Kwanini Bosi wa TAKUKURU anavaa sare za Jeshi? Nini taswira ya Utawala wa Kiraia?

Kwanini Bosi wa TAKUKURU anavaa sare za Jeshi? Nini taswira ya Utawala wa Kiraia?

Na afisa wa magereza alivoteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Zimamoto vp walilalamika napo?.

Magereza kulikuwa na madudu sana ambayo walikuwa wanalindana wenyewe kwa wenyewe.Ndio maana mzee kaamua kuleta mtu kutoka kabila lingine. Ingekuwa ameletwa Raia sawa.
Jamaa walishakosa hoja kabisa hadi kule jamhuri ya twitter waliparaganyika jana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona kuna wakuu wa mikoa ni wanajeshi na hatulalamiki ? ?

Kwanini iwe kwa takukuru

Boss wa takukuru anawabana wala rushwa ndio maana mnatafuta vihoja dhaifu ili aondolewe
Lakini ni kwamba haiwezekani Mama Samia ni Magu mtupu na Makamu wake wale wale yani ni moto kila mahari
 
Watazivua tu, tuwape muda.
Kama tulivyowahi kuzungumza hapo awali, wanajeshi wanatakiwa warudi kwenye makambi/ofisi zao wakafanye shughuli zao za kijeshi na sio kwenda kufanya kazi za kiraia. Raia weng wapo na wana uwezo mkubwa sana kuliko hawa wanajeshi.

Tumeshuhudia matatizo makubwa sana kwenye taasisi za kiraia zinazoongozwa na wanajeshi. Chondechonde hawa wanajeshi warudi wakawaongoze wanajeshi wenzao. After all, Militaly management/administration ni tofauti kabisa na civil service management/administration.

Mambo ya kuvaa combat za kijeshi kwenye shughuli za kiraia ni ushamba mkubwa sana, hii sio nchi ya kijeshi!!
 
Acha mambo yako wewe daktari wa kijeshi anapiga combat na anaingia hospitali sembuse huyo kwanza kwa kazi kama iyo ilipaswa ifanywe na watu kama hawa hata kumpa rushwa tu mwenyewe unajistukia
 
Kama tulivyowahi kuzungumza hapo awali, wanajeshi wanatakiwa warudi kwenye makambi/ofisi zao wakafanye shughuli zao za kijeshi na sio kwenda kufanya kazi za kiraia. Raia weng wapo na wana uwezo mkubwa sana kuliko hawa wanajeshi.

Tumeshuhudia matatizo makubwa sana kwenye taasisi za kiraia zinazoongozwa na wanajeshi. Chondechonde hawa wanajeshi warudi wakawaongoze wanajeshi wenzao. After all, Militaly management/administration ni tofauti kabisa na civil service management/administration.

Mambo ya kuvaa combat za kijeshi kwenye shughuli za kiraia ni ushamba mkubwa sana, hii sio nchi ya kijeshi!!
Wewe ndio unatuambia leo kua ni ushamba,,,,lakini tunazungumzia Mamlaka ya wao kuteuliwa na sio Ushamba unao uona wewe
 
Huko takukuru kwenye ni ulinzi na usalama tosha wa nchi tena hao wanapaswa kuwa hapo maana kuna watu wanaweza kuiweka nchi mfuko kama wakiachiwa huru tu kutumia mapesa yao
Hili halina muda... Kuna mabadiliko mengi makubwa yanakuja... Jeshi litatengwa na shughuli na siasa na utawala libaki na dhima yake ya ulinzi na usalama
 
Yaan tena naona haitoshi
vitengo ka hivo hizo nguo zina heshima yake bwana asikuambie mtu.Nashaur sana hata huka bandar waende J wee tu. nilifulahi sana kuona anatoa tamko juz na nguo hizo.heshima kubwa tena unapiga mpka mask zile za mabaka mabakayaaan watu wataogopa kuiba hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kuvaa Gwanda Wahuni walikuwa wanapiga tu
 
Yaan tena naona haitoshi
vitengo ka hivo hizo nguo zina heshima yake bwana asikuambie mtu.Nashaur sana hata huka mmbabdar waende J wee tu. nilifulahi sana kuona anatoa tamko juz na nguo hizo.heshima kubwa tena unapiga mpka mask zile yaaan watu wataogopa kuiba hela

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmbabdar ni wapi ?
Wewe una akili sana unaitakia mema nchi yetu
 
Aliyekwambia shughul za kiraia nani? hapo ni panahitaji uzalendo na ukakamavu kuwa kiongoz eneo hilo la Taasis zenye utata kama hizo mpaka mbinu za kimedan ni muhimu,huoni mikoa stretegic ilivo na wazeee wa kazi.napenda kutoa pobgez kwa Brig.Gen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani akivalia hivyo Kijeshi anazuia nini katika Ustawi wako mzima wa Kimaisha unaouhisha Wewe Kula, Kufurahia, Kujipatia Pesa na hadi Kumbandua ( Kumtia ) Mkeo / Hawara?
Unataka umaarufu kwa post za kijinga,
 
Hoja yako mfu, ila ngoja tukusaidie kutoa ufu wako.

Brigedia Mbungo bado ni Mwanajeshi active (hajastaafu Jeshi bado) hivyo yeye kuvaa Uniform zake za Jeshi kuna shida gani? angestaafu hapo sawa asingevaaa labda kwenye shughuli nyeti, hivyo futa huu uzi hauna mashiko.
Ni ujinga kuendelea kushabikia wanajeshi kufanya kazi za kiraia!
 
Hili halina muda... Kuna mabadiliko mengi makubwa yanakuja... Jeshi litatengwa na shughuli na siasa na utawala libaki na dhima yake ya ulinzi na usalama
Ila kutumia jeshi kwenye maeneo ya kimkakati ni kawaida sehemu nyingi duniani. Siku hizi vita vimehamia kwenye uchumi, hujuma, uzandiki, propaganda ndio zinatawala uchumi!

Hawa hawapewi uwaziri au nafasi za kisiasa bali maeneo yanayohitaji utendaji wenye maarifa ya kijeshi kama sehemu muhimu ya ufahamu.

Nafasi kama za ukuu wa mikoa na wilaya pia toka enzi za Nyerere kuna wilaya na mikoa ya pembezoni waliwekwa wanajeshi.
 
Ila kutumia jeshi kwenye maeneo ya kimkakati ni kawaida sehemu nyingi duniani. Siku hizi vita vimehamia kwenye uchumi, hujuma, uzandiki, propaganda ndio zinatawala uchumi!

Hawa hawapewi uwaziri au nafasi za kisiasa bali maeneo yanayohitaji utendaji wenye maarifa ya kijeshi kama sehemu muhimu ya ufahamu.

Nafasi kama za ukuu wa mikoa na wilaya pia toka enzi za Nyerere kuna wilaya na mikoa ya pembezoni waliwekwa wanajeshi.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom