Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwasababu Binadamu ni Mamalia. Ukitaka Atage ni sawa na Tembo nae Atage ushawaza Yai la Tembo litakuwaje na ataliatamiaje kulipa Joto mpaka litotoe?

Pia kumbuka, viumbe wanaotaga hawatagi Yai 1 ni Mayai. Sasa uwe unafikiria cha kuandika humu ndugu.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sema najaribu fikir chief aliwaza Nini lakin sipati jibu na unaweza kuwa na fact kwa Kila challenge wanayokupa kuhus kutaga,by the way why umewaza kutaga?
 
Ungekuwa unataga ungekuja kuuliza tena kwanini huzai, kenge wewe
 
Yaan imagine yai lingekuwa kubwa kama mbuni sasa,Luna watu wangekuwa wamechamika mikund*
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa! Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Kwani we unahamu ya kutaga broo
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa! Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Nafikiri kuijadili mada yako ni matuzi mabaya ya Akili Mungu aliyokupa Bure!
 
aise jf balaa!! ila hii nadhani ingekuwa poa ,tusingesingiziwa na wake zake mimba za kuchepuka,maana ukiona wife anakwambia anataka kutaga yai ,ukiona unamashaka na Hilo yai ,unaenda kulikanyaga wakati hayupo
emoji23.png
,akirudi unasingizia wtt walilipasua bahati mbaya!!
Duuu!!! Hatar saaana.
 
Bin-adamu angekaanga na kula mayai yake na matokeo yake kizazi cha binadamu kingepotea kabisa.

Wale wanaopata mimba kwa bahati mbaya na kuzilea hadi wanajifungu, ingekuwa mayai yangekuwa yanaa chwa kama ya kanga.
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa!

Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
Haya mawazo yako huko sahihi kabisa. Unajua yale mambo ambayo watu wanayadharau ndio yameleta mapinduzi makubwa katika dunia. Mfano kwanii embe linadondoka chini na haliedi juu. Hapa watakupa majibu mengi kwasababu wamekaririsha mashuleni lakini hakuna mtu anayeweza fikiria nje ya box kwa kuja na nadharia zake binafsi ambazo hazina mafungamano na mwingine kuhusu hili
 
Naunga mkono. Inaonekana viumbe wa mwanzo walikuwa wataga mayai. Dinosours walikuwepo miaka 200m iliyopita na ni wataga mayai.
hii mbona inajulikana na kuna mamalia mmoja anataga mayai Platypus - Wikipedia mcheki humu . kutaga mayai magumu ni mafanikio ya kievolution kabla ya hapo viumbe mayai walitaga majini mfano chura na samaki
 
Kwanini unafikiri hivyo?
Tuna changamoto nyingi muhimu za kushirikishana kama vijana na Kusaidiana
Hayo ya kujadili kuwa Mungu amependelea Viumbe wengine NI MATUMIZI MABAYA YA MUDA NA AKILI kwa kuwa hutapata jibu lolote zaidi ya blaa blaa na kashifa za kumkwaza Muumbaji!!!
Kumbuka tu kuwa; kile ambacho hajatengeneza Binadamu, basi na Elimu ya hicho kitu binadamu hawezi kuwa nayo yote!
 
Umbeya huko Instagram..
Ingekuwa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Diamond platinumz na mzazi mwenzie tanasha wanasikitika kupoteza yai lao ambalo limepasuka bahati mbaya.
Yai hilo lilitegemewa kuanguliwa siku 14 zijazo.
Akihojiwa akiwa katika show huko Nigeria Diamond kasema uzembe ulikuwepo nyumbani baada ya house girl kutokuwa makini pale alipokuwa akifanya usafi katika chumba hichoccha joto.
Isingetokea ajali hii basi wapenzi hao wangejipatia mtoto wa tatu baada ya tifah na nilan.
 
Back
Top Bottom