TATACHACHA
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 793
- 1,671
Kwani kuteuliwa waislam tupu ni tatizo? Au imekuuma kuambiwa kalinde kaburi? You too as well linda kaburi la kuhani mkuu wenu.Kwa hiyo kwako hii ndio njia ya kutatua tatizo?
Mna mihemko ya ajabu sana.
Kama hamjaomba? Nasikia kayafa alikua akitoa majina kwa maaskofu vipi hawa Samia akiwaokota huko bakwata kunae shida?Haya mambo naona yanakuwa influenced na dini ya kiongozi aliyepo madarakani, ok huwa wanasema wanatazama sifa hawatazami dini.
Lakini ni kweli kwa hii jamii yetu leo iliyo na wasomi mchanganyiko toka kila upande, wakakosekana wa upande wa pili ili kuleta usawa?
Enzi za Magu kulitawaliwa na wakristo tupu hukuwahi piga kelele. Hii tuachie sisi wewe endelea kulinda kaburi!!
Kwani kuteuliwa waislam tupu ni tatizo? Au imekuuma kuambiwa kalinde kaburi? You too as well linda kaburi la kuhani mkuu wenu.
View attachment 2415777
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!!
CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
Kwa nini iwe pendele[vu] ngazi ya juu kwa wa-Zanzibar na si Tanganyika?Udini umekujaaa...we huoni mgawanyo wa Zainzibar na bara kila nafasi?nafasi ya mwenyekiti utaenda Zanzibar..makamu bara... kwahiyo Kama hakuna mkristo Zanzibar aliejitokeza wafanyaje?
Zanzibar na Tanganyika ni equal parties kwenye muungano, so sio lazima kila mara mwenyekiti atoke baraKwa nini iwe pendele[vu] ngazi ya juu iwe Zanzibar na si Tanganyika?
Huoni swali juu ya sintofahamu ziada?!!
MarehemuJina siyo dini
Askofu mkuu wa Anglican church alikuwa anaitwa Ramadhan kutokea Zanzibar
Kelele kama hizi sikuzisikia kipindi cha Magufuli
Zanzibar na Tanganyika ni equal parties kwenye muungano, so sio lazima kila mara mwenyekiti atoke bara
Acha kuliakulia...mbona wakati wa magu hamkupiga keleleKwa nini iwe pendele[vu] ngazi ya juu kwa wa-Zanzibar na si Tanganyika?
Huoni swali juu ya sintofahamu ziada?!!
Huyo ana chuki na Rais Muislam..anatafuta kila angle ya Ku justify chuki yakeZanzibar na Tanganyika ni equal parties kwenye muungano, so sio lazima kila mara mwenyekiti atoke bara
Weka evidence ya hizo kelele za upendeleo WA dini awamu ya tanoZilikuwepo nyingi sana tu, labda kama umesahau.
Weka evidence ya hizo kelele za upendeleo WA dini awamu ya tano
Weka evidence ya hizo kelele za upendeleo WA dini awamu ya tano