Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Basi na Tundu Lissu ni CCMFrancis Stola, Edward Hosea na Fatma Karume walikuwa ni CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi na Tundu Lissu ni CCMFrancis Stola, Edward Hosea na Fatma Karume walikuwa ni CCM
SahihiFrancis Stola, Edward Hosea na Fatma Karume walikuwa ni CCM
Kwahiyo kifo cha jiwe ndo kifo cha CCM? Ficha upumbavu wako.Hata kwenye utawala wa Jiwe tulisubiri sana mwisho siku ilifika.
CHADEMA kimejitambulisha kuwa ni chama cha wasomi. Na huwa mnasema CCM imejaa wajinga wengi. Sasa hao mnaodhani ni wajinga ndo huwa wanawaumiza kwenye sanduku la kura. CHADEMA mkiacha kuwatukana wapiga kura mtafika mbali.Chadema hawajasema wanaachana na wajinga, wewe unawalisha maneno. Chadema inadhamira watanzania wote wajikomboe kifikra waweze kutetea haki zao, waweze kusimamia haki, kulinda rasilimali za taifa hili na kujiletea maendeleo kulingana na rasilimali za taifa hili.
Madaktari wanaweza, walikuja kuvurugwa na utawala wa jiwe, kumbuka enzi za akina ulimboka. Utopolo hao mainjinia Hao ndio ziro. Mtaji wao ni kazi za serikali Sasa hapo unaipingaje.Mmh!
Kwa madaktari, waalimu, injinia miongoni wa Wengine siô elites?
Au ndîo Hawana elimu ya utambuzi ya raia
Mmh!
Kwa madaktari, waalimu, injinia miongoni wa Wengine siô elites?
Au ndîo Hawana elimu ya utambuzi ya raia
Educated people deals ❌Sasa unaanza kufundisha kiswahili siyo? Primary education wanajikita na definitions na spellings. Educated people deals with context.
Jikague na ujicheke.
I have alredy told you. Watu wenye bachelor degree and below that deal with definitions and spellingsEducated people deals ❌
Educated people deal ✅
Wewe mpumbavu andika kwa kisukuma lugha unayoimudu vizuri.
Madaktari wanaweza, walikuja kuvurugwa na utawala wa jiwe, kumbuka enzi za akina ulimboka. Utopolo hao mainjinia Hao ndio ziro. Mtaji wao ni kazi za serikali Sasa hapo unaipingaje.
Kama unataka matusi yapo kmmlk kwa kuanzia, haya endelea.Kwahiyo kifo cha jiwe ndo kifo cha CCM? Ficha upumbavu wako.
Huna usomi wowote wewe mbwigaSina muda wa kubishana na Gen Z. Stupid.
Yaani mtu unajiita MamaSamia2025.
😀 😀 😀 Usinilazimishe nikutukane. Hapa siyo Mchambawima
Kinaamini katika haki Democrasia na Maendekeo ya kweli ya kizalendo.Sabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.
Sina muda wa kubishana na Gen Z. Stupid.
Yaani mtu unajiita MamaSamia2025.
😀 😀 😀 Usinilazimishe nikutukane. Hapa siyo Mchambawima
Kinaamini katika haki Democrasia na Maendekeo ya kweli ya kizalendo.
😀 😀 😀 Usituondoe kwenye mada. Jikite kwenye mada.Huna usomi wowote wewe mbwiga
Huamini?
Kama hujui ninafanya nini hapa kwanini una quote comments zangu?Wewe unafanya nini Hapa
Wewe ndo unatuondoa kwenye mada kwa kuandika kiingereza cha hovyo.😀 😀 😀 Usituondoe kwenye mada. Jikite kwenye mada.
Chadema Ina ushawishi kwa watu wenye akili pia watu wa middle incomeSabato Njema!
Kama swali linavyoeleza Hapo juu.
Kûna MTU anaweza kuniambia nini kinapelelea CHADEMA kuwa na ushawishi ndani ya Chama kikubwa cha TLS chenye Taaluma muhimu ndàni ya nchi?
Nakabidhi Maiki kwèñu wataalamu.