Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?