chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Bwana mdogo uelewa wako ni hafifu sana. unajua maana ya NENO kuhalalisha Lakini??Kama wasingeingia huko bungeni ndio ingekuwa matokeo ya uchaguzi hamkuibiwa?
Au kitu gani kingebadilika?
Chadema wamesusa ila kila siku wako kwenye mitandao kushauri serikali, sasa wanashauri serikali ipi wakati uchunguzi hawautambui?