NUMAN
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 807
- 1,164
Yaani Hawa walioshindwa science na kwenda arts Leo mnawaita elites...Lakini kutokuwa na ushawishi Kwa wanasheria siô dalili nzuri Kwa sababu Moja ya Kada nyeti naya lazima kwèñye siasa NI Sheria.
Kukosa uungwaji mkono na wanasheria haina maana nzuri kisiasa
Yaani H kunani walikuwa ndo vilaza wakati tunasoma o level na advance