Kwanini Biashara ya Watumwa ya Waarabu haiongelewi shuleni?

Kwanini Biashara ya Watumwa ya Waarabu haiongelewi shuleni?

Wapo Uarabuni wengi tu.
Namaanisha kuanzia Sudan, Mauritania,Algeria, Misri, Libya, Morocco, Yemen, Saudi Arabia, Oman, Iraq.
Kote huko kuna watu weusi ambao kiasili waliletwa kama watumwa. Wengine wengi ni watumwa mpaka leo.
Siamini kama hujui hilo.

Duhh,,hizi tozo zinawafanya muongee vi2 sivyo kabisaa, ni heri mama samia arekebishe haraka.


Ulienda nchi za waarabu ukawakuta hao watumwa? Yaani wewe ukiona mtu mweuc unazani ni mwafrika wa kutoka afrika!!!! Kwani hakuna wasaudia wenye asili ya weuc, waomani waalgeria, watunisia, wamorocco n.k!!!. Mcpende kukaririshwa vi2 vya kipumbafu. Fanya kazi acha mambo yakizamani, huko makanisani na mashuleni ndipo munapofundishwa huu ujinga ee!!!!
 
Utofauti mkubwa uliopo kati ya wazungu ni waarabu ni huu: UUNGWANA WA KUKIRI MAKOSA.
Baadhi ya wazungu wamekiri kabisa kwamba walihusika na kufanya unyama mkubwa dhidi ya binadamu wenzao kipindi cha biashara ya utumwa. Wengine wameenda mbali hadi kulipa fidia.

Kama huku, wazungu wengi wanaosumbua kukiri makosa haya ni wale wafia dini: walokole, wayahudi, wakatoliki na waluteli ambao huamini kwamba wana haki ya kimungu ya kutawala binadamu wengine: Divine Purpose/Manifest Destiny. Lakini sehemu kubwa ya wazungu wameanza kuamka.

Mwisho kabisa, kuwa ni kizazi kila kona haithibitishi kwamba wewe siyo mbaguzi. Leo hii katika kila wachina mia mbili (200), basi walau mmoja (1) ni mjukuu wa Gengis Khan. Lakini hadi kuwapata hao wajukuu Mongols walibaka, kuua na kuteka. Lakini leo hii anaweza akainuka mtu akasema Mongols walikuwa siyo wabaguzi kwasababu kila kona ya Asia na Ulaya Mashariki kuna vitukuu vyake.

Ukweli huwa unauma sana hasa pale unapokinzana na mapokeo ya kidini, lakini ndiyo hivyo: Ukweli ni Ukweli tu hata kama utaukataa. Japo nafahamu watumwa wa kifikra wapo wengi sana.
Mkuu Bora umemjibu manaake nilikua nafikiria jinsi ya kumjibu kwakuongezea tuu mm nilisoma na jamaa linalotoka huko pemba aisee lilejamaa lilikua linanibagua sana
 
Yaani nikiona jitu jeusi Tena limatumbi linawatetea hao washenzi hua naghadhabika Sana,
Japo watu weusi tulikua na tuna matatizo yetu ila ule ushenzi waliotufanyia jamii za watu wa Mashariki ya kati na Ulaya haukubaliki
Vingine nitapotezea kulingana na mabadiliko ya kiteknologia ila kuhusu dini hapo hapana sikubaliani haiwezekani Mungu wao awe wetu,dini zao ziwe zetu
Maana kipimo sahihi Cha jamii inayojitambua ni dini ukiona jamii flani inaabudu dini za jamii nyingine ujue hapo Pana matatizo makubwa Sana na mvurugano sio wa kitoto maana matabaka huanzia hapo!

Unachekesha mno kijana. Cku ukifa ndiyo utajuwa mbivu na mbichi.


