ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Wakati huo Mkuu wa nchi(Rais) anakuwa nani kwenye hiyo kamati. Acheni upotoshaji kwa story za vijiwe vya magazetiMkuu wa Majeshi ndio Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa Taifa ( national defense council) ; na katika hali ya Vita au dharura command inatoka kwake… au kwenye operesheni za pamoja
Nijuavyo mimi hao wengine wote wanaripoti kwa CDF kwa ajili ya compilation ya taarifa zaoNimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Acha upotoshaji, kila mmoja ana report kwa Mamlaka iliyomteua. Hiyo inafanyika kwakuwa kila mmoja ana majukumu yake na hawaingiliani katika majukumu. Hicho unachosema hakipo.Nijuavyo mimi hao wengine wote wanaripoti kwa CDF kwa ajili ya compilation ya taarifa zao
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Mimi niwe polisi kudadeki walahiWewe utakua polisi!
Military ni jeshi na Force ni kikosi tu!
TISS,PCCB,Uhamiaji na hao Polisi hawafundishwi matumizi ya siraha nzito! Mfano huwezi kuta kifaru kipo kwenye kikosi cha Polisi,PCCB au Uhamiaji!
Rais anapokua anakabidhi madaraka kwa mwingine kwa nini CDF ndiyo hua anasimama na Rais na sio IGP,DG-TISS DG-PCCB,CGI,CGF au CGP??
Haya nipe kirefu cha TpDf kwa kiingereza, halafu niambie kwa nini imemalizia Force mwishoni?Wewe utakua polisi!
Military ni jeshi na Force ni kikosi tu!
TISS,PCCB,Uhamiaji na hao Polisi hawafundishwi matumizi ya siraha nzito! Mfano huwezi kuta kifaru kipo kwenye kikosi cha Polisi,PCCB au Uhamiaji!
Rais anapokua anakabidhi madaraka kwa mwingine kwa nini CDF ndiyo hua anasimama na Rais na sio IGP,DG-TISS DG-PCCB,CGI,CGF au CGP??
We bwashee weweHiyo ndio maana yake,kama unatafsiri neno la kingereza kwa neno la kiswahili kama lilivyo,yaani force=nguvu,,ndio maana nikakuomba rudi shule
Military=Jeshi lizaa force=vikosi na ndio maana unapata mtoto kama Air force =Jeshi la anga,unapata mtoto Army force =Jeshi la Ardhi,unapata Navy=jeshi la baharini nk
Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?
Huu uzi sikutakiwa kuuingilia hata kidogo bora ningebaki kule kwa rikiboy kula tunda kimasikhara ila upotoshaji umekuwa mwingi sana.Acha upotoshaji, kila mmoja ana report kwa Mamlaka iliyomteua. Hiyo inafanyika kwakuwa kila mmoja ana majukumu yake na hawaingiliani katika majukumu. Hicho unachosema hakipo.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
kwenye National security Council kwa ngazi ya Kitaifa mwenyekiti ni Amiri jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama ambaye ni raisi wa nchi.Mkuu wa Majeshi ndio Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa Taifa ( national defense council) ; na katika hali ya Vita au dharura command inatoka kwake… au kwenye operesheni za pamoja
Compilation ya taarifa zote zinafanywa na maafisa vipenyo, acha upotoshajiNijuavyo mimi hao wengine wote wanaripoti kwa CDF kwa ajili ya compilation ya taarifa zao
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Tupe tofauti kati ya Military , Army na Defense Forces bila kugoogle.As long as wanaitwa force basi hawana tofauti na fire and rescue[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tofauti Yao ni majukumu tu
ulivyozaliwa ulikuwa ghafla tu ukajua kusoma na kuandika au ulipelekwa shule ndio ukafundishwa kujua kusoma na kuandika.Tupe tofauti kati ya Military , Army na Defense Forces bila kugoogle.
Idara tu izo sio majeshiJeshi/Army/Millitary ni moja hao wengine vikosi vya wahuni tu.
Jibu swali.ulivyozaliwa ulikuwa ghafla tu ukajua kusoma na kuandika au ulipelekwa shule ndio ukafundishwa kujua kusoma na kuandika.
You nailed itHivi ukiambiwa Juma Anthony ni mwanajeshi.Unauliza tena ni Polisi Magereza au Uhamiaji?
Au unakuwa umeelewa?
Jw huwa wanawaogopa Polisi ccmBrigadier General anateuliwa na Raisi? Raisi ambaye ni mwanasiasa hivyo hutumika pia kisiasa.
Ushahidi ni issue ya gas kule Mtwara walienda kuizima kina nani?
Hakuna jeshi lisilo tumika kisiasa ila yapo yanayotumika zaidi kuliko mwingine [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Brother hii ndio nasikia kwako, kwa nini wawaogope?Jw huwa wanawaogopa Polisi ccm
Prof. .... dunaini kote ukitamka tu neno JESHI default understanding ni Jeshi la Ulinzi; kwa Tanzania ni JWTZ. Hivyo, kwa CDF kuitwa Mkuu wa Majeshi default understanding ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi; haihitaji ufafanuzi wa ziada; actually ndio kirefu cha CDF.
... hao wengine, IGP, CGI, CGP, n.k. ili kueleweka una-refer jeshi lipi (kuondoa default understanding) lazima ufafanue - Mkuu wa Jeshi la Polisi, n.k. Hope umeelewa.
Mkuu wa Majeshi Yafuatayo:Nimekuwa nikishuhudia CDF akiitwa mkuu wa majeshi ilihali jeshi la Magereza,Polisi na Uhamiaji yanao wakuu wao.
Sasa ni ipi sababu hasa ya CDF kuitwa mkuu wa majeshi?