Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Kupiga hatua ni kuwa na tume mpya? Kupiga hatua ni kuwa na katiba mpya? Nyie mnataka tume mpya kwa manufaa yenu ya kichama, sisi kama wanainchi tume mpya ya uchaguzi ya nn
USIJIDANGANYE kwamba WEWE waweza kuzuia mahitaji ya KWELI ya wananchi.
Hatua ya mwanzo tayari, sasa tunakaribia arobaini ya Mwendazake, labda ndio utaanza kuamini.
Jiwe alikuwa mbishi na mwenye kiburimbuzi kuliko wewe.
 
USIJIDANGANYE kwamba WEWE waweza kuzuia mahitaji ya KWELI ya wananchi.
Hatua ya mwanzo tayari, sasa tunakaribia arobaini ya Mwendazake, labda ndio utaanza kuamini.
Jiwe alikuwa mbishi na mwenye kiburimbuzi kuliko wewe.

Mbona unatoka nje ya hoja
Jiwe anaingiaje hapa?
 
..Kwanini Chadema wasiwasamehe tu,ili kujenga umoja wa chama?,na M/kiti sijamsikia tamko lake kuwahusu hawa wabunge.
 
Kama sijakosea wanapaswa kuitahalifu tume ya uchaguzi kwani wabunge hao wanpelekwa bungeni na tume tume itamwalifu sipika
Iljshaelezwa na. KATIBU Mkuu wa Chema kwamba hawajawahi peleka manina TUME ya uchaguzi. Uhuni ukufanyika anti ya Tume na Bunge. Wao wanajua shabaha yao
 
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.

Ni ubabe. No more, no less. Kwa kuwa wanakinga ya kutoshitakiwa. Kilichobaki ni kuwaombea dua baya.
 
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.

Naamini hakuna jambo lisilokuwa na sababu. Labda nafsi zao zinawasuta kuwa hao wapinzani walistahili kuwepo mjengoni lkn karata 3 ilitumika sasa wanawarejesha kwa style hiyo anyway Mungu naye ananjia zake kumrudishiwa mtu kile kilichoibiwa na adui
 
Naamini hakuna jambo lisilokuwa na sababu. Labda nafsi zao zinawasuta kuwa hao wapinzani walistahili kuwepo mjengoni lkn karata 3 ilitumika sasa wanawarejesha kwa style hiyo anyway Mungu naye ananjia zake kumrudishiwa mtu kile kilichoibiwa na adui
kweli mkuu
 
Back
Top Bottom