Usimsemee Rais, marehemu Prof. Sarungi ni mtu tofauti na Maria.Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Matendo ya Maria hayawezi kutumika kumhukumu.