Kwanini CDF mpya bado hajatangazwa?

Kwanini CDF mpya bado hajatangazwa?

Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.

Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.

Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Hiki unachokiuliza ulikiona lini hapa nchini hadi iwe news kwa leo? Mambo mengine tuwe tunayaacha tu siyo kukaa tu nyuma ya 'kibodi' na kuandika tu...🙏🙏🙏
 
Akitangazwa kwenye mwezi wa mwisho kabla ya wa sasa kustaafu wala haimaanishi kwamba watakuwa wawili.

Barua za uteuzi huwa zinasema uteuzi huu unaanza mara moja au tarehe ya mbele na hata ya nyuma tumewahi kuona.
Bro Jeshi haliendi hivyo usidhani ile nafasi ni ya kisiasa. Haina mihemko wala haihitaji mbwembwe
 
Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.

Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.

Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Lile ni jeshi lina taratibu zake. Mostly hawafanyi kazi in public. Si lazima ujue mchakato wao si taasisi ya kiraia
 
Jeshi ni mali ya umma na mchakato kama wa kumpata mkuu wa Jeshi ulipaswa kueleweka kwa umma.
Linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Lile ni jeshi lina taratibu zake. Mostly hawafanyi kazi in public. Si lazima ujue mchakato wao si taasisi ya kiraia
 
Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.

Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.

Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Wanasubiri Kwanza wanaotakiwa kuwa CDF wamalize kutoka kwa Waganga Wao wa Kienyeji huko walikoenda Wamtangaze.
 
Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.

Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.

Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Una umri gani hapa tanzania kwanza halafu ndo upate majibu
 
Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.

Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.

Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Atatangazwa tarehe 01/07/2022 na ataapishwa siku inayofuata. Transition jeshini haina shida itafanyika smoothly tu.
 
Jeshi ni mali ya umma na mchakato kama wa kumpata mkuu wa Jeshi ulipaswa kueleweka kwa umma.
Linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Mkuu umeandika kwa akili kubwa sana.
 
Hiki unachokiuliza ulikiona lini hapa nchini hadi iwe news kwa leo? Mambo mengine tuwe tunayaacha tu siyo kukaa tu nyuma ya 'kibodi' na kuandika tu...🙏🙏🙏
Umeuwekea mipaka ufahamu wako. Swali langu lina mantiki kubwa sana.
 
Unamuuliza nani akupe majibu sahihi JF? Si nenda ofisi ya mambo ya ndani ukaulize na uwaambie unataka kujua ili iwe nini? Acha ushamba na ujuaji wa kipuuzi namna hiyo,mada zingine hata hazisaidii pamoja na kwamba kuna uhuru wa mtu kutoa maoni yake
Ukikua mkubwa utaanza kuelewa maswali ya kikubwa. Jitahidi ule mlo kamili ili uboreshe afya ya akili.
 
Kwa mujibu wa protokali Tanzani inakuwa na CDF mmoja tu, hivyo huwezi kutangaza mwingine wakati aliyepo hajaondoka. The same happened wakati Magufuli alipomtengua Mkuwa Usalama wa taifa, alitengua na kumtangaza Diwani na akaapishwa siku hiyo hiyo fasta...
CAG
 
Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.

Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.

Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Huenda inasubiriwa siku ya kustafu rasmi.
 
Back
Top Bottom