Kwanini Chadema/BAWACHA wanaingilia Uhuru wa mahakama suala la akina Mdee? Hawa ndio wanaimba utawala wa sheria?

Kwanini Chadema/BAWACHA wanaingilia Uhuru wa mahakama suala la akina Mdee? Hawa ndio wanaimba utawala wa sheria?

Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya.

Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama inayosikiliza kesi ya akina Mdee na kushinikiza wao ndio wawe washindi? Yaani ili haki iwe haki basi inabidi wapewe wao?

Hizi ni tabia za kidikteta, wamezianza mapema kabla ya kukabidhiwa nchi, wakikabidhiwa nchi, ukashitakiana na Chadema lazima ushindwe.

Ndio maana sioni umuhimu wa katiba mpya wanayodai.
Nendeni kuzimu kwa mungu wenu wa chato mkashitaki. Hii staili huku Chadema tunaiita twanga kotekote,mtatuelewa tu
 
Nendeni kuzimu kwa mungu wenu wa chato mkashitaki. Hii staili huku Chadema tunaiita twanga kotekote,mtatuelewa tu
CCM ni makocha wachezaji katika staili hiyo, msianze kulia tu muda si mrefu, hakuna anayejinyonga mwenyewe
 
CCM ni makocha wachezaji katika staili hiyo, msianze kulia tu muda si mrefu, hakuna anayejinyonga mwenyewe
Kwani hadi sasa nani analia kama siyo nyie sukuma Gang ambao mko nje ya huu mchezo.
 
Nimeshangaa sana unaiita mahakama ya Tanzania huru?,Mahakama huru ipo marekani sio hapa
 
..Bawacha hawajaandamana kwenda Mahakamani na kuishinikiza.

..Kwa msingi huo hawajaiingilia mahakama kama unavyodai.

Hivi suala/kesi/shauri lolote likiwa mahakamani wengine wanapaswa kufanya nini?
 
Ilimuachia au DPP aliondoa kesi?. Uwe unaelewa unachoongea. Tanzania hakuna mahakama.
Unajua tuna watu wao wanajibu bila kufanya utafiti na hawana uwezo wa kujifunza tena. Yaani wamekwama.
Sasa mtu anayesema Mbowe kaachiwa na mahakama anajielewa kweli?
Ukweli ni kuwa DPP amemkimbia Mbowe na kesi yake ya mchongo.
Na tusemapo DPP tunamaanisha executive, hivyo tunajua anamuwakilisha nani na wamekimbia wote.
 
Mbowe hakuachiwa na mahakama bwege wewe! Mbowe amekimbiwa na DPP kwa kusema haoni sababu ya kuendelea na kesi!
Mahakama ndio inatoa uamuzi, mawakili wanatoa hoja tu, mbururaa
 
Hivi suala/kesi/shauri lolote likiwa mahakamani wengine wanapaswa kufanya nini?

..mahakama inatumika vibaya ktk suala hili.

..wale sio wanachama wa chama chochote hivyo hawapaswi kuwa wabunge.
 
Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya.

Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama inayosikiliza kesi ya akina Mdee na kushinikiza wao ndio wawe washindi? Yaani ili haki iwe haki basi inabidi wapewe wao?

Hizi ni tabia za kidikteta, wamezianza mapema kabla ya kukabidhiwa nchi, wakikabidhiwa nchi, ukashitakiana na Chadema lazima ushindwe.

Ndio maana sioni umuhimu wa katiba mpya wanayodai.
Wapi ambapo wameikataa hukumu ya mahakama? Kuitaka mahakama iendeshe kesi kwa muda muafaka si kuingilia uhuru wa mahakama ndiyo sababu viongozi na raia wote wamekua wakiilalamikia mahakama kwa kusuasua kuendesha kesi, kesi kuchukua zaidi ya miaka minne ni udhaifu mkubwa sana.
 
Wapi ambapo wameikataa hukumu ya mahakama? Kuitaka mahakama iendeshe kesi kwa muda muafaka si kuingilia uhuru wa mahakama ndiyo sababu viongozi na raia wote wamekua wakiilalamikia mahakama kwa kusuasua kuendesha kesi, kesi kuchukua zaidi ya miaka minne ni udhaifu mkubwa sana.
Yaani waache kusikiliza kesi za mauaji, za biashara, wahangaike na watu wanaotaka vyeo vya watu
 
Yaani waache kusikiliza kesi za mauaji, za biashara, wahangaike na watu wanaotaka vyeo vya watu
Mahakama si ghala la kutunza kesi, kinachoingia lazima kitoke haraka kisitunzwe kwa matumizi ya baadae.
 
Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya.

Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama inayosikiliza kesi ya akina Mdee na kushinikiza wao ndio wawe washindi? Yaani ili haki iwe haki basi inabidi wapewe wao?

Hizi ni tabia za kidikteta, wamezianza mapema kabla ya kukabidhiwa nchi, wakikabidhiwa nchi, ukashitakiana na Chadema lazima ushindwe.

Ndio maana sioni umuhimu wa katiba mpya wanayodai.
Sifa ya msingi ya mtu kuwa Mbunge ni kuwa mwanachama wa chama siasa. Baada ya kufukuzwa uanachama wale wanawake 19 waliopelekwa bungeni na Mahera kinyume na utaratibu wanakoma mara moja kuwa wabunge. Kesi iliyoko mahakamani ni ya kupinga wao kuvuliwa uanachama wa Chadema; siyo ubunge! Kikatiba wao siyo wabunge tena na hilo la kuondolewa bungeni halitawazuia wao kuendelea kupigania uanachama wao. Anachofanya Spika wa Bunge ni uhuni kama ule ule uliofanywa na Mahera kuwapeleka Bungeni! Ukoo wa wahuni umekabidhi hatima ya nchi!
 
Mahakama si ghala la kutunza kesi, kinachoingia lazima kitoke haraka kisitunzwe kwa matumizi ya baadae.
FIFO-First in First Out, hicho kikesi Cha juzi tu, Kuna nyingine za zamani, na priority ni murder cases
 
Back
Top Bottom