Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Mkikubaliane waanze kutaga,Msisahau Incubator!Halafu mawazo yamenipeleka mbali Yai la Huyu!!!!
 

Attachments

  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    9.9 KB · Views: 18
Kutaga mayai ni evolutionary disadvantage,, sababu kwenye lineage ya evolution from fish to mammalian,, moja ya aim ilikuwa ni kuongeza survival rate ya offspring na kuacha kutegemea maji kwa ajili ya reproduction,,

That's why survival rate ya human akiwa tumboni ni kubwa kuliko chura anaetagia kwenye maji, au reptile na birds ambao they developed calcium shell (egg shell) kwa ajili ya protection of the egg
Kwa mtazamo
Kutaga mayai ni evolutionary disadvantage,, sababu kwenye lineage ya evolution from fish to mammalian,, moja ya aim ilikuwa ni kuongeza survival rate ya offspring na kuacha kutegemea maji kwa ajili ya reproduction,,

That's why survival rate ya human akiwa tumboni ni kubwa kuliko chura anaetagia kwenye maji, au reptile na birds ambao they developed calcium shell (egg shell) kwa ajili ya protection of the egg
Hapa unapoint. Lakini kulikuwa na ndege wakubwa kama Elephant birds au huyu mbuni. Mayai yao makubwa na magumu kama mawe. Kwangu naona yanaoffer protection nzuri kuliko mjamzito asiyeweza kujilinda wala kukimbia.

Je namna ya kuzaliwa inaathiri bond ya mama na mtoto?
 
😂😂😂😂JF haichahi, wikiendi imeanza kwa kasi sana
 
Kwa mtazamo
Hapa unapoint. Lakini kulikuwa na ndege wakubwa kama Elephant birds au huyu mbuni. Mayai yao makubwa na magumu kama mawe. Kwangu naona yanaoffer protection nzuri kuliko mjamzito asiyeweza kujilinda wala kukimbia.

Je namna ya kuzaliwa inaathiri bond ya mama na mtoto?
Yeeeh inaathiri,, release ya oxytocin hormone during pregnancy ni muhimu for any social bonding,,

Sio mtazamo hiyo ni explanation ya kisayansi
 
Kwa mtazamo
Hapa unapoint. Lakini kulikuwa na ndege wakubwa kama Elephant birds au huyu mbuni. Mayai yao makubwa na magumu kama mawe. Kwangu naona yanaoffer protection nzuri kuliko mjamzito asiyeweza kujilinda wala kukimbia.

Je namna ya kuzaliwa inaathiri bond ya mama na mtoto?
Mjamzito anauwezo wa kumove na huyo offspring,, ukilinganisha na mayai ambayo yako prone na environmental stress
 
Kwasababu Binadamu ni Mamalia. Ukitaka Atage ni sawa na Tembo nae Atage ushawaza Yai la Tembo litakuwaje na ataliatamiaje kulipa Joto mpaka litotoe?

Pia kumbuka, viumbe wanaotaga hawatagi Yai 1 ni Mayai. Sasa uwe unafikiria cha kuandika humu ndugu.
Jitoleo kumfundisha classification hasa kingdom animalia manaa jamaa atakua alikimbia hii topic
 
Kwahiyo Mkuu unataka tuwe tunawapanda mademu chap kama jogoo
 
Kwahiyo Mkuu unataka tuwe tunawapanda mademu chap kama jogoo
 
Back
Top Bottom