3_19.gif

19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19


3_20.gif

20. Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake. 20


3_21.gif

21. Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali. 21


3_22.gif

22. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru. 22


3_23.gif

23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa. 23


3_24.gif

24. Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua. 24


3_25.gif

25. Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa. 25


3_26.gif

26. Sema: Ewe Mwenyezi Mungu uliye miliki ufalme wote! Wewe humpa ufalme umtakaye, na humwondolea ufalme umtakaye, na humtukuza umtakaye, na humuangusha umtakaye. Kheri yote iko mikononi mwako. Hakika Wewe ni Muweza wa kila kitu. 26


3_27.gif

27. Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na maiti, na humtoa maiti kutokana na aliye hai. Na unamruzuku umtakaye bila ya hisabu. 27


3_28.gif

28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao. Na Mwenyezi Mungu anakuhadharisheni naye. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu. 28





3_29.gif
 
Mkuu Bora umemjibu manaake nilikua nafikiria jinsi ya kumjibu kwakuongezea tuu mm nilisoma na jamaa linalotoka huko pemba aisee lilejamaa lilikua linanibagua sana

Mtawachukia sana waarabu/waisilamu na kuupiga vita uisilamu lakini mujuwe yakwamba munapoteza muda wenu. Fanyeni kazi acheni majungu na roho za kwanini/ kuoneana wivu na chuki kwa ujumla.
 
Duhh,,hizi tozo zinawafanya muongee vi2 sivyo kabisaa, ni heri mama samia arekebishe haraka.


Ulienda nchi za waarabu ukawakuta hao watumwa? Yaani wewe ukiona mtu mweuc unazani ni mwafrika wa kutoka afrika!!!! Kwani hakuna wasaudia wenye asili ya weuc, waomani waalgeria, watunisia, wamorocco n.k!!!. Mcpende kukaririshwa vi2 vya kipumbafu. Fanya kazi acha mambo yakizamani, huko kanisani kwenu na mashuleni ndivyo munsvyofundishwa huu ujinga ee!!!! Mtateseka sana.
Kwa hiyo wewe umekaa ukafikiri kwa kina ukajiaminisha kabisa kuwa mimi nimesema huko bara arabu na maghreb kuna watumwa kwa sababu kuna watu weusi mitaani? Kwa hiyo Marekani na Brazil kuna watumwa kwa sababu kuna watu weusi mitaani?

Halafu mambo ya Kanisa yamekujaje? Akiguswa muarabu tu basi mnakuwa wakali wakati waislamu wengi siyo waarabu. Dunia hii waislam wengi ni wahindi.
Halafu kiutamaduni tu, waarabu kama zilivyo jamii nyingi duniani wana utamaduni wa kuwa na watumwa, hasa wavulana wadogo na wanawake.
Hata vitabu vingi tu vya dini vinaongelea utumwa kama mfumo wa maisha. Sasa wewe unatumia elimu gani kusema kulikuwa hamna biashara ya watumwa kwenda uarabuni?
Jitahidi kuielewa dunia unayoishi, ukifanya hivyo vizazi vyako vitakuwa na mafanikio. Usiishi kipuuzi puuzi.
 
washenzi wale hawakupenda babu zetu wajichanganye na damu zao,.waliishia kuwaharibu uzazi wanaume ili wasiwazalishe binti wa kiarabu, watoto waliozaliwa machotara waliuwawa na wanawake weusi kutumika kama machangudoa na malaya wa bure,.

mambo mengi ya utumwa hutoona yakiongelewa wazi kwenye vitabu vyao vyakipuuzi(history), lkn ukitaka ukweli, tafta ushahidi nje ya box, kwa kuwauliza babu zako ambao walipata stori hizo jinsi ndugu zao walvyofanya.

ngozi nyeupe wote si watu bali ni binadamu, haijalishi wametenda vipi, au wanafanania vip na mtu mweusi, lkn ujue kuwa races nyeupe haina sifa ya utu genetically, kwakuwa inakosa sifa kamili za kiumbe hai(black).

