Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Wamevurugwa sana,maana walizoea kusifu tu,ghafla kumepambazuka yale waliyokuwa wanayakingia kifua kwa uoga wanajikuta yanawatoka involuntarily, wanajikuta wamekuwa wanafiki wa kiwango kikubwa sana
🤣🤣🤣 Kweli kabisa
 
Hao wabunge wanachama na chama chao ni CCM subirini 2025 ndio mtawaona wakimeremeta na kijani na njano wakimfanyia kampeni mama yetu Samia.
Kweli si kwa mapambio haya
 
Kwa sasa bungeni ni full mapambio na nyimbo za kuabudu.
Eti tuna imani na samia.

Chadema achaneni na HAO wabunge.endeleeni na maisha yenu.
Si mmeshaamua kuwafukuza sio wanachama wenu.
Sasa mbona mnahangaika nao?.
 
Kama mmeamua kujitua huo mzigo.achaneni nao watajuana wenyewe.
Kikubwa nyie mmejitoa hamuusiki na HAO wabunge.ila kulazimisha HAO wabunge wafukuzwe unaonekana mnaumia
Kwa sasa bungeni ni full mapambio na nyimbo za kuabudu.
Eti tuna imani na samia.
 
Kama mmeamua kujitua huo mzigo.achaneni nao watajuana wenyewe.
Kikubwa nyie mmejitoa hamuusiki na HAO wabunge.ila kulazimisha HAO wabunge wafukuzwe unaonekana mnaumia
Ngoja tuachane nao tuendelee kujifukiza
 
Hapo mtakuwa mmefanya Jambo la maana sanaaa.
Na mtaonekana mmepevuka kiakili.
ILA kushinda kila siku kulia Lia na HAO wabunge itaonesha roho zinawauma wao kupokea mishahara na posho.
PIGENI KIMYA
Ngoja tuachane nao tuendelee kujifukiza
 
Coz sababu za kuwavua uanachama wao sio za msingi,

Hata wakina silinde walilindwa na spika wakati ule mbowe amepiga bia zake anaawambia wabunge wote watoke nje ya bunge kisa kuna corona

Viti maalum ni takwa la kikatiba, na wakina mdee wamefukuzwa just because wametii katiba
So far Sidhan Kama Kuna mwanaccm jeuri Kama mwendasake...wewe jibu kifedhuli tu lakin kumbuka huwez kumfikia mwendasake kwa jeuri na zereu. Na jeuri yake yoooote mwendasake katokomea itakuwa wewe?!!

Endeleza ufedhuli lakin Mungu yupo atakujibu soon....vinginevyo tubu uache kushabikua uovu dhidi ya binadamu wenzio.
 
So far Sidhan Kama Kuna mwanaccm jeuri Kama mwendasake...wewe jibu kifedhuli tu lakin kumbuka huwez kumfikia mwendasake kwa jeuri na zereu. Na jeuri yake yoooote mwendasake katokomea itakuwa wewe?!!

Endeleza ufedhuli lakin Mungu yupo atakujibu soon....vinginevyo tubu uache kushabikua uovu dhidi ya binadamu wenzio.

Uovu ni wanawake kwenda bungeni kwenye viti vyao?

Im telling you vile viti maalum vingekuwa vya wanaume chadema wasingeacha, ila kwa vile ni wanawake wanapata wivu tu

Mbona hampigi kelele viongozi wenu wote wako nje ya inchi?

Ilitakiwa mshangae sasa hiki chama kinaendeshwaje

Ila hayo hamyaoni nyie mnachokiona ni watoto wa kike kuwa wabunge, wanaume wazima jasho linawatoka
 
Hapo mtakuwa mmefanya Jambo la maana sanaaa.
Na mtaonekana mmepevuka kiakili.
ILA kushinda kila siku kulia Lia na HAO wabunge itaonesha roho zinawauma wao kupokea mishahara na posho.
PIGENI KIMYA
🙏🙏🙏 Kweli mkuu
 
Ofisi ya spika wa bunge inaendeshwa kihuni. Totally double standards
 
Wabunge wote wale mle bungeni wa viti maalum na wa majimboni akiwepo Nape aliyepita bila kupingwa hawana sifa. Kwahiyo kuweka Sawa ni kwamba uchaguzi urudiwe ndio tutapate wabunge wapya
At least hao hawajafukuzwa na vyama vyao
 
Uovu ni wanawake kwenda bungeni kwenye viti vyao?

Im telling you vile viti maalum vingekuwa vya wanaume chadema wasingeacha, ila kwa vile ni wanawake wanapata wivu tu

Mbona hampigi kelele viongozi wenu wote wako nje ya inchi?

Ilitakiwa mshangae sasa hiki chama kinaendeshwaje

Ila hayo hamyaoni nyie mnachokiona ni watoto wa kike kuwa wabunge, wanaume wazima jasho linawatoka
Unajua kanuni ya kupata wabunge wa viti maalum ?!. Ukijua hilo ndiyo maana CDM wanalalamikia utaratibu uliotumika kuwaweka kina Mdee hapo. Vile viti ni juhudi ya chama . Ilitakiwa kukiachia chama kihusike na upatikanaji wao . Si kuchaguliwa na washindani wao
 
Kwa nini hutaki katiba mpya?
Kwa sasa tutaendelea hivi hivi
Hakuna katiba mpya wala tume nyingine, hili la tume ni maalum kwa ajili ya kuwafurahisha chadema no way

As long as mambo yanakwenda basi acha twende
 
Unajua kanuni ya kupata wabunge wa viti maalum ?!. Ukijua hilo ndiyo maana CDM wanalalamikia utaratibu uliotumika kuwaweka kina Mdee hapo. Vile viti ni juhudi ya chama . Ilitakiwa kukiachia chama kihusike na upatikanaji wao . Si kuchaguliwa na washindani wao

Chama si kimesusa? So mwenyekiti wa wanawake wa chadema Akaona hakuna haja ya kususia wao kama wanawake wacha waendelee so no problem
 
Chama si kimesusa? So mwenyekiti wa wanawake wa chadema Akaona hakuna haja ya kususia wao kama wanawake wacha waendelee so no problem
Katiba ipi inasema hivyo ?!
Ya nchi
Ya Ccm
Ya NEC
au ya Cdm
 
Back
Top Bottom