Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wee ndo tukuulize umeishia darasa la ngapi kule memkwa, jamaa kaeleza vizuri Sana Sasa wewe kichwani huelewi unahoji kinyumbunyumbu.Umeishia darasa la ngapi ndg?
Hii ndo lugha ya kitanzania ungekuwa kwingineko tungekuuliza una elimu ya kiwango kipi?