Kwa viumbe wote wanaotaga, huwa yai linapotagwa halikui nje ya mwili wa kiumbe husika, Bali linakulia ndani katika size maalumu Kisha linakuja kudevelop nje baada ya kutagwa na kutoa kifaranga, na ukubwa wa kifaranga unategemea na ukubwa wa yai.
Sasa tukija kwa mwanaadamu yaani atage yai ambalo ndani yake atoke kichanga kwa ukubwa huu tunaoufahamu, huoni hiyo kazi ngumu zaidi ya hiyo ya kuzaa?
Maana kiungo kikubwa kwa kichanga huwa ni kichwa sasa imagine mwili wote wa kichanga uwe ndani ya yai halafu alitage!!!
Labda utasema mayai yawe madogo, maana yake ukubwa wake usizidi ukubwa wa kichwa cha kichanga anapozaliwa(maana ndio upana ambao uke anaweza kitanuka), sasa hivyo vichanga vitakuwa na ukubwa gani?
Hukufikiria