti ya Abbas kuanza kuishiwa na nguvu kwasababu ya vita ya wao kwa wao hawa weusi wakaasi. Unaambiwa huu ulikuwa uasi mkubwa kuwahi tokea kule nchini Iraq, kiufupi watu weisi waliwachinja hawa waarabu kulipiza kisasi. Ali Ibn Muhamad ambaye alikuwa ni muajemi aliwatumia watu weusi kupambana na maadui zake wa kiarabu kwa kuwaambia watu weusi kwamba yeye binafsi anaamini kwamba hata mtu mweusi ana haki ya kuwa tajiri na anaweza hata kuwa Kalifa (Caliph).

Huu uasi huwa naufananisha na ule wa Roma chini ya SPARTACUS ambaye alikuwa mwanajeshi akauzwa utumwani kuwatumikia mabwanyeye wa kirumi. Hawakushinda hadi mwisho, lakini waliwapa waroma kile walichostahili. Hivyo kama biashara ya UTUMWA HAIKUFANYWA NA MWARABU HAO WATU WEUSI KWA MAELFU YAO WALIENDA HUKO IRAQ KUTALII ???


Waafrika huwa siwalewi kabisa kutetea udhalimu unaofanywa kupitia mgongo wa dini. Haya mambo hayako kwenye mtaala lakini ninyi wenzangu mnakomaa nini ???

Kama alivyosema mtoa mada, haya mambo ni lazima yafundishwe ili watoto wetu na vizazi vayo wafahamu kabisa bayana maadui zao ni wakina nani. Kwamba inawezekana kugeuza kabisa kibao kwa hao maadui zao wanaowatumikisha hata leo hii, na wanapopata nafasi ya kufanya hivyo wasisite kabisa.

Muhumu kabisa ni lazima watoto wetu wafundishwe haya, ili nao wenyewe wasije wakaingia kwenye mtego wa kujiona ni binadamu bora kuliko wengine. Kwamba wakijiingiza kwenye huu mfumo wa kishenzi basi shingo zao ni lazima zitakuwa rehani kwasababu MUNGU HADHIHAKIWI.
Mkuu unachotakiwa kufahamu ni kuwa Waarabu hawakuleta wala kuanzisha biashara ya utumwa Afrika Mashariki na Kati. Sisi magwiji wa historia tunafahamu kuwa utumwa ulikuwepo Afrika Mashariki na Kati kabla ya karne ya saba ambapo Waarabu walianza kuja. Kuna makabila yalikuwa yanamiliki watumwa yaani slave owning societies kwa mfano Wanyakyusa, Wanyamwezi na wengineo (Rejea: Development of East African Societies to the ninteeth and twentieth Century kilichotolewa na TIE enzi zile kilikuwa na jalada jekundu, mimi nilikisoma 1994). Kwenye hicho kitabu kilichoandikwa na wataalam wetu zimetajwa jamii zote zilizokuwa zina mfumo wa utumwa. Mwarabu alipokuja aliukuta utumwa upo na yeye akaingia kwenye hiyo biashara akiuziwa na machifu.

Unachotakiwa kuelewa ni kuwa utumwa ulikuwa ni mfumo wa maisha na ulikuwepo duniani kote hata Ulaya. Ila hakuna biashara mbaya ya utumwa kama ile ya Trans Atlantic Slave Trade. Nenda kasome kitu inaitwa Horrors of the Middle Passage uone unyama waliokuwa wakiufanya wazungu dhidi ya watu weusi. Ukipata muda ingia maktaba kule UD utaona encyclopedia kibao kuhusu Trans Atlantic Slave Trade na volumes zingine utashangaa jinsi walivyotunza rekodi za unyama wao.
 
WAAFRIKA NDIO ZAIDI WABAGUZI WAUWAJI WALEVI WAPENDA UASHERATI , MADARAKA

Yanayotokea huku wa2 kukatana mapanga kisa mapenzi,mashamba na mifugo hawayaoni!!!,, vikongwe, albino kuuawa, na vibaka kupigwa kiberiti,, bosi anauawa zidi ya houseboy/house boy anauawa zidi ya bosi wake. Tatizo chuki zimewajaa hakuna kingine,,,na ndiyo maana wa sampuli iyo hawaendelei wanakufa mackini.
Hao weusi uarabuni walienda kutalii?

