🗑️🗑️Ukijaribu kuangalia kwa makini utaona hata hapo mtaani kwenu kuna kamradi aidha kataanza mwaka huu au mwakani YANI mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali kuu na serikali za mitaa.
Miradi hii yaweza kuwa zahanati shule barabara maji umeme nk !
Je hii sio rushwa? @LukasMwashambwa
Danganya toto,ili wale mbumbumbu danganyika wakawapigie kura kwenye chafuzi/chaguzi tarajiwa🤣Ukijaribu kuangalia kwa makini utaona hata hapo mtaani kwenu kuna kamradi aidha kataanza mwaka huu au mwakani YANI mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali kuu na serikali za mitaa.
Miradi hii yaweza kuwa zahanati shule barabara maji umeme nk !
Je hii sio rushwa? @LukasMwashambwa
Bora uletewe sungura ukicheza unalishwa nyau na kudanganywa ni kasungura🤣Miaka 4 yote wanakwapua wao halafu mwaka wa mwisho wanawaletea kasungura kalikobaki.
Hapo Chadema itakuwa inakomoa ccm au? 🤣🤣Wanaleta Miradi, kisha wanategemea mbeleko ya vyombo vya Dola, au tume isiyo huru ya uchaguzi kukaa madarakani! Hata wakileta Miradi elfu, Bado hakuna anayejitambua atajitokeza kupiga kura kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi.
Hakuna mtu anayejitambua ataweza kuendelea kupoteza muda wake kwenye chaguzi zisizoheshimiwa. Tumewaachia goli wazi shindeni kwa kishindo bila wizi, maana hamna uwezo tena wa kushinda kihalali.Hapo Chadema itakuwa inakomoa ccm au? 🤣🤣
Mda huo nyie machadema mtakuwa mnawakomoa ccm au?Hakuna mtu anayejitambua ataweza kuendelea kupoteza muda wake kwenye chaguzi zisizoheshimiwa. Tumewaachia goli wazi shindeni kwa kishindo bila wizi, maana hamna uwezo tena wa kushinda kihalali.
We ni bwege lisilo na haya. Miradi mingi ni ya tangia wakati wa Magu au ndio umeamka usingiziniUkijaribu kuangalia kwa makini utaona hata hapo mtaani kwenu kuna kamradi aidha kataanza mwaka huu au mwakani YANI mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali kuu na serikali za mitaa.
Miradi hii yaweza kuwa zahanati shule barabara maji umeme nk.
Je, hii sio rushwa? @LukasMwashambwa
Hapana, tunataka kuwafurahisha ccm maana hawawezi kushindana tena kihalali.Mda huo nyie machadema mtakuwa mnawakomoa ccm au?
Kule kijiji cha Msimbati, mkoani Mtwara inakotoka gesi, wamebomoa kituo cha polisi na wanaanza kukijenga kipya mahala palepaleUkijaribu kuangalia kwa makini utaona hata hapo mtaani kwenu kuna kamradi aidha kataanza mwaka huu au mwakani YANI mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali kuu na serikali za mitaa.
Miradi hii yaweza kuwa zahanati shule barabara maji umeme nk.
Je, hii sio rushwa? @LukasMwashambwa
Vita ni akili ukitaka kuvuna mazao bora tayarisha shamba vyema!Ukijaribu kuangalia kwa makini utaona hata hapo mtaani kwenu kuna kamradi aidha kataanza mwaka huu au mwakani YANI mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali kuu na serikali za mitaa.
Miradi hii yaweza kuwa zahanati shule barabara maji umeme nk.
Je, hii sio rushwa? @LukasMwashambwa