..kuna wakati tulikuwa na Jaji Mkuu[ Znz na Tz] ana cheo cha Brigedia Jenerali. Je, angekuwa sahihi kuvaa kombati ktk majukumu yake mahakama kuu?Ila kutumia jeshi kwenye maeneo ya kimkakati ni kawaida sehemu nyingi duniani. Siku hizi vita vimehamia kwenye uchumi, hujuma, uzandiki, propaganda ndio zinatawala uchumi!
Hawa hawapewi uwaziri au nafasi za kisiasa bali maeneo yanayohitaji utendaji wenye maarifa ya kijeshi kama sehemu muhimu ya ufahamu.
Nafasi kama za ukuu wa mikoa na wilaya pia toka enzi za Nyerere kuna wilaya na mikoa ya pembezoni waliwekwa wanajeshi.
Unataka umaarufu kwa post za kijinga,
Huyo sio raia ni mwanajeshi tena senior officer na hajastaafu sasa ulitaka aende kazini kavaa msuli?? Kwani mavazi yana athiri nn?? Na pia si mwanajeshi wa nchi hii hii sasa shida iko?? Haya sema ww ulitaka avae nn??View attachment 1739305
Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru
Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita, Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.
Je, bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia?
Fahamu wajibu wa kikatiba wa Jeshi
- Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Ulinzi wa mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Kufanya mafunzo na mazoezi ili kujiweka tayari kivita wakati wote.
- Kufundisha umma shughuli za ulinzi wa Taifa.
- Kushirikiana na mamlaka za kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa
- Kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
- Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji mali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa.
- Kushiriki ulinzi wa amani kimataifa
We ndo msemaji wao??Kwa taharifa yako hakuna mtu wanaomkubali kama huyo alieteuliwa (m JWTZ) kua mkuu wa magereza amewarekibishia mambo yao mengi tu,in fact wanajeshi wakipewa sehemu kusimamia hua hawapindishi japo katiba ya nchi hairuhusu hilo.
Huyo sio raia ni mwanajeshi tena senior officer na hajastaafu sasa ulitaka aende kazini kavaa msuli?? Kwani mavazi yana athiri nn?? Na pia si mwanajeshi wa nchi hii hii sasa shida iko?? Haya sema ww ulitaka avae nn??
Kama anafanya siasa hili siwezi ingilia maana sijaona..ila kama ni kuvaa tu kwenda kazini kwake ofisi za pccb sidhani kama ina maana mbaya mkuu..anavaa sare za jeshi halafu anafanya siasa ktk nafasi aliyoteuliwa.
..mnakumbuka alivyokuwa analumbana na viongozi wa cdm wakati tunakaribia kampeni za uchaguzi 2020?
..sasa kule siyo kuchafua taswira nzuri ya Jwtz?
Kama anafanya siasa hili siwezi ingilia maana sijaona..ila kama ni kuvaa tu kwenda kazini kwake ofisi za pccb sidhani kama ina maana mbaya mkuu
Mnampigia saluti ?Sie kwenye SU Yuko Bosi anavaa gwanda za Polisi.
Haikuanza jana. Muhidin Kimario aliwahi kuwa mkuu wa mkoa Tabora, Mwanza.Je, kulikuwa na sababu gani kuanza kuwatumia wanajeshi katika kazi za kiraia? Kwamba Jeshi ndio lina uzalendo? Au wasio wanajeshi sio Wazalendo ? Nahitaji kufahamu tija hasa ni ipi?
Wanajeshi ni watiifu, wakipewa order wanatekeleza ipasavyo...wapo hivyo siku zote. Kufanya kazi kwa weledi na kwa uzalendo. Naona mzee aliamua kuwatumia hao ili kujiepusha na sisi wengine wavivu.Je, kulikuwa na sababu gani kuanza kuwatumia wanajeshi katika kazi za kiraia? Kwamba Jeshi ndio lina uzalendo? Au wasio wanajeshi sio Wazalendo ? Nahitaji kufahamu tija hasa ni ipi?
Mnaiba mno mbona hicho kitengo alikuwa nacho raia lakini akawa anapokea rushwaKwani hakuna watz wenye uwezo wa hizi nafasi mpaka sinia officer wa jeshi watake over hayo majukumu.
Logically wao wamekuwa trained kuenforce zaidi badala ya logic implementation.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mi Nataka PTA pale Apewe mjeda
Walinzi wanampigia.Mnampigia saluti ?
Kina kandoro na kiwhelu walikuwa raia wa kawaida? Rais ana uwezo wa kumteua yeyote anayeona anafaa hata wewe kwa nafasi fulani, teuzi za jeshi zilikuwepo tuHili halina muda... Kuna mabadiliko mengi makubwa yanakuja... Jeshi litatengwa na shughuli na siasa na utawala libaki na dhima yake ya ulinzi na usalama
Watanzania ni washamba sana hata Viongozi wetu maana hawajui Uniform ni vazi la utambulisho wa kazi ya anayevaa ili aweze kukimbiliwa wakati wa dharura kwa msaada. Majeshi, Hospitali, Shule nk ni kati ya Taasisi za Serikali zinazovaa Uniform kazini au nje ya maeneo ya kazi kama lazima lakini kwenye nchi za wenzetu tulikoiga, ni Polisi tu ndo wanavaa Uniform popote hata mitaani. Mwanajeshi au Polisi akiteuliwa kwa kazi ya kiraia haruhusiwi kuvaa vazi lolote la kijeshi kazini hata mitaani ingawa atakuwa bado ana Uniform nyumbani na kama kazi yake mpya ina vazi lake basi atapewa. Tanzania utakuta . Mkuu wa Mkoa utakuta amevaa Combat ofisini!View attachment 1739305
Brigedia John Mbungo, Mkurugenzi Takukuru
Teuzi za wanajeshi zilishamirishwa na hulka ya Mtawala aliyepita, Hayati John P. Magufuli ambaye aliamini katika matumizi ya vitisho, nguvu na mabavu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali.
Je, bado CCM na Mh. Samia Suluhu Hassan wanaona fahari kwa Viongozi wa kiserikali kuendelea kuvaa kombati katika shughuli za kiraia?
Fahamu wajibu wa kikatiba wa Jeshi
- Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Ulinzi wa mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Kufanya mafunzo na mazoezi ili kujiweka tayari kivita wakati wote.
- Kufundisha umma shughuli za ulinzi wa Taifa.
- Kushirikiana na mamlaka za kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa
- Kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
- Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji mali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa.
- Kushiriki ulinzi wa amani kimataifa