hata vitabu vyao vya dini vimehalalisha utumwa kwa mtu mweusi, basi tu waafrika sjui wamelogwa, hawataki kuusikia ukwel, wamekazana kupinga na kusema et utumwa ulishapita, mngejua machungu waliyopitia babu zetu, msingekuwa wepesi wa kuchukua izo imani za watesi , wetu.

maelfu ya watu weusi walichukuliwa utumwani idadi ambayo, kma ingeweza kusurvive, basi afrika ingekuwa na watu weusi wengi kulko bara lolote.

watu weupe, hasa jamii za kiarabu, walimega ardhi zetu na kujimilkisha wao kinguvu, mfano maeneo ya misri,somalia, nk, walivyo wapuuzi hawa mabeberu wakiarabu walianza mpka kujimilikisha historia zetu, mfano kule misri, walicopy historia za mafarao weusi, kwa kushirikiana na mabeberu ya italia roma hatimae kuunda stori feki za musa wa biblia na Qur'an kuwa aliwakomboa wayahudi utumwani kwa firauni(farao) aliewatesa hao wayahudi kwa miaka400.

stori hii ni uongo maana ilitungwa ili kuuchafua ufalme kongwe wa dunia, ambao ulkuwa afrika jimbo la misri ya kale, falme hii ndyo ilkuwa na itakuwa kongwe zaid ya zote, maana ndyo chanzo cha starabu zote, na chanzo cha technologies zote duniani

kihistoria hakuna ushahid wa mtu mweupe kuteswa misri(afrika) wala hakuna ushahidi popote pale unaoonesha kuwa barani Afrika kumewahi fanyika utumwa wa myahudi kwa miaka400 according to tje Bible, lkn ushahidi wa kweli unaonesha ni muafrika tu ndye aliyeteswa utumwan kwa miaka400, kwahiyo izo stori zao zakipuuzi za kuwachafua babu zetu kuwaita mafirauni na wachawi, ni uongo na hazina shahidi.

hata izo biblia znashindwa kusibitisha hizo hadithi za utumwa wa waisrael misri, hadithi izi, ukizisoma kwa kutumia akili bila kushikamana na mahaba ya dini, basi utagundua kuna uongo mkubwa sana,

biblia zinasema utumwa ulianza pale musa alipozaliwa tu ambapo watoto wadogo waliuliwa ili kuzuia ongezeko la waisrael, na utumwa kukoma pale musa alvyowakomboa kutoka kwa farao, swali je musa aliishi miaka400?kwa mujibu wa utumwa tangu uanze alipozaliwa?

biblia husema kuwa wale waisrael waliokwenda kuomba chakula kwa nduguyo yusuph huko misri, walkuwa watu70,na walkuja kufa wote baada ya muda fulan, swali je hao watumwa wakiisrael waltoka wapi kama watu wote walioenda kuomba chakula walkufa?

baaz ya wale watu70 kwa mujibu wa biblia, walimuona musa[emoji23][emoji23], yaan hao watu kusema waliweza nao kusurvive kwa miaka400? stupidity

Bible & Qur'an ni uongo, hiv n vitabu special kwa kumtawala kiakil mtu mweusi na kumsahaulisha asili yake, aegemee kwnye miungu ya kibeberu isiyo na nguvu, miungu yakitumwa

ukwel mchungu
Eee bhanaaa eeeee makofi kwako ndugu[emoji375]
 
Kwa hiyo wewe umekaa ukafikiri kwa kina ukajiaminisha kabisa kuwa mimi nimesema huko bsara arabu na maghreb kuna watumwa kwa sababu kuna watu weusi mitaani? Kwa hiyo Marekani na Brazil kuna watumwa kwa sababu kuna watu weusi mitaani?