Nimekuuliza nawe unauliza??? Vp mzehe bado una ucngizi!!! Chuki mlizonazo ata majibu yenyewe mnakoswa.

Nauliza tena; hao watumwa walioteswa na kuhacwa wako wapi uarabuni?? Walioko huko wanazaana kama kawaida. Maisha yao ni mazuli, wana magali, manyumba, hella za kumwaga. Wewe hapo unaeraramika una nini??? Mara nyingi waco na kazi za kufanya ndiyo wanaongelea huu upuuzi wa slaves.
 
Yanayotokea huku wa2 kukatana mapanga kisa mapenzi,mashamba na mifugo hawayaoni!!!,, vikongwe, albino kuuawa, na vibaka kupigwa kiberiti,, bosi anauawa zidi ya houseboy/house boy anauawa zidi ya bosi wake. Tatizo chuki zimewajaa hakuna kingine,,,na ndiyo maana wa sampuli iyo hawaendelei wanakufa mackini.


Nimekuuliza nawe unauliza??? Vp mzehe bado una ucngizi!!! Chuki mlizonazo ata majibu yenyewe mnakoswa.

Nauliza tena; hao watumwa walioteswa na kuhacwa wako wapi uarabuni?? Walioko huko wanazaana kama kawaida. Maisha yao ni mazuli, wana magali, manyumba, hella za kumwaga. Wewe hapo unaeraramika una nini??? Mara nyingi waco na kazi za kufanya ndiyo wanaongelea huu upuuzi wa slaves.
Sawa wewe mwenye mapenzi na dini..watu wakiwa wanaongelea histoical facts za slavery usipitishe pua maana hazifundishwi madrassa hizi.
 
Sawa wewe mwenye mapenzi na dini..watu wakiwa wanaongelea histoical facts za slavery usipitishe pua maana hazifundishwi madrassa hizi.

History gani izo ziczo na kichwa wala miguu,,,ndiyomana napojadiliana nanyi jambo la kwanza kabisa nipatiwe facts with evidence.


Wewe hapo hujashuudia hayo ma2kio bali umehadithiwa/unafuata mkumbo/unafuata historia za kusadikika na kujazwa chuki makanisani/mashuleni sindiyo chifu!!!!


So,, Acha kupoteza muda wako kujadili huu upuuzi fanya kazi ujenge taifa kijana.
 
Sijui kwa nini baadhi ya waislam wanaona kuwatetea waarabu ni sawa na kutetea dini. Ni utumwa wa kifikra ambao ni mbaya kuliko hata wa babu zetu. Kuna ushahidi mwingi mno juu ya biashara ya utumwa aliyoifanya mwarabu kipindi hiko na hata leo, ni basi tu fikra za kitumwa hazina macho hata ukiwaletea ushahidi gani bado watawatetea tu waarabu.
 
Tutamkumbuka JPM alitaka tutumie historia yetu na tuache histiria propaganda za wazungu na waarabu.
 
Sijui kwa nini baadhi ya waislam wanaona kuwatetea waarabu ni sawa na kutetea dini. Ni utumwa wa kifikra ambao ni mbaya kuliko hata wa babu zetu. Kuna ushahidi mwingi mno juu ya biashara ya utumwa aliyoifanya mwarabu kipindi hiko na hata leo, ni basi tu fikra za kitumwa hazina macho hata ukiwaletea ushahidi gani bado watawatetea tu waarabu.
Ushahidi huo alikupa Kardinal wako Pengo ??
 
Tutamkumbuka JPM alitaka tutumie historia yetu na tuache histiria propaganda za wazungu na waarabu.
Toka lini JPM akawa na historia , labda ya kutaka kumuua Lisu kwa kumpiga risasi
 
Mwarabu hakumpeleka mtu mweusi kwao na ndio maana hakuna race ya black uko arabuni, mwarabu alimuuzia mzungu..

Pia ayo ndio mambo yanayotudumaza waafrica, tunasoma vitu visivyo na tija wakat wenzetu wanakomaa na technologia
kwani ukiangalia kwamfano watu wa Oman unaonaje? Ile breed ni pure? Huoni kuna weusi ndani yake?
 
