Kwanini CCM na Vyama vya Upinzani havina urafiki sana na Urusi ,je tuna viongozi vibaraka wa mabeberu ?

Kwanini CCM na Vyama vya Upinzani havina urafiki sana na Urusi ,je tuna viongozi vibaraka wa mabeberu ?

Hii sio imani kiongozi, bila wazungu hata wewe haupo! Hii sio roho mtakatifu, we umelipa kodi kiasi gani mwaka huu labda tuanzie hapo? Laki zako na nusu zinaweza kuendesha V8 tu za kuanzia namba 1 hd mkuu wa wilaya? Walipa kodi 3m walishwaji 57m unatoa wapi kaka, acha kujifariji Afrika bado sana, hadi wajitambue kwanza hao wa juu
Hii sio kweli tatizo nchi kama nchi kuanzia viongozi mpaka watawaliwa hawako tayari kujitawala
 
Hii sio kweli tatizo nchi kama nchi kuanzia viongozi mpaka watawaliwa hawako tayari kujitawala

Yes ila samaki anaanza kuoza kichwani! Kichwa kikipona wengine wanapona fasta tu na kikioza wa chini wanatoa mafunza tu, akiongea mkubwa tazama machawa wanavyopishana kushindana! Watawaliwa hawa wanaoamini kujitegemea kutaletwa na maombi?
 
Hizi ndizo akili za Muafrika , akili ndogo , uwezo mdogo wa kufikiri . Kwani hii Nchi kwa mali ilizonazo ina hitaji misaada yao ? Afrika haiwezi jitegemea ?
Mjitegemee kwa akili zipi mlizonazo ?
Kama toothpicks tu mna import mtaweza kuunda hata pikipiki nyie watoto wa chura kiziwi ?
 
Mkuu Nehemia
Urusi ndiye rafiki wa kweli wa Afrika

Alipambana pamoja na Afrika kipindi cha Ukoloni

Alilia pamoja na Afrika mashujaa wetu walipouawa na mabeberu

Mpaka sasa bado anakwenda tofauti na mabeberu wanaponyonya Afrika

Najiuliza zile nchi zilizotutawala na kutunyonya ndiyo marafiki wakubwa wa vyama vyetu kwa sasa

Kwa sasa nauona huu urafiki na ukaribu na Russia kwa wachache hasa Rais wa Bukina faso ,ndiye pekee anakumbuka mchango wa Russia afrika .

View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=53Iq9WtDx9E5LQFK

Je bado tunatawaliwa na viongozi wanatumiwa na mabeberu kutunyonya?

View attachment 3100003


Mkuu Nehemia Kilave

Nawe pia umeingia kwenye huu mtego kuwa Tanzania kuna CCM halafu kuna wapinzani wa CCM?

Nakupa hii itakufaa uendako, mpinzani wa CCM ni CCM wenyewe. Ichukue hii, itakufaa!

c.c. Pascal Mayalla
 
Miaka yote Urusi kaifanyia nini Africa? Kwanza lugha yake ngumuu afu jamaa wabinafsi sana - madikteta.
 
Kama hujui unalishwa utakuwa kinda nenda google au uliza watawala wanavyoenda kupiga goti kwa wanaowaita mabeberu utafikiri wanampigia yesu!
Wajinga huongezeka wenye hekima wakikaa Kimya
Eti nenda Google kwani Google ya nani unadhani Google utakuta kitu kibaya cha mzungu acheni ujinga nyiny LGBT
 
Namkumbuka zitto kabwe vita vilipoanza tu Ukraine walikusanywa vyama ving vy upinzani Afrika wakapelekwa mpk Ukraine waliporud wakaanza propaganda dhidi ya urusi kuwa kavamia nchi ya mwenzake mara Israel akakalia maeneo ya wapalestina wakamuliza vipi mbona usemi chcht juu ya hili nalo
Nilichojifunza wapinzani wapo kwa ajili ya kusukuma ajenda za wakoloni
 
Urusi ni rafiki wa madikteta wa dunia, na Urusi hajawahi kuchangia bajeti yenu hata sumni wakati hao manowaita mabeberu kila mwaka wanawapa 40% bure tu. Wasingekuwepo hadi leo ungekua sitimbi hata kaptula huijui.
Kuna pahala umezolewa na upepo wa misaada.
Toka nje ya box na ufikirie kwamba kuna kundi la mabeberu linakuibia milion na kukupa msaada wa jero.
 
Kuna pahala umezolewa na upepo wa misaada.
Toka nje ya box na ufikirie kwamba kuna kundi la mabeberu linakuibia milion na kukupa msaada wa jero.

Waambie ccm yenu, waniambia mie kweli? Mbna unapoteza energy mahali sio sahihi?
 
Wajinga huongezeka wenye hekima wakikaa Kimya
Eti nenda Google kwani Google ya nani unadhani Google utakuta kitu kibaya cha mzungu acheni ujinga nyiny LGBT

Ukikua utaajifunza nakuignore tu, akili kisoda
 
Back
Top Bottom