Hatari sana mabeberu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana mabeberu
Mnadanganyana sanaNenda Korea ya Kaskazini ukaabudu Dikteta.
Kwanini hebu wasome Madikteta wa North Korea wanavyosujudiwa kwa lazima na raia laa sivyo unatupwa ndani Jela na kazi ngumu.Mnadanganyana sana
Sawa mkuu. Lakini hapo kwny 'maada' ulimaanisha Nini?Mkuu hebu pitia hii maada kuna vitu utavielewa How did Patrice Lumumba die? | Britannica
🤣🤣🤣Unaanza matusi?
mamaako asingekua binti nisingefemzalisha litoto lipuuzi km wewe Leo unashika keyboard kumtukana babaako.
Uliza kwenu nani alikuzalisha?
Ndo uje hapa mjinga wahed.
Maamuzi makubwa ya ulimwengu wa nchi za Ulaya yanayogusa Africa ,serikali za Africa, in political, economic context yanaamuliwa pale collectively.Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika
Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Kwa hiyo rafiki wa Tanzania/Africa ni China siyo?Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika
Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na Ubelgiji ?
Hivi kwanini maamuzi makubwa ya Africa yaamuliwe ulaya ?Maamuzi makubwa ya ulimwengu wa nchi za Ulaya yanayogusa Africa ,serikali za Africa, in political, economic context yanaamuliwa pale collectively.
Kwanini? Kwasababu ni makao makuu ya Bunge la Europian union.
Economic sanctions kwa VIONGOZI uchwara, wa tawala za kiimla za Africa pale ndio kama mahakama.
Wabunge wa Europian union ,kamati za bunge la Europian union ziko pale Ubeligiji ,
Ni mahali pazuri kuzishtaki nchi yaani kupeleka malalamiko concern,kupeleka petition ambazo hufanya nchi za madikiteta uchwara zipate shinikizo la kutekeleza Haki za binadamu na utawala bora.
Ni hilo tu, TUAMBIE WEWE KUHUSU HANGAYA kwa Nini anenda sana UARABUNI??
Kuna nini nyuma yake??
Kuna sehemu nimeandika rafiki wa Tanzania ni China ?Kwa hiyo rafiki wa Tanzania/Africa ni China siyo?
Ignorance is bliss.
Mimi na hangaya wapi na wapi?Maamuzi makubwa ya ulimwengu wa nchi za Ulaya yanayogusa Africa ,serikali za Africa, in political, economic context yanaamuliwa pale collectively.
Kwanini? Kwasababu ni makao makuu ya Bunge la Europian union.
Economic sanctions kwa VIONGOZI uchwara, wa tawala za kiimla za Africa pale ndio kama mahakama.
Wabunge wa Europian union ,kamati za bunge la Europian union ziko pale Ubeligiji ,
Ni mahali pazuri kuzishtaki nchi yaani kupeleka malalamiko concern,kupeleka petition ambazo hufanya nchi za madikiteta uchwara zipate shinikizo la kutekeleza Haki za binadamu na utawala bora.
Ni hilo tu, TUAMBIE WEWE KUHUSU HANGAYA kwa Nini anenda sana UARABUNI??
Kuna nini nyuma yake??
Kuwa kwanza Tajiri bila utegemezi, hapo ndipo utaweza kuuamua mambo mwenyewe bila kuingiliwaHivi kwanini maamuzi makubwa ya Africa yaamuliwe ulaya ?
Nadhani tatizo ni umaskini wa akiliKuwa kwanza Tajiri bila utegemezi, hapo ndipo utaweza kuuamua mambo mwenyewe bila kuingiliwa