Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
kuna msiba mkubwa na mdogo?Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna msiba mkubwa na mdogo?Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Makamu Mwenyekiti Mzee Stephen Wasira kumbe yuko Republican siku hizi? Jana hukumwona msibani?🙏🙏🙏Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Hao ni kina nan kwani?
Makamu mwenyekiti Chadema pamoja na Naibu katibu MkuuHao ni kina nan kwani?
Sisi emu ni wahuni tu brazaMakamu mwenyekiti Chadema pamoja na Naibu katibu Mkuu
Ni zaidi ya wahuni braza, ni majambaziSisi emu ni wahuni tu braza
Majibu ni yale yale anayoyasema Drump kuwa viongozi wa kiafrika ni wanafiki na ni wabinafsi.hawapendi kuwa challenged.ukimkosoa anakifanya wewe ni adui.black continent with black thinking.Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Hapo umemtukana dada wawatu bureFatma huwa hatukani kama huyu lesbian Maria Sarungi
Wengine hutafsiri Siasa ni uadui !Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Kamtukana matusi gani ebu lete hapa tuyaone?Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Duh 🙄 !Majibu ni yale yale anayoyasema Drump kuwa viongozi wa kiafrika ni wanafiki na ni wabinafsi.hawapendi kuwa challenged.ukimkosoa anakifanya wewe ni adui.black continent with black thinking.
Acha upotoshaji gentleman, hakuna haja ya kutafuta kiki msibani kwa muungwana Mzee Philemon,Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
Acha chuki zako.Kaacha alama gani ya maana zaidi ya mtoto wake chamatusi
Mimi ni mfuasibwa maria mtandaoni sijawahi ona matusi. . labda uyaweke hapaKwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Mmh wamejitengaje wakati Wassira alienda jana?Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
-Maria hajawahi kumtukana mtu.Kwa hiyo unataka kusema huyu Professor ambae mwanae anshinda mitandaoni kumktukana Rais usiku mchana unaona ulikuwa ni sahihi? SSH nae ni binadamu pia ,hata ungekuwa ni wewe matusi ya mariah sarungi hayavumiliki
Akili hizi ndizo zinatukwamisha kama taifa.Kaacha alama gani ya maana zaidi ya mtoto wake chamatusi
sifa kuu ya CCM chuki na wizi iwe pesa,kura,pembe za ndovu,bandari wanaweza kukuibia hata roho yakoProf. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali.
1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa.
2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti.
3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti.
4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote.
Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga na msiba huu mkubwa wa prof. Sarungi?
CCM imetengeneza wssyenge wakutosha duhKaacha alama gani ya maana zaidi ya mtoto wake chamatusi