Mkuu unachotakiwa kufahamu ni kuwa Waarabu hawakuleta wala kuanzisha biashara ya utumwa Afrika Mashariki na Kati. Sisi magwiji wa historia tunafahamu kuwa utumwa ulikuwepo Afrika Mashariki na Kati kabla ya karne ya saba ambapo Waarabu walianza kuja. Kuna makabila yalikuwa yanamiliki watumwa yaani slave owning societies kwa mfano Wanyakyusa, Wanyamwezi na wengineo (Rejea: Development of East African Societies to the ninteeth and twentieth Century kilichotolewa na TIE enzi zile kilikuwa na jalada jekundu, mimi nilikisoma 1994). Kwenye hicho kitabu kilichoandikwa na wataalam wetu zimetajwa jamii zote zilizokuwa zina mfumo wa utumwa. Mwarabu alipokuja aliukuta utumwa upo na yeye akaingia kwenye hiyo biashara akiuziwa na machifu.

Unachotakiwa kuelewa ni kuwa utumwa ulikuwa ni mfumo wa maisha na ulikuwepo duniani kote hata Ulaya. Ila hakuna biashara mbaya ya utumwa kama ile ya Trans Atlantic Slave Trade. Nenda kasome kitu inaitwa Horrors of the Middle Passage uone unyama waliokuwa wakiufanya wazungu dhidi ya watu weusi. Ukipata muda ingia maktaba kule UD utaona encyclopedia kibao kuhusu Trans Atlantic Slave Trade na volumes zingine utashangaa jinsi walivyotunza rekodi za unyama wao.
Sasa wewe gwiji wa historia mbona unatoa taarifa nusunusu tu. Halafu kwanini wewe gwiji wa historia unitajie chanzo kimoja tu cha historia ??? Hili naliacha najikita kwenye hoja ya msingi.

Machifu wa kiafrika kufanya biashara ya utumwa hakuwaondoi waarabu, wazungu wala jamii yoyote ile kwenye uwajibikaji wa huu unyama. Utumwa ni ushenzi wa hali ya juu sana, haijalishi umefanywa na nani.

Halafu sasa nadhani umejikita kwenye mfumo wa uzalishaji (MODE OF PRODUCTION), hii inaonyesha wewe ni mhanga mkubwa wa elimu ya kijamaa. You have allowed Marxism to shape your understanding of history.

Lakini kwasababu umeileta hii hoja basi ntakujibu kupitia hii hoja. Mfumo wa utumwa barani Afrika japo ni mfumo dhalimu, ulikuwa wa tofauti na sehemu nyingine yoyote ile duniani. Afrika walikuwa na utumwa wa kazi (Domestic Slavery), utumwa wa deni (Debt Slavery/Indentured Labour), Utumwa wa vita (War Slavery), Utumwa wa ngono (Prostitution Slavery) na Utumwa wa uhalifu (Criminal Slavery).

Sasa kama wewe umesoma vizuri historia utafahamu jambo moja muhimu: Watumwa wengi wa Afrika walikuwa wanakuja kuwa wanajamii baada ya muda fulani kupita. Hili ndilo lilichangia sehemu nyingi za bara la Afrika kuruka haraka au kutopitia kabisa mfumo wa uzalishaji wa utumwa (Slavery Mode of Production) kwenda kwenye mfumo wa Ukabaila (Feudal Mode of Production).

Waarabu na Wazungu wamefika hapa Afrika, tayari tulikuwa kwenye mfumo wa Ukabaila. Kama umesoma vizuri historia ya tanzania ndiyo utasikia mambo ya ubwanyenye, unyanyembe na umwinyi: Yote hii ilikuwa ni mifumo ya ukabaila na siyo utumwa kama wewe gwiji wa historia unavyotaka kuniaminisha hapa.

Utumwa uliokuwepo Ugiriki, Roma, Uturuki na Uarabuni ulikua utumwa wa mtu-bidhaa (Chattel Slavery), yaani mtu anakuwa mali ya mwenzake ambayo inaweza ikaingizwa sokoni. Sehemu chache za Afrika kama Ufalme wa Kongo ulikuwa na haka kamfumo, japo wenyewe walikuwa wanauza mateka wa vita.

