Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Usimsemee Rais, marehemu Prof. Sarungi ni mtu tofauti na Maria.
Matendo ya Maria hayawezi kutumika kumhukumu.
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Bichwa lako la habari na utumbo wako wa habari ni vitu tofauti.
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Maria ni Maria Professor ni Yeye alikuwa mtumishi wao! Huu ni uzwazwa.
Msiba utaisha tuu!.
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Uzuri hata CCm wasiposhirki atazikwa tena kwa wakati na Kodi zetu zitapona.
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Demokrasia imekuwa ngumu kutsafsiri
 
Issue siyo mungu ila tanzaniani nchi yetu wote na yule ni raisi wetu kuna kukosoa , kutukana , kudhalilisha na kufitinisha hivyo ni vitu tofauti lazima ujue tofauti yake
Unapotukana na kudhalilisha nchi au taasisi ya raisi hilo siyo sawa, hata aje raisi gani mapungufu na kukosolewa kupo ila siyo kutukana na kudhalilisha
Rais gani huyu anayetudhalilisha watanganyika kwa kuuza maliasili zetu! Mwizi ni mwizi tu hana jina lingine
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Baba anahusikaje sasa
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Pia aliwahi kuwa waziri wa Ulinzi wakati mkuu wa majeshi akiwa Jenerali George Marwa Waitara.
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Ukiona kwenye Jambo lako Shetani kakimbia unapaswa kumshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom