Kwanini CHADEMA au Tundu Lissu wana ukaribu sana na Ubelgiji?

Kwanini CHADEMA au Tundu Lissu wana ukaribu sana na Ubelgiji?

Walikuwa wanamuondoa Mkomunisti.
Sasa kwa namna ulivyoandika hapa ni kwamba kuwa mkomunist ni kosa
Katika Siasa za wakati huo wa Cold War Ubelgiji ikiwa kama Nchi ya Ulaya Magharibi isingeweza kumkabidhi Koloni la Congo Free State Lumumba mwenye mrengo wa Siasa za Mashariki na USSR.

Je nafurahia kile kitendo? Hata siku moja ila kukumbushana Historia ni jambo jema kama Member wa humu.
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
belgium ndio engineer wa vita vya wenyewe kwa wenyew africa hata rwanda yeye ndio muhusika mkubwa wakuwagawanya wahutu na watutsi, congo yupo pia ni watu wa devide and rule tactic
 
Wala usishtuke Belgium kule ni mbinde tu,
Huyu angepewa hifadhi yakueleweka hakyanani usingemuona anapigizana makelele bongo hapo.
Status yake kule ni mkimbizi km wakimbizi wengine aliowakuta.
Toka Congo,Rwanda, Burundi,Iraq,Iran etc acha huko west Africa.
Kaona chenga kule ndo mana kaja kubagazana na uenyekiti ili wale wote sawa.
Hakuna mwanasiasa mwenye hila kama huyu jamaa.
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
muungwana si kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
 
Wala usishtuke Belgium kule ni mbinde tu,
Huyu angepewa hifadhi yakueleweka hakyanani usingemuona anapigizana makelele bongo hapo.
Status yake kule ni mkimbizi km wakimbizi wengine aliowakuta.
Toka Congo,Rwanda, Burundi,Iraq,Iran etc acha huko west Africa.
Kaona chenga kule ndo mana kaja kubagazana na uenyekiti ili wale wote sawa.
Hakuna mwanasiasa mwenye hila kama huyu jamaa.
Acha uongo binti
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Pia ubeleji ni dungeon/den ya ma-spy dunia nzima. Wako hapo kwa maelfu kama sio malaki. Wa nchi mbalimbali na wa kukodiwa kwa mission maalum.

Kazi zote safi na chafu zinasukwa hapo. Ukitaka silaha halali au haramu, ni hapo.

Panawavuta sana kwa sababu ni makao makuu ya jumuiya ya Ulaya, kila taifa linapeleka ma spy wake hapo, iwe taifa la Ulaya, au nchi yenye balozi hapo jumuiya.

Kwa hiyo hata Lissu asiaminiwe asilani, ameshakuwa cloned
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?

..kwanini Tanzania ina mahusiano ya kibalozi na Ubelgiji?
 
Pia ubeleji ni dungeon/den ya ma-spy dunia nzima. Wako hapo kwa maelfu kama sio malaki. Wa nchi mbalimbali na wa kukodiwa kwa mission maalum.

Kazi zote safi na chafu zinasukwa hapo. Ukitaka silaha halali au haramu, ni hapo.

Panawavuta sana kwa sababu ni makao makuu ya jumuiya ya Ulaya, kila taifa linapeleka ma spy wake hapo, iwe taifa la Ulaya, au nchi yenye balozi hapo jumuiya.

Kwa hiyo hata Lissu asiaminiwe asilani, ameshakuwa cloned

..Na sisi tumepeleke makachero wetu Ubelgiji, na ikiwezekana kikosi cha wasiojulikana.
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Mbona huja tueleza huo urafiki unao kusumbua akili wewe upoje?

Unataka na sisi tuanze tu kupayuka kama wewe kwa jambo tusilo juwa umeliokota wapi?

Najuwa, watu mnaokoteza sana kila jambo ili tu kutafuta uchafu wa kumrushia Tundu Lissu. Kwa mfano, hapa huna hoja yoyote isipo kuwa unarusha tu uchafu hewani!
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Wewe eti ni mfuasi wa Lissu na hujui kama Lissu alienda Belgium akiwa hoi kwenye kitanda cha wagonjwa na drip toka hospital ya Nairobi baada ya shambulio la risasi 16 mwilini mwake huko Dodoma. Kuna matukio mawili yaliyoitambulisha zaidi Belgium kwa Watanzania, shambulio la Lissu na Mbwana Samata kusajiliwa huko. Kabla ya hayo sio watanzania wengi waliifuatilia hasa wasiojishughulisha na habari za kimataifa.
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Tundu Antipas Lissu ni Ishara na kielelezo halisi cha mabadiliko. Katika siasa zake amekuwa na muelekeo unaoeleweka (CONSISTENCY FOR THE LAST 20 YEARS).

Lissu sio mungo, sio mlafi, anachukia rushwa, hana bei, na anapenda mabadiliko.

Taifa kama taifa, mfumo kama mfumo hawa ndio viongozi wa kuwakumbatia na kuwasikiliza japo hatuwapendi. Tuondoe uoga tuwape nafasi kutoa maoni na ushauri wao kwa ajili ya usitawi wa taifa ni vyema mawazo yao yakasikilizwa japo hatutaki kusikia. Na huu ndio ukomavu wa siasa.

Kila mwanasiasa wa upinzani au wa chama tawala ni bore kuwa na ngozi ngumu.

Ukikoselewa unajisahihisha unasonga mbele. Hii kule mtaani kwetu inaitwa...."ukomavu wa siasa"
 
Wote tunachukia maovu ya CCM , swali la msingi mtu ambae alikuwa adui wa afrika sasa hivi kabadilika kuwa rafiki ?
Time, we ain't living in the past. Belgium ya King Leopold si Belgium ya leo ambayo Brussels ni Headquarters ya EU.
 
Acha uongo binti
Unaanza matusi?
mamaako asingekua binti nisingefemzalisha litoto lipuuzi km wewe Leo unashika keyboard kumtukana babaako.
Uliza kwenu nani alikuzalisha?
Ndo uje hapa mjinga wahed.
 
After all Belgium walikuwa wanashilikiana na Tshombe ku access sehemu zenye madini , Patrice Lumumba akaona aombe msaada Soviet union kitu ambacho hakimfurahisha USA , wanashilikiana kumuondoa lumumba . Sijaona kosa la Lumumba mpaka akastahili kuuawa
Screenshot_20241217-213159.jpg
 
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika

Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Uko sahihi kabisa, Lissu kuna kitu anakitafuta tu.
 
Back
Top Bottom