Wataulinda utawala wao kwa nguvu za dola.
Je, hawajiamini ushindani wa hoja?
Je, wamefanya makosa mengi?
Je, wamenyang'anya na kudhulumu sana?
Je, wanaogopa kupandishwa vizimbani?
Je, wanataka kupima nguvu za wananchi walio wengi ambao wapo wazi kuikataa CCM kwenye sanduku la kura?
Je, wanaogopa mahesabu ya matrilioni yaliopotea wakiwa wao ni wenye kuiongoza tuseme kuitawala?
Hivi wanaogopa kitu gani kiasi ya kutembea na booking za tiketi za ndege mkononi?
Je, hawajiamini ushindani wa hoja?
Je, wamefanya makosa mengi?
Je, wamenyang'anya na kudhulumu sana?
Je, wanaogopa kupandishwa vizimbani?
Je, wanataka kupima nguvu za wananchi walio wengi ambao wapo wazi kuikataa CCM kwenye sanduku la kura?
Je, wanaogopa mahesabu ya matrilioni yaliopotea wakiwa wao ni wenye kuiongoza tuseme kuitawala?
Hivi wanaogopa kitu gani kiasi ya kutembea na booking za tiketi za ndege mkononi?