Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Wewe unatumia Logic??Kwani hakuna watz wenye uwezo wa hizi nafasi mpaka sinia officer wa jeshi watake over hayo majukum
Logically wao wamekuwa trained kuenforce zaidi badala ya logic implementation
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app