Kwanini CCM inaruhusu watu wahoji udini?!

Kwanini CCM inaruhusu watu wahoji udini?!

Haya mambo naona yanakuwa influenced na dini ya kiongozi aliyepo madarakani, ok huwa wanasema wanatazama sifa hawatazami dini.

Lakini ni kweli kwa hii jamii yetu leo iliyo na wasomi mchanganyiko toka kila upande, wakakosekana wa upande wa pili ili kuleta usawa?
Kama hamjaomba? Nasikia kayafa alikua akitoa majina kwa maaskofu vipi hawa Samia akiwaokota huko bakwata kunae shida?
 
View attachment 2415777

Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!

CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.

Udini umekujaaa...we huoni mgawanyo wa Zainzibar na bara kila nafasi?nafasi ya mwenyekiti utaenda Zanzibar..makamu bara... kwahiyo Kama hakuna mkristo Zanzibar aliejitokeza wafanyaje?
 
Udini umekujaaa...we huoni mgawanyo wa Zainzibar na bara kila nafasi?nafasi ya mwenyekiti utaenda Zanzibar..makamu bara... kwahiyo Kama hakuna mkristo Zanzibar aliejitokeza wafanyaje?
Kwa nini iwe pendele[vu] ngazi ya juu kwa wa-Zanzibar na si Tanganyika?

Huoni swali juu ya sintofahamu ziada?!!
 
Tunabomoa mfumo Kristu,Kama Mwenyekiti na Makamu wake ni Waislamu,Kuna shida gani kuteua ndugu zao katika Imani.
 
Weka evidence ya hizo kelele za upendeleo WA dini awamu ya tano
 
Back
Top Bottom