Kiembe kwani wewe ni mmoja wa covid-19,🤔Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya
Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama inayosikiliza kesi ya akina Mdee na kushinikiza wao ndio wawe washindi? Yaani ili haki iwe haki basi inabidi wapewe wao?
Hizi ni tabia za kidikteta, wamezianza mapema kabla ya kukabidhiwa nchi, wakikabidhiwa nchi, ukashitakiana na Chadema lazima ushindwe.
Ndio maana sioni umuhimu wa katiba mpya wanayodai
Tanzania hakuna mahakama bali kuna majengo ya mahakama yanayoendeshwa na Makada wa CCM. Kenya hapo kulikuwa na kesi ya uchaguzi wa urais, imeisha muda mrefu, hapa kuna shida gani kwenye mahakama hizi za wahuni kesi haifiki mwisho?Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya
Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama inayosikiliza kesi ya akina Mdee na kushinikiza wao ndio wawe washindi? Yaani ili haki iwe haki basi inabidi wapewe wao?
Hizi ni tabia za kidikteta, wamezianza mapema kabla ya kukabidhiwa nchi, wakikabidhiwa nchi, ukashitakiana na Chadema lazima ushindwe.
Ndio maana sioni umuhimu wa katiba mpya wanayodai
Hiyo mahakama ya wahuni ndiyo ilimuachia Mbowe?Tanzania hakuna mahakama bali kuna majengo ya mahakama yanayoendeshwa na Makada wa CCM. Kenya hapo kulikuwa na kesi ya uchaguzi wa urais, imeisha muda mrefu, hapa kuna shida kwenye mahakama hizi za wahuni kesi haifiki mwisho?
Mahakama haziko HURU acha kutuzuga.Uhuru wa mahakama
Unajijibu mwenyewe, kuwa Mahakama zetu haziko huru zinaendeshwa kwa utashi wa Wanasiasa.Hiyo mahakama ya wahuni ndiyo ilimuachia Mbowe?
Alipoachiwa Mbowe mlishangilia!!! Sasa shida nini?Unajijibu mwenyewe, kuwa Mahakama zetu haziko huru zinaendeshwa kwa utashi wa Wanasiasa.
Tulikuwa hatushangilii tulikuwa tunaicheka system ya kipuuzi iliyoasisiwa na CCM na kuifanya Mahakama kuwa chombo cha Raisi kufunga Wapinzani wake.Alipoachiwa Mbowe mlishangilia!!! Sasa shida nini?
Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya.
Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama inayosikiliza kesi ya akina Mdee na kushinikiza wao ndio wawe washindi? Yaani ili haki iwe haki basi inabidi wapewe wao?
Hizi ni tabia za kidikteta, wamezianza mapema kabla ya kukabidhiwa nchi, wakikabidhiwa nchi, ukashitakiana na Chadema lazima ushindwe.
Ndio maana sioni umuhimu wa katiba mpya wanayodai.
Kwa taarifa yako watu tunaenda kwenye hizi mahakama za hapa nyumbani sio kwa ajili ya kuziamini, bali hatuna jinsi. Kama ingekuwa kuna uwezekano tungekuwa tunatumia mahakama za kimataifa ili kupata haki. Huwa nawaelewa sana wawekezaji kwa kuamua kutumia mahakama za kimataifa maana wanajua kiwango cha upuuzi ulioko kwenye mahakama zetu.Hiyo mahakama ya wahuni ndiyo ilimuachia Mbowe?
Ilimuachia au DPP aliondoa kesi?. Uwe unaelewa unachoongea. Tanzania hakuna mahakama.Hiyo mahakama ya wahuni ndiyo ilimuachia Mbowe?
Mbowe aliachiwa na mahakama au DPP alifuta kesi? Usiwe mwepesi wa kusahau.Alipoachiwa Mbowe mlishangilia!!! Sasa shida nini?
Alipoachiwa Mbowe mlishangilia!!! Sasa shida nini?