wewe si ulisema uliacha shule form3 baada ya kusoma hizo conspiracies??sasa field ya uchumi umeingiaje tena
Basi wewe uko kwenye field ya conspiracy economics.
Elimu za kata banaFounders wa wazo la kuanzisha federal reserve ni Rothschild grandfather, na alilitoa Germany jinsi mfumo wao wa kibank ulivyokuwa unafanya kazi, akalipeleka Marekani bado wakalikataa, akaona labda amfuate Rockfeller ambaye kwa kipindi hicho alikuwa tajiri sana atumie influence yake kuishawishi serikali ipitishe bill, bado ikagongwa mwamba mpaka walipoingia Democratics, wakapitisha bill ya kuanzisha federal reserve kama central bank ya America na siyo kampuni binafsi kama unavyotaka kuamini wewe.
ndomaana imekuwa rahisi kwako kuamini hizo conspiraciesndo field yangu toka kitambo, Sina any degree but ndo field nliofanyia kazi kwa mda mrefu! na mpaka leo hua naendelea kujifunza more and more
Kwa nilivyoelewa hata Marekani kuwa nchi tajiri it means yeye mwenyewe ana akiba kubwa ya pesa za kigeni(foreign currency)kwasababu anaexport Sana kuliko kuimport
ndomaana imekuwa rahisi kwako kuamini hizo conspiracies
Huu uzi niliuona mwanzo kabisa nikauacha nikiamini JF kuna wanauchumi wa kueleza vizuri kumbe mpaka sasa watu hawako interested na kuelezea.
Hata ningechangia ningetoa mwanga kidogo kuliko kutoa hints
inshort nimesoma post zako nimegundua kwenye uwanja wa economics uko mweupehahhaa i dont care, cha muhimu nasoma plus an extra research nijue ukweli thats all mengine mm hayanihusu
IndeedBangi haijawahi kumuacha mtu salama
inshort nimesoma post zako nimegundua kwenye uwanja wa economics uko mweupe
lakini umemeza conspiracies ambazo I grant you ziko somehow 80% correct.
uko sawa ishu za fiat currency,utapeli w a $ currency nk.
Hizo ishu za federal reserve uko 50% correct ile ilianza kwa makubaliano baina ya serikali na wafanyabiashara lakini sio private company.
ishu za demand and supply uko mweupe ndomana unazipinga na hutaki kuzisikia.wakati ndiyo backbone ya uchumi
hauna solution yoyote ya kukuza uchumi hiyo ya kukopa zaidi sio solution mzee baba hata hujui jinsi hela inavyozalishwa..afadhali ungesema kukopesha with interest
inshort nimesoma post zako nimegundua kwenye uwanja wa economics uko mweupe
lakini umemeza conspiracies ambazo I grant you ziko somehow 80% correct.
uko sawa ishu za fiat currency,utapeli w a $ currency nk.
Hizo ishu za federal reserve uko 50% correct ile ilianza kwa makubaliano baina ya serikali na wafanyabiashara lakini sio private company.
ishu za demand and supply uko mweupe ndomana unazipinga na hutaki kuzisikia.wakati ndiyo backbone ya uchumi
hauna solution yoyote ya kukuza uchumi hiyo ya kukopa zaidi sio solution mzee baba hata hujui jinsi hela inavyozalishwa..afadhali ungesema kukopesha with interest
DEPT = NEW MONEYinshort nimesoma post zako nimegundua kwenye uwanja wa economics uko mweupe
lakini umemeza conspiracies ambazo I grant you ziko somehow 80% correct.
uko sawa ishu za fiat currency,utapeli w a $ currency nk.
Hizo ishu za federal reserve uko 50% correct ile ilianza kwa makubaliano baina ya serikali na wafanyabiashara lakini sio private company.
ishu za demand and supply uko mweupe ndomana unazipinga na hutaki kuzisikia.wakati ndiyo backbone ya uchumi
hauna solution yoyote ya kukuza uchumi hiyo ya kukopa zaidi sio solution mzee baba hata hujui jinsi hela inavyozalishwa..afadhali ungesema kukopesha with interest
New money kwa mdaiwa au mdai?DEPT = NEW MONEY
Kwa lugha nyepesi kwa mkulima, ni kuwa, pesa ni kama bidhaa zingine unazozijua, chukulia mfano wa bidhaa ya mahindi, kama wananchi wana njaa, ukaamua kulima mahindi mengi yakatapakaa kila kona ili watu wale washibe, ni kweli watashiba ila kwa upande mwingine bei ya hayo mahindi lazima itaanguka sana. Hata pesa nazo ukiprint nyingi zinakosa thamani, utalazimika kununua soda kwa laki 1.Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.
Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.
Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka serikali inaprintiwa pesa?
Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?
Wanauchumi karibuni mtupe a,b,c za hili jambo ili tupate kujifunza.
Huyo Kiranga ni mjuaji asiyejitambua i hate himπ€¦ββοΈ, Wacha nkupe elimu!
Demands and supply ni maelezo ya wanyonge, ndo kama wewe sasa! printing is done everyday, Here is some small info for you
View attachment 1622629
-> Pesa in simple terms tunasema ni imani ya mtumiaji, hkunaga sheria ya pesa! unfortunately watu kama nyie ndo wale hamchambui vitu vizuri mnarukia tu, if printing kills your money, then us dollar ingekua ya kwanza kufa kwa sababu inatumika dunia nzima (240 countries), kuanzia serikali mpaka wananchi wa kawaida thats including the government of the united states itself, so zpo za excess
Also kila sku mmoja The federal reserve wanachapisha noti mpya 24.8million dunia nzima, then why has the us dollar never lost is value? si ndio ipo foreign reserve BOT na dunia nzima?
-> wacha nkuulize swali lingine la ziada, ukichukua mkopo mpesa! unadhan vodacom wanatoa wap hio pesa kukupa?
-> Tafuta elimu usome zaidi achana na elimu za maji taka, ona sasa umebaki na graphs zako
Noted! ππ½Kuna jinsi unavyo changanya mambo. Ni haki yao kuwa na pesa hiyo yote kwasababu wanazalisha sana, wanauza nje sana, thamani ya kiwango cha pesa kinakuwa backed na shughuli za kiuchumi. Yani unachobidi uelewe ni kwamba shughuli za kiuchumi za Marekani ni kubwa sana Inauza na kununua kuliko nchi yoyote. Huo utajiri wa Benzos kwenye uchumi wa Marekani ni sawa na utajili wa Bakhresa kwenye uchumi wetu tena ukilinganisha na uchumi wetu Bakhresa anaweza kuwa ana percentage kubwa kwenye uchumi wetu kwa ela aliyo nayo.
Unabidi ulinganishe mambo kwa kutazama shughuli za kiuchumi. Marekani inanuanua kutoka China kuliko nchi zote za Afrika zikijumuishwa. Marekani inauza sana kuliko nchi zote za Afrika zikijumuishwa. Kucompare eti Benzos ana pesa kuliko nchi 6 za Afrika bila kuzingatia hayo mengine ni kupotosha.
Swali la mtoa mada? Kwanini serikali tusiwe tunaprint pesa kugharamia shughuli za kiserikali na kulipa madeni?
Jibu la hili swali sio rahisi sana ukitaka kwenda na wanauchumi wa tanzania sawa, ila kiuhalisia sio kwamba tunshindwa ila tuna kikwazo cha nan tutaexhange nae tsh akaikubali badala ya kuchukua USD! ingekua kuna wtu wanapokea TSH as TSH tungekua tunafanya tu kama marekani tunaprint tunawapa au tunalipia madeni, kikwazo ndo icho, au tunafanya kama china tunachapisha za kutosha tunakopesha serikali zingine ili washindwe kulipa, hichi ndo kikwazo pekee!
-Lakini pia, kibiashara bado hatuna return nzuri ya kuismamisha tanzania kiuchumi kustahimili economy shakes, Atleast these are the major problems for now! wananchi na pia wengi bado wanategemea ajira kama njia za kipato sasa hii sio nzuri kama taifa
Nafaka na stakehigh nimependa namna mnavyofunguka na jinsi mnavyojibizana kwa kujenga hoja zenu kwenye huu uzi.Ingekuwa hivyo, mbona USA ana deni China mbona hajaprint tu kulilipa hilo deni? Mbona kuna projects alizi damp kwa kukosa funding na nyingine ziko grounded bila kuendelea kwasababu ya funds, kwanini asiprint akazifanya