Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa!

Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
 
Kwasababu Binadamu ni Mamalia. Ukitaka Atage ni sawa na Tembo nae Atage ushawaza Yai la Tembo litakuwaje na ataliatamiaje kulipa Joto mpaka litotoe?

Pia kumbuka, viumbe wanaotaga hawatagi Yai 1 ni Mayai. Sasa uwe unafikiria cha kuandika humu ndugu.
Binadamu ni mammalia sababu anazaa, siyo anazaa sababu ni mammalia. Kwani mpaka uatamie? Mamba ni mkubwa na mzito kuliko binadamu lakini anataga, wala haatamii.
 
Aisee

Kichwa Cha Familia hiki

IMG_9347.jpg
 
Anamaanisha hivi Mungu hakuona ulazima wa binadamu kutaga kuliko hii kuzaa
Ili kuendana na dunia vizuri kwa nyakati za mbele???
Unavyotahiri unamaanisha mungu alikosea kukuumba na govi? Wewe unaona kuzaa kunafaida gani zaidi ya kutaga?
 
Back
Top Bottom