Kwanini CCM na Vyama vya Upinzani havina urafiki sana na Urusi ,je tuna viongozi vibaraka wa mabeberu ?

Kwanini CCM na Vyama vya Upinzani havina urafiki sana na Urusi ,je tuna viongozi vibaraka wa mabeberu ?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Urusi ndiye rafiki wa kweli wa Afrika

Alipambana pamoja na Afrika kipindi cha Ukoloni

Alilia pamoja na Afrika mashujaa wetu walipouawa na mabeberu

Mpaka sasa bado anakwenda tofauti na mabeberu wanaponyonya Afrika

Najiuliza zile nchi zilizotutawala na kutunyonya ndiyo marafiki wakubwa wa vyama vyetu kwa sasa

Kwa sasa nauona huu urafiki na ukaribu na Russia kwa wachache hasa Rais wa Bukina faso ,ndiye pekee anakumbuka mchango wa Russia afrika .

View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=53Iq9WtDx9E5LQFK

Je bado tunatawaliwa na viongozi wanatumiwa na mabeberu kutunyonya?

 
Urusi inahitaji zaid masoko ya bidhaa na huduma kuliko malighafi.
Kwahiyo hawahitaji fitina nyingi kama mabeberu wenzao wanao scramble.
 
Hizi ndizo akili za Muafrika , akili ndogo , uwezo mdogo wa kufikiri . Kwani hii Nchi kwa mali ilizonazo ina hitaji misaada yao ? Afrika haiwezi jitegemea ?
Afrika bado tuna safari ndefu sana kama bado karne hii tunasubiri Dawa , vifaa, matundu ya vyoo na pesa za misaada kutoka kwa wananchi wa Nchi nyingine walizozitolea jasho
 
Urusi ni rafiki wa madikteta wa dunia, na Urusi hajawahi kuchangia bajeti yenu hata sumni wakati hao manowaita mabeberu kila mwaka wanawapa 40% bure tu. Wasingekuwepo hadi leo ungekua sitimbi hata kaptula huijui.
 
Urusi ndiye rafiki wa kweli wa Afrika

Alipambana pamoja na Afrika kipindi cha Ukoloni

Alilia pamoja na Afrika mashujaa wetu walipouawa na mabeberu

Mpaka sasa bado anakwenda tofauti na mabeberu wanaponyonya Afrika

Najiuliza zile nchi zilizotutawala na kutunyonya ndiyo marafiki wakubwa wa vyama vyetu kwa sasa

Kwa sasa nauona huu urafiki na ukaribu na Russia kwa wachache hasa Rais wa Bukina faso ,ndiye pekee anakumbuka mchango wa Russia afrika .

View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=53Iq9WtDx9E5LQFK

Je bado tunatawaliwa na viongozi wanatumiwa na mabeberu kutunyonya?

View attachment 3100003

Hilo halihitaji darubani kuliangalia!
 
Kama hujui unalishwa utakuwa kinda nenda google au uliza watawala wanavyoenda kupiga goti kwa wanaowaita mabeberu utafikiri wanampigia yesu!
Tatizo ni watawala na akili za watawaliwa ambao wanaamini bila misaada ya wazungu huwezi ishi
 
Afrika bado tuna safari ndefu sana kama bado karne hii tunasubiri Dawa , vifaa, matundu ya vyoo na pesa za misaada kutoka kwa wananchi wa Nchi nyingine walizozitolea jasho
Huu ndiyo uhalisia, hakuna cha kusingizia West wala Russia. Kama huna rasilmali watu wenye uzalendo na teknolojia hakuna lolote litakalotufanya tuendelee.
Sisi tukomae na siasa za majitaka tu.
 
Tatizo ni watawala na akili za watawaliwa ambao wanaamini bila misaada ya wazungu huwezi ishi

Hii sio imani kiongozi, bila wazungu hata wewe haupo! Hii sio roho mtakatifu, we umelipa kodi kiasi gani mwaka huu labda tuanzie hapo? Laki zako na nusu zinaweza kuendesha V8 tu za kuanzia namba 1 hd mkuu wa wilaya? Walipa kodi 3m walishwaji 57m unatoa wapi kaka, acha kujifariji Afrika bado sana, hadi wajitambue kwanza hao wa juu
 
Back
Top Bottom