Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Makamu Mwenyekiti Mzee Stephen Wasira kumbe yuko Republican siku hizi? Jana hukumwona msibani?🙏🙏🙏
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Majibu ni yale yale anayoyasema Drump kuwa viongozi wa kiafrika ni wanafiki na ni wabinafsi.hawapendi kuwa challenged.ukimkosoa anakifanya wewe ni adui.black continent with black thinking.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Wengine hutafsiri Siasa ni uadui !
Na wengine huamini Siasa ni kukomoana !
Ule msemo wa kwamba tusigombee fito tunajenga nyumba moja !
Kwisha habari yake !
Siasa kwa sasa ni mahali pa kuchuma Utajiri !
Waswahili Wanasemaga kwenye kipato hapakosi fitna na husda !
Ndipo tulipo kwa sasa 😳 !
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Kamtukana matusi gani ebu lete hapa tuyaone?

Au huko kwenu kukosoa kitu ndo kutukana
 
D
Majibu ni yale yale anayoyasema Drump kuwa viongozi wa kiafrika ni wanafiki na ni wabinafsi.hawapendi kuwa challenged.ukimkosoa anakifanya wewe ni adui.black continent with black thinking.
Duh 🙄 !
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Acha upotoshaji gentleman, hakuna haja ya kutafuta kiki msibani kwa muungwana Mzee Philemon,

Mzee ameumaliza mwendo, ni vizuri kuwa wangwana na kujiepusha na upotoshaji na mzee apumzike kwa amani 🐒
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Mimi ni mfuasibwa maria mtandaoni sijawahi ona matusi. . labda uyaweke hapa
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Mmh wamejitengaje wakati Wassira alienda jana?
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
-Maria hajawahi kumtukana mtu.
-Kuwa na mitazamo tofauti na CCM si mtusi kwa Samia wala kwa mtu yoyote yule wa CCM.
-Mitazamo ya Maria kisiasa haihusiani na mitazamo ya baba yake na wala haiufuti uanachama wa baba yake CCM.
-Ukweli kuwa amekuwa mtumishi na kiongozi wa serikali wa ngazi za juu chini ya CCM hauwezi kufutika eti kwa sababu mwanae ni supporter wa CHADEMA.

Kwa kifupi CCM kimejaa viongozi wenye roho za kutu, husda na za kikatili. Wanataka kila mtu awe chawa wao vinginevyo unahesabika ni adui unayestahili kutekwa na kuteswa/kuuawa.
 
Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.

Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
sifa kuu ya CCM chuki na wizi iwe pesa,kura,pembe za ndovu,bandari wanaweza kukuibia hata roho yako
 
Back
Top Bottom