..wakati wa Mwalimu tulikuwa na kikosi maalum cha kuzuia rushwa. Baadae ndiyo kikabadilishwa jina na kuwa Takukuru.
..Nakumbuka Colonel Ali Maftaha ndio alikuwa muasisi lakini hakuwa akivaa uniform za jeshi.
..baadae alikuwepo Major General Kamazima, naye hakuwa akivaa uniform za jeshi.
..hata mimi sikubaliani na utaratibu wa maafande wanaoongoza taasisi za kiraia kuvalia kijeshi.
..huu ni utaratibu ambao umeibuka ktk awamu ya 5. Awamu zilizopita maafande walikuwa wakiteuliwa kuongoza idara / taasisi za kiraia lakini hawakuwa wakivaa sare za jeshi.
..Nakumbuka Colonel Ali Maftaha ndio alikuwa muasisi lakini hakuwa akivaa uniform za jeshi.
..baadae alikuwepo Major General Kamazima, naye hakuwa akivaa uniform za jeshi.
..hata mimi sikubaliani na utaratibu wa maafande wanaoongoza taasisi za kiraia kuvalia kijeshi.
..huu ni utaratibu ambao umeibuka ktk awamu ya 5. Awamu zilizopita maafande walikuwa wakiteuliwa kuongoza idara / taasisi za kiraia lakini hawakuwa wakivaa sare za jeshi.