Kwanini CDF aitwe Mkuu wa Majeshi wakati Polisi, Magereza na Uhamiaji wana wakuu wao?

Kwanini CDF aitwe Mkuu wa Majeshi wakati Polisi, Magereza na Uhamiaji wana wakuu wao?

Mkuu wa Majeshi Yafuatayo:
1. Majeshi ya Anga - AirForce
2. Majeshi la Majini - NavyForce
3. Majeshi ya Ardhini - LandForce

Wengne ni
1. IGP - TPF
2. DGIS - TISS
3. CGP - TPS
4. CGI - Uhamiaji
5. CGF - Fire & Rescue
Kwanza hakuna neno majeshi ya anga, majini au ardhini,
bali kwa waswahili wanasema:
jeshi la wanamaji
jeshi la anga
jeshi la Ardhini

pili umetumia sheria ipi kuwaweka wote hapo? Nadhani tatizo ni lile lile elimu kwa Watanzania na nyie walinzi wetu.

Tatu kwenye sheria hakuna zimamoto na uokoaji, ila anaweza kualikwa kama expert kwenye masuala ya majanga na moto, Tra kwenye mauala ya makusanyo, Bot kwenye masuala ya uchumi na banking
 
Naona waden na constables mmejaa nyembee 😃😃 eti constable chacha ina maana lile depo la CCP ni uraia ule waden mabula kiwira mnauza mboga🤣🤣🤣
Jeshi ni moja tu Mtipidii wengine raia tuu
 
Mkuu wa Majeshi Yafuatayo:
1. Majeshi ya Anga - AirForce
2. Majeshi la Majini - NavyForce
3. Majeshi ya Ardhini - LandForce

Wengne ni
1. IGP - TPF
2. DGIS - TISS
3. CGP - TPS
4. CGI - Uhamiaji
5. CGF - Fire & Rescue
Acha kutupiga na kitu kizito, tena chenye ncha kali. Anawezaje kuratibu utendaji wa hivyo vyombo vingine ikiwa hawahusiani taratibu za kiutendaji na kiutumishi? Ni sawa Mangi wa wachaga pia awe ndiyo Chifu wa kabila la Wahehe ambao wana mila na desturi tofauti na za Wachaga?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa majeshi ya ulinzi
Humo kuna jeshi la maji, hewa nk.
 
Simple sana, Jwtz ni Jeshi la Ulinzi, Polisi ni Jeshi la usalama.
Ukisikia Amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama manake ndio Yaani Mkuu wa Tpdf, police, magereza,Tis uhamiaji na zima moto.
CDF kuitwa mkuu wa Majeshi ya Ulinzi manake mkuu wa Landforce,Navy,Air force n.k.
Mengine ni Makasiriko tu lakini uhalisia ndio huo.
 
Usalama wa Taifa siyo jeshi kwasababu hawana mizinga, vifaru, ndege.
Nature ya kazi yao ndio inafanya lisiwe jeshi.

Pili sheria yao inawalimit kwenye taratibu za covert operations na ushushu.

Ila sio lazima mizinga, vifaru na ndege ndio idara iitwe jeshi.

Hivyo hayo yako yamebase kwenye simple example ila sio ukweli.

Mfano ni coastal guard ya Marekani sio complicated kuliko Navy ila ni jeshi.
 
We bwashee wewe
Kajifunze upya kwanza maana hata ulicho andika hakiconcile na maana yake.
Sasa Tanzania tuna Force tu, kwa hiyo ni vikosi tu?
Tanzania tuna Military force inayoitwa JWTZ, aka TPDF
Military imegawanyika katika vikosi tafauti kama vile Air force,Army Force,Navy,Artillery force,..

Matatizo ya Watanzania kingereza kimekupigene chenga...
 
Tutajie hiyo sheria[emoji16][emoji16][emoji16]

Tofautisha sheria na mazoea yaliyotokana na Utamaduni wa kikoloni.

Pia Kuna kitu kinaitwa division na specialization.

Ulitaka polisi waendeshe kifaru kumkimbiza mwizi wa kuku
Si mazoea, am not shure ni sheria kifungu kipi.. lakin kipo. Jeshi la wananchi tu ndio jeshi kamili. The rest si majeshi.Duniani kote police sio jeshi kamili. Linaweza kuwa militarized lakin haimaanishi kuwa ni jeshi kamili.
I know divisions an units lakin zote ziko ndani ya taasis husika.
 
Si mazoea, am not shure ni sheria kifungu kipi.. lakin kipo. Jeshi la wananchi tu ndio jeshi kamili. The rest si majeshi.Duniani kote police sio jeshi kamili. Linaweza kuwa militarized lakin haimaanishi kuwa ni jeshi kamili.
I know divisions an units lakin zote ziko ndani ya taasis husika.
Basi usijibu kitu usichokijua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Duniani kote ukimaanisha nini? Kwamba Tanzania ipo sayari ya Saturn?

India ipo kule alpha centauri

Australia ipo nje ya known world

Hiyo ni USA ndiyo unayo refer ambao wao wanabidi wamilitarised police, kwa sababu police kule sio jeshi na haipo chini ya federal government.
Ni kama sisi na KMKM na jku, unaweza kuwadeploy Tanganyika?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ulishaona police wanapindua nchi
Ila stick kwenye mada jombaa, maana kama una maswali personal kuhusu police Mimi siwezi kujua.

Mimi najibu kulingana na sheria ninavyozisoma ila huko deep utakuwa unanionea.

Screenshot_20220828-211135.jpg
 
Si mazoea, am not shure ni sheria kifungu kipi.. lakin kipo. Jeshi la wananchi tu ndio jeshi kamili. The rest si majeshi.Duniani kote police sio jeshi kamili. Linaweza kuwa militarized lakin haimaanishi kuwa ni jeshi kamili.
I know divisions an units lakin zote ziko ndani ya taasis husika.
Kwani jeshi kamili linatakiwa liwe na nini?
 
Back
Top Bottom