Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Namfahamu "Enock" mmoja aliyeachwa. Hivyo walikuwepo lakini hawajawekwa hapoKama hao kina Enock hawataki kugombea walazimishwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namfahamu "Enock" mmoja aliyeachwa. Hivyo walikuwepo lakini hawajawekwa hapoKama hao kina Enock hawataki kugombea walazimishwe?
Ya KCMC ya udini umeyasikia?Don't continue living like a past, the future will never find you......21st century......uko na udini bado!!?......
Ungetuma maombi kama we ni kada wao na si kulaumu.....Kwa kujificha kwenye kichaka cha udini.....
grow up!.......
Duh, kama tumefika huko nchi iko pabaya sana.Namfahamu "Enock" mmoja aliyeachwa. Hivyo walikuwepo lakini hawajawekwa hapo
KUngewekwa majina ya walioomba against waliopata ndo tungejua kwa undani..!!!Duh, kama tumefika huko nchi iko pabaya sana.
Huwezi kulibagua kundi kubwa na lenye nguvu zaìdi nchi ikabaki salama.
Wajitafakari.
View attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
Sijaona tatizo. Kingekuwa Chama kingine sawa, lakini CCM? Yeyote apewe tu, no impact.View attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
Kweli. Tusihukumu bila kujua ukweli ni upi.KUngewekwa majina ya walioomba against waliopata ndo tungejua kwa undani..!!!
Huu ni uchaguzi wa baraza la ulamaa au chama cha siasa huko Afrighanstan !.View attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
Nimeambo uraia wa Zanzibar!.Awamu ya sita tutaikumbuka kwa udini na uzanzibari.
si mlikubali kuungana na zanzibar?mkubali yote sasa ndo tulichokichagua wenyewe.Halafu wote kutoka ZANZIBAR [emoji91]yaani zanzibarization
John umekuwa msenge sana siku jiziJina siyo dini
Askofu mkuu wa Anglican church alikuwa anaitwa Ramadhan kutokea Zanzibar
Matusi ni mtaji hapo Ufipa st Kinondoni ShambaJohn umekuwa msenge sana siku jizi
Hata Jaji Mkuu wa Tanznia anaitwa Ibrahim HamisJuma ni MsabatoJina siyo dini
Askofu mkuu wa Anglican church alikuwa anaitwa Ramadhan kutokea Zanzibar
Hii lugha kali sana haifaiJohn umekuwa msenge sana siku jizi
Wewe umeliweka hili kitaalam sana.àHakuna cha abdala wala John wote HAO ni wahuni Tu hakuna kilichobora ndani ya CCM
Labda hao wakina Enock wana akili timamu na hawataki ujingaujinga na uhuni wa rejareja.Haya mambo naona yanakuwa influenced na dini ya kiongozi aliyepo madarakani, ok huwa wanasema wanatazama sifa hawatazami dini.
Lakini ni kweli kwa hii jamii yetu leo iliyo na wasomi mchanganyiko toka kila upande, wakakosekana wa upande wa pili ili kuleta usawa?
Huyo ni mlumumba mwenzako namfahamu ila amekutazama kwa jicho la udini ndiyo maana kakutukanaMatusi ni mtaji hapo Ufipa st Kinondoni Shamba
Hahaha.... nimekuelewa bwasheeHuyo ni mlumumba mwenzako namfahamu ila amekutazama kwa jicho la udini ndiyo maana kakutukana
Enzi za Magu ilikuwa watu wa Lake Zone kona Heri James. Wale walikuwa wa wakitukana wapinzani wanapongezwaEnzi za Magu kulitawaliwa na wakristo tupu hukuwahi piga kelele. Hii tuachie sisi wewe endelea kulinda kaburi!!