Halafu mambo ya Kanisa yamekujaje? Akiguswa muarabu tu basi mnakuwa wakali wakati waislamu wengi siyo waarabu. Dunia hii waislam wengi ni wahindi.
Halafu kiutamaduni tu, waarabu kama zilivyo jamii nyingi duniani wana utamaduni wa kuwa na watumwa, hasa wavulana wadogo na wanawake.
Hata vitabu vingi tu vya dini vinaongelea utumwa kama mfumo wa maisha. Sasa wewe unatumia elimu gani kusema kulikuwa hamna biashara ya watumwa kwenda uarabuni?
Jitahidi kuielewa dunia unayoishi, ukifanya hivyo vizazi vyako vitakuwa na mafanikio. Usiishi kipuuzi puuzi.

Hao watumwa wavulana wadogo na wanawake unamaanisha wakina nani na wanafanyishwa kazi gani???
 
washenzi wale hawakupenda babu zetu wajichanganye na damu zao,.waliishia kuwaharibu uzazi wanaume ili wasiwazalishe binti wa kiarabu, watoto waliozaliwa machotara waliuwawa na wanawake weusi kutumika kama machangudoa na malaya wa bure,.

mambo mengi ya utumwa hutoona yakiongelewa wazi kwenye vitabu vyao vyakipuuzi(history), lkn ukitaka ukweli, tafta ushahidi nje ya box, kwa kuwauliza babu zako ambao walipata stori hizo jinsi ndugu zao walvyofanya.

ngozi nyeupe wote si watu bali ni binadamu, haijalishi wametenda vipi, au wanafanania vip na mtu mweusi, lkn ujue kuwa races nyeupe haina sifa ya utu genetically, kwakuwa inakosa sifa kamili za kiumbe hai(black).

hata vitabu vyao vya dini vimehalalisha utumwa kwa mtu mweusi, basi tu waafrika sjui wamelogwa, hawataki kuusikia ukwel, wamekazana kupinga na kusema et utumwa ulishapita, mngejua machungu waliyopitia babu zetu, msingekuwa wepesi wa kuchukua izo imani za watesi , wetu.

maelfu ya watu weusi walichukuliwa utumwani idadi ambayo, kma ingeweza kusurvive, basi afrika ingekuwa na watu weusi wengi kulko bara lolote.

watu weupe, hasa jamii za kiarabu, walimega ardhi zetu na kujimilkisha wao kinguvu, mfano maeneo ya misri,somalia, nk, walivyo wapuuzi hawa mabeberu wakiarabu walianza mpka kujimilikisha historia zetu, mfano kule misri, walicopy historia za mafarao weusi, kwa kushirikiana na mabeberu ya italia roma hatimae kuunda stori feki za musa wa biblia na Qur'an kuwa aliwakomboa wayahudi utumwani kwa firauni(farao) aliewatesa hao wayahudi kwa miaka400.

stori hii ni uongo maana ilitungwa ili kuuchafua ufalme kongwe wa dunia, ambao ulkuwa afrika jimbo la misri ya kale, falme hii ndyo ilkuwa na itakuwa kongwe zaid ya zote, maana ndyo chanzo cha starabu zote, na chanzo cha technologies zote duniani

kihistoria hakuna ushahid wa mtu mweupe kuteswa misri(afrika) wala hakuna ushahidi popote pale unaoonesha kuwa barani Afrika kumewahi fanyika utumwa wa myahudi kwa miaka400 according to tje Bible, lkn ushahidi wa kweli unaonesha ni muafrika tu ndye aliyeteswa utumwan kwa miaka400, kwahiyo izo stori zao zakipuuzi za kuwachafua babu zetu kuwaita mafirauni na wachawi, ni uongo na hazina shahidi.

hata izo biblia znashindwa kusibitisha hizo hadithi za utumwa wa waisrael misri, hadithi izi, ukizisoma kwa kutumia akili bila kushikamana na mahaba ya dini, basi utagundua kuna uongo mkubwa sana,

biblia zinasema utumwa ulianza pale musa alipozaliwa tu ambapo watoto wadogo waliuliwa ili kuzuia ongezeko la waisrael, na utumwa kukoma pale musa alvyowakomboa kutoka kwa farao, swali je musa aliishi miaka400?kwa mujibu wa utumwa tangu uanze alipozaliwa?

