Kwanini CHADEMA inaanzia Mikutano Kanda ya ziwa?

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Najaribu kufikiri na kuwaza kwanini CHADEMA inaanzia mikutano yake Mwanza? Kwanini siyo makao makuu ya nchi Dodoma? Kwanini siyo Dar ambako viongozi wengi Wa CHADEMA wanaishi?

Kwanini siyo Moshi Arusha ambako mawazo ya kuzaliwa CHADEMA yalianzia.

Swali kwanini iwe Mwanza?

Aliye majibu anijibu naomba.
 
kanda ya ziwa imebeba mikoa hii.
👇
Mwanza,Mara,Shinyanga,Geita,Simiyu,Kagera.,,lakini pia mikoa ya jirani ambayo inamuingiliano na kanda ya ziwa hususan Mwanza ambayo ndo kitovu cha kanda ya ziwa ni Tabora,Kigoma,Singida.

kanda ya ziwa ndo ukanda wenye mikoa mingi na wabunge wake wameonyesha kuwa na kauli zenye ushawishi kwa kuisimamia serikali wakiwa Bungeni.
 
Hii nayo ni post? Mod huyu anajaza servet tu , hakuna kitu hapa
 

Ni uamuzi tu, kama vile royal tour ilivyoanzia kuonyeshwa Marekani. Kwani unaumia boss?
 
Sababu ni hii....
Kwa kweli nawapongeza sana kuanzia Mwanza, kwasababu sasa hatimaye Chadema imejitambua na kujua kanda determinant za ushindi kwa uchaguzi wa urais Tanzania ni kanda gani, hivyo wameanzia hapa.
Ushauri huu ulitolewa siku nyingi nyuma!. Mwaka 2010 nilipandisha bandiko hili, CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! humo nikasema
Mwaka 2012, nikapandisha uzi huu
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi! humo nilisema
Sasa Chadema ndio wanaamka kujua nguvu ielekezwe wapi, huu ni mwanzo mzuri!, tatizo la tonge hilo, waliolishika tonge mdomoni wanajua, jee watakubali kunyang'anywa tonge mdomoni?
P.
 
Endelea kujiuliza ni tafakuri nzuri
 
 
Kanda determinant ya ushindi kwani Tanzania kuna uchaguzi, au kuna maonesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Uchaguzi upo Kenya boss.
 

Kwa sababu ndio jiji la pili kwa ukubwa na ni eneo ambalo CHADEMA waliwahi kulicontrol huko nyuma. Kwa kuchukua majimbo mawili na Manispaa ya nyamagana kabla CCM haijaanzisha jiji.
 
Sababu wasukuma ni kama ng'ombe wakiambiwa hivi wanakubali kesho wakiambiwa vile wanakubali. Awamu ya Magufuli walikuwa supporters wa CCM sasa Chadema wanaenda kuwalubuni fasta watageuka.

Jiji la mwanza ni mvhanganyiko sio wasukuma wote. Kuna kipindi majimbo yote yaliongozwa na wasio wasukuma kipindi Cha CHADEMA.
 
Kanda determinant ya ushindi kwani Tanzania kuna uchaguzi, au kuna maonesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Uchaguzi upo Kenya boss.
Hili la kufanya igizo la uchaguzi, tumelizungumza sana humu https://www.jamiiforums.com/threads...na-haja-kufanya-uchaguzi-wa-rais-2020.980346/ nilisema
Hivyo sasa uchaguzi wa kweli wa rais ni 2030 https://www.jamiiforums.com/threads...ga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/
P
 

Hata 2030 kwa katiba hii, bado utakuwa upuuzi kama upuuzi mwingine. Machafuko tu ndio yatarejesha chaguzi za kweli hapa Tanzania.
 
Hata 2030 kwa katiba hii, bado utakuwa upuuzi kama upuuzi mwingine. Machafuko tu ndio yatarejesha chaguzi za kweli hapa Tanzania.
Duh...!, kama hii ndio misimamo, basi tuna kazi kubwa mbele yetu!. Yaani una anticipates machafuko?!. Naomba endelea to anticipate that kimya kimya, ukihamasisha ni uchochezi!.

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…