Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Mutation hizo za kuweza kuzaa na sio kutaga mayai zilitoka miaka zaidi ya milioni 100 iliyopita
Naunga mkono. Inaonekana viumbe wa mwanzo walikuwa wataga mayai. Dinosours walikuwepo miaka 200m iliyopita na ni wataga mayai.
 
Ingekuwa ukiwa Theatre kusubiria pindi, mara paap! Sister Duu anawashwa matakoni kwenda kuatamia [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwanini binadamu hawatagi mayai? Zipi faida za kuzaa dhidi ya kutaga?
Achilia mbali kuzaliwa.

Mwanaadamu ndiye kiumbe ambaye anachua muda mrefu zaidi kukua baada ya kuzaliwa ukilinganisha na viumbe wengine.

Mfano ng'ombe akizaliwa tu siku hiyohiyo atatembea kufuata maziwa ya make na kunyonya.

Ila mwanaadamu anazaliwa akiwa hajitambui na wala hakuna lolote analoweza kijifanyia, na inamchukua kipindiki kirefu mpaka aje kusimama mwenyewe....

Sasa kama unaakili utayatazama haya kwa mazingatio na kuona jinsi ulivyokuwa dhaifu na utarudi kuwa dhaifu.

Hivyo ndivyo mola wako alivyokuumba ili upate mazingatio.
 
Achilia mbali kuzaliwa.

Mwanaadamu ndiye kiumbe ambaye anachua muda mrefu zaidi kukua baada ya kuzaliwa ukilinganisha na viumbe wengine.

Mfano ng'ombe akizaliwa tu siku hiyohiyo atatembea kufuata maziwa ya make na kunyonya.

Ila mwanaadamu anazaliwa akiwa hajitambui na wala hakuna lolote analoweza kijifanyia, na inamchukua kipindiki kirefu mpaka aje kusimama mwenyewe....

Sasa kama unaakili utayatazama haya kwa mazingatio na kuona jinsi ulivyokuwa dhaifu na utarudi kuwa dhaifu.

Hivyo ndivyo mola wako alivyokuumba ili upate mazingatio.
Ng'ombe na binadamu wote wanazaa. Ulichoeleza hakionyeshi faida za kuzaa dhidi ya kutaga.
 
Baba kaenda kutafuta.

Au wanaona upo busy na simu sebuleni wanasema baba atakua anachat na madalali wa nyanya Ilula.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kitu pekee naona ni kuwa wanyama wanaozaa wanaakili kuliko wanaototolewa. Je ukuaji wa akili ndiyo umefanya wengine wazae na wengine watage?
 
Kwa viumbe wote wanaotaga, huwa yai linapotagwa halikui nje ya mwili wa kiumbe husika, Bali linakulia ndani katika size maalumu Kisha linakuja kudevelop nje baada ya kutagwa na kutoa kifaranga, na ukubwa wa kifaranga unategemea na ukubwa wa yai.

Sasa tukija kwa mwanaadamu yaani atage yai ambalo ndani yake atoke kichanga kwa ukubwa huu tunaoufahamu, huoni hiyo kazi ngumu zaidi ya hiyo ya kuzaa?

Maana kiungo kikubwa kwa kichanga huwa ni kichwa sasa imagine mwili wote wa kichanga uwe ndani ya yai halafu alitage!!!

Labda utasema mayai yawe madogo, maana yake ukubwa wake usizidi ukubwa wa kichwa cha kichanga anapozaliwa(maana ndio upana ambao uke anaweza kitanuka), sasa hivyo vichanga vitakuwa na ukubwa gani?

Hukufikiria
Mamba huwa wakubwa kuliko binadamu lakini wanataga mayai. Kwa mantiki hiyo mayai ya binadamu yangekuwa madogo kuliko ya mamba. Huo ingekuwa rahisi kupitisha mayai kuliko mtoto mdogo?

Mayai ya mamba(ya binadamu yangekuwa madogo zaidi)

6.Hartley-s-Crocodile-Farm-Eustarine-Crocodile-Eggs.jpg
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa! Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Mbona hata wewe unataga vizuri tuu, haunyi?
 
Back
Top Bottom