Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwenye top ten ya wanyama wenye akili wanaotaga wapo wawili. Kwenye top five hakuna anayetaga. Hakuna uhusiano wa kuzaa na CNS development?
They are two separate systems that evolved differently,,, evolving to viviparity from oviparity ni independent from development of celebral cortex
 
They are two separate systems that evolved differently,,, evolving to viviparity from oviparity ni independent from development of celebral cortex
Ni system tofauti kweli. Nauliza kama kuzaa kunafanya wanyama wawe akili kuliko kutaga mayai? Maana inaonyesha wanyama wanaozaliwa wanakuww na akili kuliko wanaotagwa.
 
Birds hawazai because hawana uwezo wa kuzalisha energy needed ku support ujauzito na kuruka

Evolution imefanya advancement ili chancy reproduction isiwepo from external fertilisation to internal,, from gelatinous eggs(fish and amphibians) to amniotic eggs with eggs shells (reptiles and birds) from oviparity(birds, reptiles, amphibians) to viviparity (majority of mammals)
 
Hii nchi ndo maana haina maono. Utakuta huyu nae ni baba wa familia leo hii mtu mzima unawaza kutaga kweli [emoji2][emoji23][emoji28]
 
Ndiyo maana nikakwambia kwenye top ten wanaotaga wapo wawili. Octopus na kunguru.
Ahsante kwa hizi taarifa sikujua kunguru ana akili nyingi nilifikiri pengine tai au mwewe ndo wana akili zaidi . Hivi ndege kuwa mjanja ni sawa na luwa na akili zaidi?
 
Kwa viumbe wote wanaotaga, huwa yai linapotagwa halikui nje ya mwili wa kiumbe husika, Bali linakulia ndani katika size maalumu Kisha linakuja kudevelop nje baada ya kutagwa na kutoa kifaranga, na ukubwa wa kifaranga unategemea na ukubwa wa yai.

Sasa tukija kwa mwanaadamu yaani atage yai ambalo ndani yake atoke kichanga kwa ukubwa huu tunaoufahamu, huoni hiyo kazi ngumu zaidi ya hiyo ya kuzaa?

Maana kiungo kikubwa kwa kichanga huwa ni kichwa sasa imagine mwili wote wa kichanga uwe ndani ya yai halafu alitage!!!

Labda utasema mayai yawe madogo, maana yake ukubwa wake usizidi ukubwa wa kichwa cha kichanga anapozaliwa(maana ndio upana ambao uke anaweza kitanuka), sasa hivyo vichanga vitakuwa na ukubwa gani?

Hukufikiria
Jibu tosha
 
Mi nahis Mungu aliona mbali kama mkitaga hamtakua na adabu kwa wazazi wenu. Yani hapa dogo anazaliwa hali hii anakua mjeuri hasikii lababa wala lamama je akitotolewa itakuaje?

Pia Mungu ameweka huu mpango kwa werevu wa hali yajuu mana kuna watu wasinge hangaika kutafuta watoto bali wangehangaika kuiba mayai ya wenzao na kujimilikisha kesi za DNA zingekua nyingi kupita kias

Uhifadhi nao changamoto mayai yangevunjika mkuu huenda nawe ungekua ushakaangwa kuliwa na chapati[emoji3][emoji3]
 
Mamba huwa wakubwa kuliko binadamu lakini wanataga mayai. Kwa mantiki hiyo mayai ya binadamu yangekuwa madogo kuliko ya mamba. Huo ingekuwa rahisi kupitisha mayai kuliko mtoto mdogo?

Mayai ya mamba(ya binadamu yangekuwa madogo zaidi)

View attachment 2250671
Wewe hujafikiria.

Yaani ukitazama hilo unalolisema ili liwezekane kwa mwanaadamu basi inalazimu mabadiliko mengine mengi kwa mama na hata kwa mtoto mwenyewe.

Ambayo either yatambadili mwanaadamu kuwa kiumbe mwingine, au kumefanya kuwa kama ndege kabisa.

Huwezi kusema wanaadamu watage halafu hapohapo wawe na sifa zao nyingine kama zilivyo!!

Mwanaadamu huzaliwa dhaifu, hivyo angewezaje kutoka kwenye yai, kama kinavyotoka kifaranga? na hayo mayai mwanaadamu angekuwa anayalalia au ingekuje? na kwa umbile la mwanaadamu angeyalaliaje, ili aweze kutotoa?

Hivyo ukifikiria kwa makini utagundua ili umpe mwanaadamu sifa ya kutaga inabidi umvue baadhi ya sifa za kibinadamu, na umpe baadhi ya sifa za kindege, au umbadili hili umbile alilonalo na awe na umbile jingine.

Ambalo hilo umbile jingine bila shaka litakuwa likipingana na mwanaadamu kuweza kukabiliana na mazingira yake kama anavyoweza hivi sasa.

Unakufuru.
 
Back
Top Bottom