Ngoja tuone kama atazuia uchaguzi...Huyo mtu wenu mnayemuabudu ana nini cha maana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone kama atazuia uchaguzi...Huyo mtu wenu mnayemuabudu ana nini cha maana!
Sijaona Maria akitukana serikali zaidi ya kuongoza mijadala,Je Mtoto Ndio afanye kazi ya baba yake ipuuzwe? Tena mtoto aliezidi miaka 18 na ana familia yake?Fatma huwa hatukani hovyo huwa anatoa hoja kukosoa jambo ambalo kweli linastahili kukosolewa ila huwa hana muda wa kutukana serikali hata siku moja
Kwani wakienda itasaidia nini?Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.
Katiba ya nchi inamlazimisha kuenda kwenye kila msiba mbona mkuu unakua too personal Raisi ana uhuru wa kuamua nani ampende nani asipende ondoa hapa chuki na ubaguzi wakoProf. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.
Yule alikua Raisi wa zamani analindwa na katiba acha kunchanganya mambo.Unataka kusema Akifa Karume Serikali haitahusika sababu Fatma anaipinga serikali?
Waziri mstaafu je? Kwa taarifa yako anapokea pesa za serikali na anatunzwa na serikali mpaka anakufa waziri mstaafu.Yule alikua Raisi wa zamani analindwa na katiba acha kunchanganya mambo.
Uraisi ni taasisi,kama hataki kutukanwa aachie ngazi arudi Kizimkazi aone kama kuna mtu atamfuatiliaKwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Pesa sio za Umma ni za SSH wanavyosema machawa wake na chama chake na wengu wa Watanzania wanakubaliana nap.Kama Serikali.imejitenga ni makosa makubwa sanaaa....SSH uone aibu jamani mtoto kuwa tofauti na baba au familia ni kawaida .....ndio demokrasia hiyoo.....pesa sio zako ni za umma ....toa pesa wakamzile mkongwe Sarungi mengine utajua wewe na Maria wako
Itakuwa jambo la kushangaza sana SSH akaususa huu msiba tena kwenye kipindi hiki cha mfungo kwa sababu tu ya Maria Sarungi.Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.
Ni waziri mkuu mstaafu sio kila waziri kwamba analindwa na katiba kaisome vzri tu.Waziri mstaafu je? Kwa taarifa yako anapokea pesa za serikali na anatunzwa na serikali mpaka anakufa waziri mstaafu.
Nadhani ubaguzi unaupika weweProf. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.
Huo mtifuano kwenye comments nimeupenda uko live kabisa. Poleni na msiba wafiwaProf. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.
Toa upumbavu wako kama una uchungu kamlilie au kama Kuna mtu anatukana Wazazi wako nenda kashiriki shida zao uwasaidie.Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.
Unaijua Ccm vizuri?Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Huyu mzanzibari aanajifanya muumini wa 4R ni kwann chuki zake kwa Maria Sarungi anazielekeza kwa prof. Sarungi RIP?
Huyu mama asituletee utamaduni wa nchini kwao Zanzibar wa kwamba mtu akikosana na jirani yake hata msibani anasusa. 2025 huyu mama hatoboi kwa ubaguzi huu.