Sasa kabla sijahitimisha, nataka kukupa chakula cha ubongo wewe gwiji wa historia (The Self Appointed Master of History) kwamba utumwa mbaya Afrika haukuwa ule wa bahari ya atlantiki (Trans-Atlantic Slave Trade) wa kuuza watu weusi, bali pia utumwa wa kibabari (The Barbary Slave Trade) ambao uliuza maelfu ya wazungu kwa mabwana wa kiarabu. Huu utumwa ulikuwa chini ya masultani wa kituruki na kiarabu wa Tunisia na Morocco.

Hili halipo kwenye mtaala wetu, na inabidi liwepo maana ni jambo muhimu sana. Watoto wanatakiwa wasome ili wafahamu madhara yake.

Mwisho kabisa, nadhani uko chini ya fikra kwamba mimi nawachukia waislamu na waarabu, nikitetea wazungu. Nadhani huku ni kushindwa kufanya mijadala kisomi na kiuwazi: Kitu kinachoitwa UTUMWA ni laana kabisa, uwe umefanywa na mwafrika, mzungu, mwarabu au mchina. Tena ni jambo la kishenzi kama utakuwa ulifanywa na watu ambao wana dini hizi kubwa kama ukristo na uislamu.

Leo nikitetea utumwa kisa ulifanywa na wahaya, wanyakyusa na wahehe kisa mimi ni mweusi AU ulifanywa na viongozi wa kidini kama Papa na Wafalme wa Ulaya ambao ni wakristo basi MIMI NAMI NITAKUWA MSHENZI MSHENZI TU, tena siyo mshenzi tu bali Mshenzi Baradhuli.

NB: Tunaposoma historia tunazingatia mambo mengi sana kama The Cultural Side, The Philosophical Side, The Moral Side, The Metaphysical Side na siyo The Factual Side only. Tena sisi wasomi wa kiafrika tunapochambua historia au fasihi lazima tuzingatie kitu kiitwacho NEGRITUDE kinacholenga kuwafanya watoto wetu waheshimu utu wao wa kiafrika siyo blah blah tu.
 
hii biashara haikuwa nzuri, imeleta machotara wengi mno wa kiarabu - yaonekama hawa jamaa walikuwa kila wakifika sehemu wanaamcha mbegu kwa dada zetu.

Sasa hawa machotara hawajui kwako, kama ni maskati, omani ama Tanga, Tabora, Bagamoyo, Kilwa, Igunga au Zenji.
 
Kwa ufupi tu watumwa wengi walichukuliwa Afrika kwa madhumuni ya kwenda kufanyishwa kazi za mashambani.

Waarabu kwao ilikua ni jangwa na ukame tu, ni watumwa wachache waliopelekwa huko kufanya kazi za ndani na sio za uzalishaji.

Watumwa wengi walipelekwa zaidi bara la Amerika kusini kwenye mashamba ya miwa.
Arabs walihusika kwenye biashara hii haramu, walipeleka watumwa hata Uarabuni ila wao waliwahasi watumwa wao ndio maana Arabuni hakuna Waafrica, very sad.
 
Hata leo hii Waafrica wanakwenda kufanya kazi za ndani Arabuni hupitia mateso amkubwa na ya ajabu mno. Soma issues za human trafficking utalia machozi.
 
Sijui kwa nini baadhi ya waislam wanaona kuwatetea waarabu ni sawa na kutetea dini. Ni utumwa wa kifikra ambao ni mbaya kuliko hata wa babu zetu. Kuna ushahidi mwingi mno juu ya biashara ya utumwa aliyoifanya mwarabu kipindi hiko na hata leo, ni basi tu fikra za kitumwa hazina macho hata ukiwaletea ushahidi gani bado watawatetea tu waarabu.

Wewe ni kijana mdogo sana, ukiurizwa ulikuwepo wakati wanateswa mababu utajibu nini!!!! C utakimbilia vijitabu vya kihistoria hata kama havina ukweri wowote 😁 na huko in the church's na schools huwa munadanganywa co 😁 kusema ukweri munawachukia mno waarabu na munajuwa kabisaa hawakuhusika na hayo maovu.


Nachoshukuru waarabu wameleta uisilamu bara la afrika hususani afrika ya mashariki n.k. Mungu awabariki na awarinde, na awaepushe na mabaya zidi ya wanaowapiga vita.
 
Back
Top Bottom