Kwanini CHADEMA ina ushawishi Mkubwa katika Chama cha Wanasheria(TLS) nchini?

Kwanini CHADEMA ina ushawishi Mkubwa katika Chama cha Wanasheria(TLS) nchini?

Chadema hawajasema wanaachana na wajinga, wewe unawalisha maneno. Chadema inadhamira watanzania wote wajikomboe kifikra waweze kutetea haki zao, waweze kusimamia haki, kulinda rasilimali za taifa hili na kujiletea maendeleo kulingana na rasilimali za taifa hili.
CHADEMA kimejitambulisha kuwa ni chama cha wasomi. Na huwa mnasema CCM imejaa wajinga wengi. Sasa hao mnaodhani ni wajinga ndo huwa wanawaumiza kwenye sanduku la kura. CHADEMA mkiacha kuwatukana wapiga kura mtafika mbali.
 
Mmh!
Kwa madaktari, waalimu, injinia miongoni wa Wengine siô elites?
Au ndîo Hawana elimu ya utambuzi ya raia
Madaktari wanaweza, walikuja kuvurugwa na utawala wa jiwe, kumbuka enzi za akina ulimboka. Utopolo hao mainjinia Hao ndio ziro. Mtaji wao ni kazi za serikali Sasa hapo unaipingaje.
Mmh!
Kwa madaktari, waalimu, injinia miongoni wa Wengine siô elites?
Au ndîo Hawana elimu ya utambuzi ya raia
 
Sasa unaanza kufundisha kiswahili siyo? Primary education wanajikita na definitions na spellings. Educated people deals with context.

Jikague na ujicheke.
Educated people deals ❌
Educated people deal ✅
Wewe mpumbavu andika kwa kisukuma lugha unayoimudu vizuri.
 
Educated people deals ❌
Educated people deal ✅
Wewe mpumbavu andika kwa kisukuma lugha unayoimudu vizuri.
I have alredy told you. Watu wenye bachelor degree and below that deal with definitions and spellings

Sisi wasomi tunawaachia nyie mnaosoma primary issues. We always involve in context.

Nenda primary school kahangaike na watoto hapa hapakufai

By the way Sukuma are more than 20% of Tanzanians
 
Tanzania upinzani ni mkubwa ni bas tu huwezi kuona wakiandamana na wala hawako tayari kufa kisa siasa au harakati ila ukwel ni kwamba watanzania weng hawaipend na wanaichukua CCM ni bas tu wanakosa chama cha upinzani chenye kujitambu
 
Nadhani nature ya kazi yao tu inalenga kuwa jasari, kuhoji, kusaidia wengine, na kupambana. Kwahiyo hawaiogopi serekali lkn walimu, madaktari na hata kungekuwa na chama Cha mapolisi na wanajeshi mambo yangekuwa yale yale ya uchawa.
 
Sabato Njema!

Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?

Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Kinaamini katika haki Democrasia na Maendekeo ya kweli ya kizalendo.
 
Wewe unafanya nini Hapa
Kama hujui ninafanya nini hapa kwanini una quote comments zangu?

Narudia. Mawakili ni sawa na wanamziki wa bongo flava. They are very cheap. Kama NGO za ubeligiji zinawanunua na wananunulika public iki itawaamini?
 
Sabato Njema!

Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?

Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Chadema Ina ushawishi kwa watu wenye akili pia watu wa middle income

Jimbo la kawe ilipo serekali chadema hushinda kilaini
 
Back
Top Bottom