Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Uchaguzi wa kitaifa huwa 2004, 2009, 2014, na 2019 meaning mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu.Mara kadhaa niliona matangazo kwamba uchaguzi utakuwa mwaka 2023, nini kilitokea mpaka haukufanyika?
Mimi kama mpigakura ninapenda kuona safu mpya ya uongozi ili kuanza kwa maono mapya.
mpaka mwenye chama aamua atakavyo πMara kadhaa niliona matangazo kwamba uchaguzi utakuwa mwaka 2023, nini kilitokea mpaka haukufanyika?
Mimi kama mpigakura ninapenda kuona safu mpya ya uongozi ili kuanza kwa maono mapya.
Chadema ni dude kuubwa mnoo Wala sio ya kujadiliwa na punguwani kama uvccmmpaka mwenye chama aamua atakavyo π
mihemko ya nini tena kamanda πChadema ni dude kuubwa mnoo Wala sio ya kujadiliwa na punguwani kama uvccm
Vumilia teuzi zinakuja enderea kumtumikia kafirimihemko ya nini tena kamanda π
relax bas acha kupanic...Vumilia teuzi zinakuja enderea kumtumikia kafiri
Ya Chadema yanakuhusu Nini hata wasipofanya kabisa uchaguzi wewe unaumia Nini umekaa kikundu juu kujadili vitu ambavyo huna faida navyo shambengarelax bas acha kupanic...
ngoja nienderee..
uchaguzi chadema ni mpaka mwenye chama aamue ufanyike lini π
relax bas kamanda mbona mbona unayaporomosha sana asubuh na mapema namna hiyo πYa Chadema yanakuhusu Nini hata wasipofanya kabisa uchaguzi wewe unaumia Nini umekaa kikundu juu kujadili vitu ambavyo huna faida navyo shambenga
Form Moja vp hapo mwenye chama pia akisema ziwe 10 ndezi mtashangiliarelax bas kamanda mbona mbona unayaporomosha sana asubuh na mapema namna hiyo π
ni kwamba uchaguzi pale chadema ni mpaka mwenye chama chake asema sasa uchaguzi ufanyike π
sasa hapo kunahaja ya kuhemka na kuporomosha mitusi kweli π