Kwanini Biashara ya Watumwa ya Waarabu haiongelewi shuleni?

Kwanini Biashara ya Watumwa ya Waarabu haiongelewi shuleni?

Mwarabu hakumpeleka mtu mweusi kwao na ndio maana hakuna race ya black uko arabuni, mwarabu alimuuzia mzungu..

Pia ayo ndio mambo yanayotudumaza waafrica, tunasoma vitu visivyo na tija wakat wenzetu wanakomaa na technologia
We naye kama hujui kitu kaa kimya. Kuna Black Saudis, kuna black Iraqis, kuna Black Iranians and the list goes on. Penda kutafiti kabla hujaandika. Wapo Black Moroccans wapo Black Algerians. Sema si wengi kama waliopo Ulaya na Marekani.
 
We naye kama hujui kitu kaa kimya. Kuna Black Saudis, kuna black Iraqis, kuna Black Iranians and the list goes on. Penda kutafiti kabla hujaandika. Wapo Black Moroccans wapo Black Algerians. Sema si wengi kama waliopo Ulaya na Marekani.
Mie mwenyewe nina asili ya weusi kutokana na mama yangu ni mtanzania ila baba yangu ni raia wa Oman hadi sasa japokuwa anaishi Tanzania miaka na miaka.
 
N
Stori za kusadikika izo naweza sema za kwenye kahawa, huwa mkikaa mnadanganyana mzehe,,, swala hili huna uhakikanalo, bali chuki zinawaendesha dhidi ya waarabu/uisilamu, na munaendelea kuwakalilisha watoto, wajukuu na vitukuu vyenu huu ujinga mliokalilishwa na mababu/kijitabu cha kihistoria.


Swali langu ni ivi ewe mgalatia! Unachokiongea nikwamba hakimake sense bali umeckia. Swalii wakati wanafanyiwa wagalatia wenzio huo unyambafu mliokalilishwa, je! ulikuwepo na ukashuudia tukio ilo???? Plz Usikimbie mzehe.
Na wewe acha kukurupuka soma between the line..huyo haamini si Uislam wala Ukristo. Unaanza tu kumuita sijui mgalatia.
 
Mkuu hujui ww, Oman kuna sehem inaitwa Salala hapo kuna watu weusi kama wakurya tena wana nywele ngumu haswaa, ila ni raia wa Oman. Pia kuna sehem inaitwa Maabela hapo pia watu weusi ni wengi.

Swali, je! Hao ni wa2mwa wariopelekwa hukoo? Na, je! Waliteswa na kuhasiwa wasizae kama wasemavyo wakaririshwaji wakigalatia!!!,

Maana Walioko huko unakokutaja wanazaa kama kawaida, hawajui kiswahili, kibantu, wala kinyakyusa, only arabic language ndiyo lugha yao rasmi,,,,na life yao ni bora kuliko mgalatia anaelialia na kuonewa ananyanyanyaswa 😁
 
Mkuu hats Kam hiyo ndio Imani yako...ukweli unabaki kuwa Waarabu na Wazungu ,walitufanuia Ushenzi ukiwemo Utumwa k2w Mgongo was Dini za Kiaaslam na Ukristo ...ndio.maana wengine kuonesha Uungwana walishaomba Msamaha!

Mkuu. Kuhusu hao waarabu mbona hakuna ushaidi wowote ulee!! Tusemeni ukweli, kama mzungu alihucka bac tucwaingize na waarabu ambao hata kithibitisho hakuna, bali 2nackia tuu lakini ushaidi haupo.
 
Nyinyi watu ni mataahira au?
Mnabisha historia wakati leo hii tunavyoandika Waarabu wengi tu wana watumwa wa kiafrika (wabantu).
Muda huu huu sasa hivi kuna watumwa wa kibantu wengi tu kwenye nchi za bara Arabu na Maghreb.
Achia mbali watumwa wa kifikra wa waarabu kama wewe ambao mpo mamilioni.

Hao wa2mwa wakwapi ivi sasa?
 
Hao wa2mwa wakwapi ivi sasa?
Wapo Uarabuni wengi tu.
Namaanisha kuanzia Sudan, Mauritania,Algeria, Misri, Libya, Morocco, Yemen, Saudi Arabia, Oman, Iraq.
Kote huko kuna watu weusi ambao kiasili waliletwa kama watumwa. Wengine wengi ni watumwa mpaka leo.
Siamini kama hujui hilo.
 
