Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Kwanini binadamu wasingekuwa wanataga mayai?

Ila kuna vitu vinachekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nna uhakika katika macelebrities wa Bongo ni Shilole tu ndo angetamia na kutetea
 
Tuna changamoto nyingi muhimu za kushirikishana kama vijana na Kusaidiana
Hayo ya kujadili kuwa Mungu amependelea Viumbe wengine NI MATUMIZI MABAYA YA MUDA NA AKILI kwa kuwa hutapata jibu lolote zaidi ya blaa blaa na kashifa za kumkwaza Muumbaji!!!
Kumbuka tu kuwa; kile ambacho hajatengeneza Binadamu, basi na Elimu ya hicho kitu binadamu hawezi kuwa nayo yote!
Nani kazungumza habari za Mungu kupendelea viumbe wengine? Usiingize habari za dini hapa kujipendekeza kwa Mungu.
 
Nani kazungumza habari za Mungu kupendelea viumbe wengine? Usiingize habari za dini hapa kujipendekeza kwa Mungu.

Yaani umekosa kabisa kitu cha kupost hadi unapost mada ambayo utajibiwa upuuzi upuuzi tu au ndio majibu unayopenda?
 
Yaani umekosa kabisa kitu cha kupost hadi unapost mada ambayo utajibiwa upuuzi upuuzi tu au ndio majibu unayopenda?
Usijilimit mawazo yako na wanaojibu upuuzi ni wapuuzi wao. Wenye akili wameelewa na tumekuwa na mjadala mzuri.
 
Kwa maana hiyo sehemu ya haja na kutagia ingekua moja...
 
Kuna mzee kule kaskazini alisema aliwahi kuonana na yesu live na wakapiga story.

Fanya kumcheki huyo mzee ili siku akija tena amuulize hilo jambo, na pia ampe pendekezo lako. Huenda kizazi kijacho binadamu wakawa wanataga.

Ni mawazo mazuri ila tu hapa sidhani kama ni mahala sahihi labda kama viumbe wa mbinguni huwa wanapitapita humu huenda wakafikisha kwa wahusika.
 
Kuna mzee kule kaskazini alisema aliwahi kuonana na yesu live na wakapiga story.

Fanya kumcheki huyo mzee ili siku akija tena amuulize hilo jambo, na pia ampe pendekezo lako. Huenda kizazi kijacho binadamu wakawa wanataga.

Ni mawazo mazuri ila tu hapa sidhani kama ni mahala sahihi labda kama viumbe wa mbinguni huwa wanapitapita humu huenda wakafikisha kwa wahusika.
Hili siyo swali la kidini.
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa!

Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
 

Attachments

  • getvideobot.com-RwhBLoGR_moOftat.mp4
    81 KB
Kasome kwanza evolution
IMG_20220605_184727.jpg
 
Eti wandugu, kwanini binadamu tusingekuwa tunataga mayai kama mamba, ndege na mijusi? Kwa mtazamo wangu kutaga mayai kuna faida kuliko kuzaa!

Hakuhatarishi maisha ya mama wala kumfanya mgonjwa kwa miezi tisa. Pia naona ni salama zaidi kwa mtoto anayetotolewa. Kama kuzaa kunafaida zaidi naomba kuelimishwa.
ifike mda serikali ipige marufuku sasa watu kutoa toa maoni maana nchi imezidi uhuru
 
Back
Top Bottom