Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

Baba wa mkwewe alikuwa waziri?? Hata hivyo aliwatuma akina Nchimbi na Wasira pamoja na viongozi wengine wa serikali ngazi ya mkoa na wilaya.

Hata kwa prof. Sarungi tunalalamikia serikali yake kujitenga na msiba huo
Mkwewe ni waziri hiyo ni tosha tu kibinadamu kuwepo hata private; na bado mtoto wake kaolewa huko. Maana yake pia kwake ule ni msiba wa kifamilia, lakini hakuonekana walau kwenye media akienda kuhani msiba.

Ukitoa misiba ambayo serikali ya Tanzania inaitambua kama ‘state funerals’ basi hiyo mengine aiwahusu ata kama marehemu alikuwa waziri huko nyuma.

Washafariki mawaziri wengi tu na viongozi wakuu wa serikali kutokufika kabisa, hizo sio state funerals. as far as serikali is concerned. Kwenda ni ubinadamu tu.
 
Majibu ni yale yale anayoyasema Drump kuwa viongozi wa kiafrika ni wanafiki na ni wabinafsi.hawapendi kuwa challenged.ukimkosoa anakifanya wewe ni adui.black continent with black thinking.

Mkwewe ni waziri hiyo ni tosha tu kibinadamu kuwepo hata private; na bado mtoto wake kaolewa huko. Maana yake pia kwake ule ni msiba wa kifamilia, lakini hakuonekana walau kwenye media akienda kuhani msiba.

Ukitoa misiba ambayo serikali ya Tanzania inaitambua kama ‘state funerals’ basi hiyo mengine aiwahusu ata kama marehemu alikuwa waziri huko nyuma.

Washafariki mawaziri wengi tu na viongozi wakuu wa serikali kutokufika kabisa, hizo sio state funerals. as far as serikali is concerned. Kwenda ni ubinadamu tu.
Profesa Sarungi hakuwa mtu wa hivihivi tu. Kinachotushangaza ni ukimya wa baadhi ya viongozi wakubwa akiwemo Rais kwenye msiba huu. Hawalazimiki kufanya chochote lakini kwa utamaduni wetu hata salamu tu ya rambirambi ingetosha. Watu wanatoa pole kwa vifo vya wasanii na kwa watu wa nje lakini siyo kwa kiongozi mstaafu aliyeacha alama kubwa kwenye taifa hili. Inshashangaza sana. Hawalazimiki ila tunawashangaa tu. Yote haya ni kwasababu mtoto wa marehemu anaikosoa serikali?
Kumbe watu wanabeba hasira na chuki vifuniani mwao hata wakati wa mwezi huu mtukufu.
 
Kaacha alama gani ya maana zaidi ya mtoto wake chamatusi
Ameokoa roho nyingi za watanzania kibaha hospital ndiye aliye anzisha ma hospital ma jeshini...amefanya Mambo mema Sana kwenye hii nchi na ni shabiki mkumbwa wa simba
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Yataje hayo matusi.

Maria ni Philemon?
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?

Wazenji ni wabaguzi sana. Time will tell
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Samia ni mswahili sana, mwenye vinyongo na chuki za kijinga sana. Kisha utasikia anasema eti amefunga ramadhan
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Profesa Sarungi hakuwa mtu wa hivihivi tu. Kinachotushangaza ni ukimya wa baadhi ya viongozi wakubwa akiwemo Rais kwenye msiba huu. Hawalazimiki kufanya chochote lakini kwa utamaduni wetu hata salamu tu ya rambirambi ingetosha. Watu wanatoa pole kwa vifo vya wasanii na kwa watu wa nje lakini siyo kwa kiongozi mstaafu aliyeacha alama kubwa kwenye taifa hili. Inshashangaza sana. Hawalazimiki ila tunawashangaa tu. Yote haya ni kwasababu mtoto wa marehemu anaikosoa serikali?
Kumbe watu wanabeba hasira na chuki vifuniani mwao hata wakati wa mwezi huu mtukufu.
Muhimu hapo na cha msingi ni kukubali serikali aihusiki, kwenye huo msiba.

Hapo kwenye tamaduni za jamii nakubaliana na wewe (uungwana) ni kufanya abc kama ritual zetu za misiba ata kwa kuandika pole tu kwenye kurasa ya raisi.

Lakini binadamu tunatofautiana tabia, wengine kwenye misiba kila mtu anataka ajue kafiwa (mfano Jenista) na wengine wanaumia kimya hadharani macho makavu msibani. Ila sasa wakiwa wenyewe majumbani mwao wanalia wee mpaka basi.

Wengine wanapenda kusindikiza wenzao mfano Jakaya hata misiba ya majirani zake hakosi, wengine wakishapiga simu ya pole inatosha kama wapo mbali.

Sasa hayo ni maswala ya tabia za watu, chuki kwa Maria sidhani, maana hata Mchengerwa hakumpa pole ya hadharani. Sasa aina maana private awakuongea pia na kupeana pole.

Mengine ni tabia za watu tu na namna wanavyo deal na emotions zao.
 
Makamu Mwenyekiti Mzee Stephen Wasira kumbe yuko Republican siku hizi? Jana hukumwona msibani?🙏🙏🙏
Watu wengi wanapenda kufanya siasa za mihemko na za maji taka mpaka kwenye misiba.

Profesa hata hajazikwa, msiba unasubiri ndugu warudi, wapambe washasema CCM imeutenga msiba.

Tumuheshimu huyu Mzee jamani, kwa nini watu wanataka kupenyeza siasa kwwnye msiba wake?
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Kwa hiyo jino kwa jino? na tupo kwenye mwezi wa toba hiyo ni sawa?
 
Mwana anamcost baba nasikia maria hata msibani anaogopa kuja.
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Tuoneshe matusi aliyomtukana.Ninavyojua Mimi Huwa anamwambia ukweli matendo yake maovu kama ya kutekwa watu na mapungufu mengine
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Maria ni Maria ana mamlaka na utashi wake Binafsi na Mzee Sarungi ni mwana CCM. Kwa iyo ya Maria yaachwe Kwa Maria kwani Maria ni mtu mzima na Marehemu Sarungi asingeweza kumwamuru Kwa lolote lile
 
Unaijua Ccm vizuri?
Unawajua walimu vizuri?
Unawajua polisi vizuri?

Hoja yako ni nzuri sana ila ukishawajua vizuri niliowataja hapo juu kwasasa siyo rahisi Samia kutoshinda au kushindishwa. Taifa hili kwasasa hata mtu yeyote kutoka nchi yeyote awe mbovu au mzuri akifanikiwa kupitia Ccm na akateuliwa na wakaelewana vizuri na Kikwete jua huyo ndiyo rais wako. Maana wasimamizi wa uchaguzi ni walimu na walinda kura ni polisi wetu nadhani unazijua njaa za hao watu. Wakipewa laki tu mzee watavunja watu miguu kama hawana akili na walimu watabeba kura feki utadhani wanalipwa mamilioni baada ya hapo wanaanza kupambana na kausha damu.
Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya Halmashauri ni Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa, Wilaya, Miji ambao waliteuliwa na Rais ambaye ni mmoja wa wagombea. What do you expect? Hao walimu mnawasingizia tu!!!!
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Kama wamejitenga basi ni vizuri sana kwani wangekwenda kunajisi wasifu uliotukuka wa Profesa wetu mpendwa. Tena wanatakiwa wakae mbali sana kwani CCM ya kina Sarungi ilikuwa CCM ya wananchi na CCM ya Samia ni ya matapeli.
 
Back
Top Bottom