Kwamba ni pagani mzehe Ruta 😁😁
Huyo Pagan. Aah mie mwenyewe wakati mwingine dini zanivuruga akili yangu tu. Ila jambo moja napinga. Mi naona sie weusi ndo watu wa ovyo kuwahi kutokea kuliko hao weupe. Sababu watu gani tunahujumiana, kuuana sie kwa sie, kurogana, roho mbaya. Bora wenzetu waarabu kwa wazungu wanathaminiana wanashikana mikono
Mi nionavyo naona sie ndo tuna roho mbaya na watu wa ovyo kabisa.
 
Huyo Pagan. Aah mie mwenyewe wakati mwingine dini zanivuruga akili yangu tu. Ila jambo moja napinga. Mi naona sie weusi ndo watu wa ovyo kuwahi kutokea kuliko hao weupe. Sababu watu gani tunahujumiana, kuuana sie kwa sie, kurogana, roho mbaya. Bora wenzetu waarabu kwa wazungu wanathaminiana wanashikana mikono
Mi nionavyo naona sie ndo tuna roho mbaya na watu wa ovyo kabisa.
Hahhaa Mkuu Ruta, karibu katika uisilamu
 
Huyo Pagan. Aah mie mwenyewe wakati mwingine dini zanivuruga akili yangu tu. Ila jambo moja napinga. Mi naona sie weusi ndo watu wa ovyo kuwahi kutokea kuliko hao weupe. Sababu watu gani tunahujumiana, kuuana sie kwa sie, kurogana, roho mbaya. Bora wenzetu waarabu kwa wazungu wanathaminiana wanashikana mikono
Mi nionavyo naona sie ndo tuna roho mbaya na watu wa ovyo kabisa.
Labda hujawahi kuishi na hao watu.
Hata mtoto mdogo akidhulumiwa na kulelewa kama mnyama atajiona yeye ana haki ya kufanyiwa hivyo.
Na watoto wenzake watamfanya hivyohivyo na akikua huwa pia na mawazo ya aina hii ya kujidharau na kukuza chuki baina yake na watu wote kama yeye.
 
Kwa ufupi tu watumwa wengi walichukuliwa Afrika kwa madhumuni ya kwenda kufanyishwa kazi za mashambani.

Waarabu kwao ilikua ni jangwa na ukame tu, ni watumwa wachache waliopelekwa huko kufanya kazi za ndani na sio za uzalishaji.

Watumwa wengi walipelekwa zaidi bara la Amerika kusini kwenye mashamba ya miwa.
Hapana , picha hii si kweli hasa kuhusu Afrika ya Mashariki.
Ni kweli kuhusu Afrika ya Magharibi (yaani Biashara ya utumwa kupitia Atlantiki). Upande wa Mashariki picha ilikuwa ya mchanganyiko zaidi.

Halafu kuna udhaifu kama ni Waarabu pekee wanaoonyeshwa kama wafanyabiashara wa watumwa. Maana biashara huwa na pande mbili. Mnunuzi na mwuuzaji. Nani aliuza watumwa walionunuliwa na Waarabu?
Si walikuwa machifu Waafrika, wakubwa kama Mirambo na kadhalika?
 
Hapana , picha hii si kweli hasa kuhusu Afrika ya Mashariki.
Ni kweli kuhusu Afrika ya Magharibi (yaani Biashara ya utumwa kupitia Atlantiki). Upande wa Mashariki picha ilikuwa ya mchanganyiko zaidi.

Halafu kuna udhaifu kama ni Waarabu pekee wanaoonyeshwa kama wafanyabiashara wa watumwa. Maana biashara huwa na pande mbili. Mnunuzi na mwuuzaji. Nani aliuza watumwa walionunuliwa na Waarabu?
Si walikuwa machifu Waafrika, wakubwa kama Mirambo na kadhalika?
The fact that you have a demand for such kind of a commodity.
Yaani Leo wewe uwe na hitaji la mtoto wa kike wa miaka saba. Halafu uletewe, umnajisi na useme tumlaumu pia aliekuletea.
Unadhani hilo litapunguza ukatili wako?
Kwamba sasa mmegawana ukatili nusu Kwa nusu.
Kwanini uwe na hitaji hilo? Bila hitaji hilo, usingeuziwa.
 
Mwarabu hakumpeleka mtu mweusi kwao na ndio maana hakuna race ya black uko arabuni, mwarabu alimuuzia mzungu..

Pia ayo ndio mambo yanayotudumaza waafrica, tunasoma vitu visivyo na tija wakat wenzetu wanakomaa na technologia
Waalikuwa wana wahasi.... So hawakuzaliana
 
Video simulizi kuhusu utumwa Tanzania na Africa

Bara la Africa (African Nation)



People singing a african choral in Bagamoyo, Tanzania

Source : D´jarell Messa
 
Mbona hamna black Rusia kwani warusi hawakufanya mapinduzi ya viwanda?Mi nadhani kuna mambo tunafichwa tu.
 
Hakuna mtu asie na ubaguzi kama mwarab, ndio maana hata hapa Tanzania kuna machotara wengi wa Kiarabu kulikon wa kihindi au Kizungu.
Mwarab ana kizaz kila kona ya Tanzania hii.
Utofauti mkubwa uliopo kati ya wazungu ni waarabu ni huu: UUNGWANA WA KUKIRI MAKOSA.
Baadhi ya wazungu wamekiri kabisa kwamba walihusika na kufanya unyama mkubwa dhidi ya binadamu wenzao kipindi cha biashara ya utumwa. Wengine wameenda mbali hadi kulipa fidia.

Kama huku, wazungu wengi wanaosumbua kukiri makosa haya ni wale wafia dini: walokole, wayahudi, wakatoliki na waluteli ambao huamini kwamba wana haki ya kimungu ya kutawala binadamu wengine: Divine Purpose/Manifest Destiny. Lakini sehemu kubwa ya wazungu wameanza kuamka na kuachana na ufedhuli.

Mwisho kabisa, kuwa na kizazi kila kona haithibitishi kwamba wewe siyo mbaguzi. Leo hii katika kila wachina mia mbili (200), basi walau mmoja (1) ni mjukuu wa Gengis Khan. Lakini hadi kuwapata hao wajukuu Mongols walibaka, kuua na kuteka mamilioni ya wanawake. Lakini leo hii anaweza akainuka mtu akasema Mongols walikuwa siyo wabaguzi kwasababu kila kona ya Asia na Ulaya Mashariki kuna vitukuu vyake.

Ukweli huwa unauma sana hasa pale unapokinzana na mapokeo ya kidini, lakini ndiyo hivyo: Ukweli ni Ukweli tu hata kama utaukataa. Japo nafahamu watumwa wa kifikra wapo wengi sana hivyo siyo rahisi kabisa kukubali nachokisema hapa.
 
Yaani nikiona jitu jeusi Tena limatumbi linawatetea hao washenzi hua naghadhabika Sana,
Japo watu weusi tulikua na tuna matatizo yetu ila ule ushenzi waliotufanyia jamii za watu wa Mashariki ya kati na Ulaya haukubaliki
Vingine nitapotezea kulingana na mabadiliko ya kiteknologia ila kuhusu dini hapo hapana sikubaliani haiwezekani Mungu wao awe wetu,dini zao ziwe zetu
Maana kipimo sahihi Cha jamii inayojitambua ni dini ukiona jamii flani inaabudu dini za jamii nyingine ujue hapo Pana matatizo makubwa Sana na mvurugano sio wa kitoto maana matabaka huanzia hapo!
 
Yaani nikiona jitu jeusi Tena limatumbi linawatetea hao washenzi hua naghadhabika Sana,
Japo watu weusi tulikua na tuna matatizo yetu ila ule ushenzi waliotufanyia jamii za watu wa Mashariki ya kati na Ulaya haukubaliki
Wala usigadhibike maana wote hatuwezi kufikiri sawa, muhimu ni kwamba wasijaribu kupindisha ukweli (Be Smarter Than History) ili kutaka kupunguza maumivu ambayo jamii fulani imeyapitia. Unajua huwa tunasema hivi "Everybody is entitled to his opinion, but not facts"....
 
Back
Top Bottom