biblia husema kuwa wale waisrael waliokwenda kuomba chakula kwa nduguyo yusuph huko misri, walkuwa watu70,na walkuja kufa wote baada ya muda fulan, swali je hao watumwa wakiisrael waltoka wapi kama watu wote walioenda kuomba chakula walkufa?

baaz ya wale watu70 kwa mujibu wa biblia, walimuona musa[emoji23][emoji23], yaan hao watu kusema waliweza nao kusurvive kwa miaka400? stupidity

Bible & Qur'an ni uongo, hiv n vitabu special kwa kumtawala kiakil mtu mweusi na kumsahaulisha asili yake, aegemee kwnye miungu ya kibeberu isiyo na nguvu, miungu yakitumwa

ukwel mchungu
Kuhusu utumwa was wayahudinmiaka mia nne sio kweli, ili ni kweli waliishi misri miaka mia nne..ila sio kwamba waliteswa miaka yote walianza kuteswa tu baadae ya kuanza utawala WA farao ambaye hakutokana na lineage ya farao aliyewakaribisha
 
Ina maana sylubas za shuleni zimebadirika kiasi hiki? Mbona mimi nimesoma sana biashara ya UTUMWA!? Unafahamu hata ilipopita reli ya kati from Dar to Kigoma ilikua njia ya watumwa? Shule hizi bhana
 
Mwarabu hakumpeleka mtu mweusi kwao na ndio maana hakuna race ya black uko arabuni, mwarabu alimuuzia mzungu.
Walipelekwa kiasi huko Uarabuni, ila hakuna uzao wao kule maana ME walihasiwa ili wasije kuingilia KE waarabu, wakawa wanatumikishwa tu na kuliwa na mabwana zao.

KE watumwa pia walipewa dawa za kuua uzazi
 
Hao watumwa wavulana wadogo na wanawake unamaanisha wakina nani na wanafanyishwa kazi gani???
Kazi za ndani.
Kwa siku za karibuni, nchi kama Saudi Arabia, UAE, Oman hazina watumwa wa aina hii kutokana na maendeleo makubwa ya kiuchumi ambayo huleta maendeleo ya kijamii automatically.
Lakini waarabu wa Yemen, Sudan, Mauritania na sasa Libya bado wana watumwa wa kibantu wengi tu. Hapa namaanisha watu/binadamu waliopo kwenye bondage.
Hata waarabu wa Niger na kidogo Chad bado kuna watumwa wapo kabisa kwenye minyororo nenda YouTube zipo documentaries nyingi sana zikiwaelezea ingawa wanafichwa ila wapo wamefikiwa na watu wengi tu wanapigania haki zao. Waislam kwa wakristo.
Mauritania, imepiga marufuku utumwa mwaka 2007. Hebu fikiria, 2007 tena baada ya pressure.
Halafu usiwe bwege, soma siyo kila kitu unaingiza dini ambayo wewe mwenyewe inaonyesha hata huijui.
 
Walipelekwa kiasi huko Uarabuni, ila hakuna uzao wao kule maana ME walihasiwa ili wasije kuingilia KE waarabu, wakawa wanatumikishwa tu na kuliwa na mabwana zao.

KE watumwa pia walipewa dawa za kuua uzazi

Duhhh! 😁 mtu mzima kama wewe unaongea haya, mna2aibisha sana mjuwe!!! 😁 afrika 2nasafari ndefu munoo kufika.

Ehe nchi gani izo wameperekwa, na ushahidi upi unaojionyesha walihasiwa na kwamba hawazai!!! Lete facts with evidence plz babaa, uckimbie tuu.
 
