Hiki unachokiuliza ulikiona lini hapa nchini hadi iwe news kwa leo? Mambo mengine tuwe tunayaacha tu siyo kukaa tu nyuma ya 'kibodi' na kuandika tu...🙏🙏🙏Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Bro Jeshi haliendi hivyo usidhani ile nafasi ni ya kisiasa. Haina mihemko wala haihitaji mbwembweAkitangazwa kwenye mwezi wa mwisho kabla ya wa sasa kustaafu wala haimaanishi kwamba watakuwa wawili.
Barua za uteuzi huwa zinasema uteuzi huu unaanza mara moja au tarehe ya mbele na hata ya nyuma tumewahi kuona.
We ni kichwa maji sana sasa unadhani jeshini ni club za mpiraTulifahamu mrithi wa Rangnick pale Man Utd wakati ligi inaendelea ingawa anaanza kazi baadae sana.
Lile ni jeshi lina taratibu zake. Mostly hawafanyi kazi in public. Si lazima ujue mchakato wao si taasisi ya kiraiaKitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Lile ni jeshi lina taratibu zake. Mostly hawafanyi kazi in public. Si lazima ujue mchakato wao si taasisi ya kiraia
Au amtangaze na kumwapisha yeye kama anaona wanachelewa.Basi rithi wewe
Wanasubiri Kwanza wanaotakiwa kuwa CDF wamalize kutoka kwa Waganga Wao wa Kienyeji huko walikoenda Wamtangaze.Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Una umri gani hapa tanzania kwanza halafu ndo upate majibuKitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Atatangazwa tarehe 01/07/2022 na ataapishwa siku inayofuata. Transition jeshini haina shida itafanyika smoothly tu.Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Mkuu umeandika kwa akili kubwa sana.Jeshi ni mali ya umma na mchakato kama wa kumpata mkuu wa Jeshi ulipaswa kueleweka kwa umma.
Linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Umeuwekea mipaka ufahamu wako. Swali langu lina mantiki kubwa sana.Hiki unachokiuliza ulikiona lini hapa nchini hadi iwe news kwa leo? Mambo mengine tuwe tunayaacha tu siyo kukaa tu nyuma ya 'kibodi' na kuandika tu...🙏🙏🙏
Miaka ya mtu mzimaUna umri gani hapa tanzania kwanza halafu ndo upate majibu
Ukikua mkubwa utaanza kuelewa maswali ya kikubwa. Jitahidi ule mlo kamili ili uboreshe afya ya akili.Unamuuliza nani akupe majibu sahihi JF? Si nenda ofisi ya mambo ya ndani ukaulize na uwaambie unataka kujua ili iwe nini? Acha ushamba na ujuaji wa kipuuzi namna hiyo,mada zingine hata hazisaidii pamoja na kwamba kuna uhuru wa mtu kutoa maoni yake
Nina zaidi ya miaka 45...Wewe ni kijitu kishamba sanaUkikua mkubwa utaanza kuelewa maswali ya kikubwa. Jitahidi ule mlo kamili ili uboreshe afya ya akili.
Miaka haimaanishi umekua kiakili.Nina zaidi ya miaka 45...Wewe ni kijitu kishamba sana
CAGKwa mujibu wa protokali Tanzani inakuwa na CDF mmoja tu, hivyo huwezi kutangaza mwingine wakati aliyepo hajaondoka. The same happened wakati Magufuli alipomtengua Mkuwa Usalama wa taifa, alitengua na kumtangaza Diwani na akaapishwa siku hiyo hiyo fasta...
Huenda inasubiriwa siku ya kustafu rasmi.Kitendo cha CDF wa sasa kuanza rasmi kuaga viongozi wa kitaifa kinatafsiriwa kwamba tàyari ameshapatikana atakayemrithi.
Tunaona katika nchi zilizoendelea na hata makampuni makubwa mrithi wa kiongozi mkuu huwa anatangazwa mapema sana na transition inafanyika kirahisi.
Kwanini mpaka sasa hivi haijatangazwa mrithi wa Mabeyo?
Jeshi halina utaratibu huo kwa sababu lazima kwanza apandishwe cheo na kuwa 4 star General, then ateuliwe kuwa CDF, kwa utaratibu huwa hatuna 2 Generals (4 star) kwa wakati mmoja.Kutangaza kwamba atarithi kuanzia tarehe ya huyu kustaafu watakuwa wawili?