Kwanini Bosi wa TAKUKURU anavaa sare za Jeshi? Nini taswira ya Utawala wa Kiraia?

Kwanini Bosi wa TAKUKURU anavaa sare za Jeshi? Nini taswira ya Utawala wa Kiraia?

Travelogue_tz

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
855
Reaction score
1,224
takukururpic.jpg

Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru

Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita, Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.

Je, bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia?

Fahamu wajibu wa kikatiba wa Jeshi
  • Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Ulinzi wa mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Kufanya mafunzo na mazoezi ili kujiweka tayari kivita wakati wote.
  • Kufundisha umma shughuli za ulinzi wa Taifa.
  • Kushirikiana na mamlaka za kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa
  • Kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
  • Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji mali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa.
  • Kushiriki ulinzi wa amani kimataifa
 
View attachment 1739305
Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru.

Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita , Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.

Je bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia ?
Hili halina muda... Kuna mabadiliko mengi makubwa yanakuja... Jeshi litatengwa na shughuli na siasa na utawala libaki na dhima yake ya ulinzi na usalama
 
View attachment 1739305
Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru.

Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita , Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.

Je bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia ?
Wazo zuri
 
View attachment 1739305
Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru.

Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita , Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.

Je bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia?
Nchi ilikuwa inaenda kuwa ya kijeshi kabisa badala ya kutumia akili mwendazake alikuwa anatumia nguvu sana.
 
View attachment 1739305
Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru.

Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita , Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.

Je bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia ?
Hoja yako mfu, ila ngoja tukusaidie kutoa ufu wako.

Brigedia Mbungo bado ni Mwanajeshi active (hajastaafu Jeshi bado) hivyo yeye kuvaa Uniform zake za Jeshi kuna shida gani? angestaafu hapo sawa asingevaaa labda kwenye shughuli nyeti, hivyo futa huu uzi hauna mashiko.
 
Kazi za serikali ni nzuri na laini sana, siyo rahisi kuwaambiwa waziache.
 
Hoja yako mfu, ila ngoja tukusaidie kutoa ufu wako.
Brigedia Mbungo bado ni Mwanajeshi active (hajastaafu Jeshi bado) hivyo yeye kuvaa Uniform zake za Jeshi kuna shida gani? angestaafu hapo sawa asingevaaa labda kwenye shughuli nyeti, hivyo futa huu uzi hauna mashiko
Je, kulikuwa na sababu gani kuanza kuwatumia wanajeshi katika kazi za kiraia? Kwamba Jeshi ndio lina uzalendo? Au wasio wanajeshi sio Wazalendo ? Nahitaji kufahamu tija hasa ni ipi?
 
Hoja yako mfu, ila ngoja tukusaidie kutoa ufu wako.
Brigedia Mbungo bado ni Mwanajeshi active (hajastaafu Jeshi bado) hivyo yeye kuvaa Uniform zake za Jeshi kuna shida gani? angestaafu hapo sawa asingevaaa labda kwenye shughuli nyeti, hivyo futa huu uzi hauna mashiko
Yule Kamishna General wa Megereza hivi hiwa anavaa nguo za JW?
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye hivi huwa anavaa sare za Polisi?
Mkurugenzi wa Usalama wa taifa hivi bado anavaa sare za Polisi?
 
Hoja yako mfu, ila ngoja tukusaidie kutoa ufu wako.
Brigedia Mbungo bado ni Mwanajeshi active (hajastaafu Jeshi bado) hivyo yeye kuvaa Uniform zake za Jeshi kuna shida gani? angestaafu hapo sawa asingevaaa labda kwenye shughuli nyeti, hivyo futa huu uzi hauna mashiko
Umeishia darasa la ngapi ndg?
Hii ndo lugha ya kitanzania ungekuwa kwingineko tungekuuliza una elimu ya kiwango kipi?
 
Umeishia darasa la ngapi ndg?
Hii ndo lugha ya kitanzania ungekuwa kwingineko tungekuuliza una elimu ya kiwango kipi?
nmeishia la saba C ndugu, lakini je, kipi hujaelewa kutoka kwangu?
 
Back
Top Bottom