Kwanini CHADEMA ina ushawishi Mkubwa katika Chama cha Wanasheria(TLS) nchini?

Kwanini CHADEMA ina ushawishi Mkubwa katika Chama cha Wanasheria(TLS) nchini?

Kiufupi ni kuwa chadema ni cha watu walioenda shule na TLS all of them ni elites so ni rahisi kuwa na influence huko.

Kwanini labda Chadema haina ushawishi katika vyama vingine Kama CWT n.k

Kwanza wanachama asilimia kubwa ya CWT ni Watumishi wa serikali tofauti na TLS ambao ni watu huru waliojiajiri.


Kitendo cha kuwa huru umejiajiri haupo chini ya serikali maana yake unaweza kuwa logically na kuleta positive impact .
TLS huu ukubwa wanaojinadi nao ni ukubwa gani? ni watu hawana impact yoyote kwa watu hebu waweke tu hapa vitu vitatu labda waliwahi kufanya vikaleta tija kwa watu. Kimekuwa ni kikundi cha kujificha kuendesha agenda ya kikundi fulani hakuna jingine.
 
Hakuna eneo ambalo CDM haina ushawishi. Kama unataka kuwa na uhakika na nilichoandika wekeni tume huru ya uchaguzi ambayo si ya CCM uone kama saa 3 na nusu asubuhi itafika kabla mtu hajala mweleka majimbo karibia yote plus urais na Miata/vijiji
 
Mbowe ni msomi wa taaluma gani? Au ninayoyasikia kuwa ni DJ yanaukweli?
Hata u dj no usomi kwani we unaelewa usomi kama Nini!!?vyeti pekee havitoshi kuitwa msomi Bali influence Yako kwa jamii ndio usomi wa kweli!!

Usomi wa vyeti ambavyo havionekani kwenye uhalisia vinafanya nini huo sio usomi Bali kumiliki karatasi za matokeo!
 
Sabato Njema!

Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?

Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Acha kuizushia TLS uongo kuwa imetekwa na Chadema.

JokaKuu zitto junior
 
Hata u dj no usomi kwani we unaelewa usomi kama Nini!!?vyeti pekee havitoshi kuitwa msomi Bali influence Yako kwa jamii ndio usomi wa kweli!!

Usomi wa vyeti ambavyo havionekani kwenye uhalisia vinafanya nini huo sio usomi Bali kumiliki karatasi za matokeo!
Kwa mujibu wa jibu lako hili Hamorapa ni msomi 😀 😀 😀
 
Mkuu kwenye siasa kikubwa ni namba. CCM inaungwa mkono na makundi mengi mno yanayofanya ishinde uchaguzi kirahisi. Kura za wahadzabe peke yao ni nyingi kuliko za wanasheria wote nchini hali inayowafanya waahadzabe wawe wa muhimu kuliko wanasheria. Pia kada zote ni nyeti. Hakuna kada yenye umuhimu kuliko nyingine.
Kwa nini inataka wakurugenzi wa halmashauri tu ndio wasimamie uchaguzi? Kwa nini tume huru imekuwa kigugumizi??
 
Sabato Njema!

Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?

Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
CHADEMA ni chama cha wapenda haki na TLS kinatetea haki za raia. Ndio maana vyama hivi viwili vina unasaba wa karibu.
 
Sabato Njema!

Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?

Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Francis Stola, Edward Hosea na Fatma Karume walikuwa ni CCM
 
Wanasheria wanafundishwa kitu kinaitwa logic thinking!

Kuna kitu wanafundishwa kinaitwa to think as a reasonable person!

Hapa ndo ililo tofauti kati ya Wanasheria na professionals wengine. Wanasheria wanafikiri sana kwenye kufanya maamuzi!

Tuache uongo kwa mtu mwenye akili timamu na anayefikiri vizuri, ni ngumu sana kushawishiwa na CCM. Huo ndo ukweli.

Hata Duniani huko, mapinduzi makubwa yalisababishwa na Wanasheria!
Salute mingi sana Mkuu..
 
Back
Top Bottom