Kazi za ndani.
Kwa siku za karibuni, nchi kama Saudi Arabia, UAE, Oman hazina watumwa wa aina hii kutokana na maendeleo makubwa ya kiuchumi ambayo huleta maendeleo ya kijamii automatically.
Lakini waarabu wa Yemen, Sudan, Mauritania na sasa Libya bado wana watumwa wa kibantu wengi tu. Hapa namaanisha watu/binadamu waliopo kwenye bondage.
Hata waarabu wa Niger na kidogo Chad bado kuna watumwa wapo kabisa kwenye minyororo nenda YouTube zipo documentaries nyingi sana zikiwaelezea ingawa wanafichwa ila wapo wamefikiwa na watu wengi tu wanapigania haki zao. Waislam kwa wakristo.
Mauritania, imepiga marufuku utumwa mwaka 2007. Hebu fikiria, 2007 tena baada ya pressure.
Halafu usiwe bwege, soma siyo kila kitu unaingiza dini ambayo wewe mwenyewe inaonyesha hata huijui.

Hao wafanyakazi wandani kuna kosa gani kufanya kazi kwa waarabu, na ictoshe wanapewa big salary mzehe!!!! Unashangaza sana kuwaraumu na kuwapakazia uongo na kuwachafuwa waarabu 😁 wakati huku housegirls wananyanyaswa na waafrika wenzao na wengine kuuawa kabisa lakini munajitoa ufahamu, na kama unaitaji ushaidi sema nikuwekee hapa mzehe.
 
Unachekesha mno kijana. Cku ukifa ndiyo utajuwa mbivu na mbichi.


3_19.gif

19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19


3_20.gif

20. Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake. 20


3_21.gif

21. Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali. 21


3_22.gif

22. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru. 22


3_23.gif

23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa. 23


3_24.gif

24. Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua. 24


3_25.gif

25. Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa. 25


3_26.gif

26. Sema: Ewe Mwenyezi Mungu uliye miliki ufalme wote! Wewe humpa ufalme umtakaye, na humwondolea ufalme umtakaye, na humtukuza umtakaye, na humuangusha umtakaye. Kheri yote iko mikononi mwako. Hakika Wewe ni Muweza wa kila kitu. 26


3_27.gif

27. Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na maiti, na humtoa maiti kutokana na aliye hai. Na unamruzuku umtakaye bila ya hisabu. 27


3_28.gif

28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao. Na Mwenyezi Mungu anakuhadharisheni naye. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu. 28





3_29.gif
hahahahaha yaani Ndio unanitisha Kwa kunukuu kitabu Cha dini ya Waarabu wa Mecca,Acha vituko broo kwanza hata hiyo mungu wenu mwenyewe hana matokeo yeyote Kwa Watu weusi zaidi ya porojo
Sikejeri mtu ila Ndio ukweli wenyewe hizo ni Hadith na ngano za Waarabu hazina uhalisia katika Maisha ya mwafrika Mweusi anayejitambua Kwa kutokua Brain washed!
 
Hao wafanyakazi wandani kuna kosa gani kufanya kazi kwa waarabu, na ictoshe wanapewa big salary mzehe!!!! Unashangaza sana kuwaraumu na kuwapakazia uongo na kuwachafuwa waarabu 😁 wakati huku housegirls wananyanyaswa na waafrika wenzao na wengine kuuawa kabisa lakini munajitoa ufahamu, na kama unaitaji ushaidi sema nikuwekee hapa mzehe.
Hehe .... Kwaheri.
 
Mwarabu hakumpeleka mtu mweusi kwao na ndio maana hakuna race ya black uko arabuni, mwarabu alimuuzia mzungu..

Pia ayo ndio mambo yanayotudumaza waafrica, tunasoma vitu visivyo na tija wakat wenzetu wanakomaa na technologia
Kule uarabuni waafrica walikuepo castrated ili wasizaliane kabisa
 
Back
Top Bottom