Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jitahidi usiwe mtu wa hisia!!Nashangaa sana mtu mzima au kijana mwenye akili timamu akishabikia CCM, wakati viongozi wake wakiogelea kwenye utajiri wakati yeye mshabiki anaendelea kuwa maskini, mtumishi wa serikali anamiliki timu na anataka kushindana na simba na yanga kwenye usajili, wengine wanashindana kununua Nyumba dubai, alafu wewe kajamba nani uko mpwimbe unashabikia CCM, mimi sina muda na siasa kwa sababu zinaniumiza tu, bora hata CHADEMA wanaongelea mabaya ya hao watendaji wa serikali.
WASIRALisu kushika kijiti watu wamefurahi sana lakini pia chadema wanaona kama ndo watashika nchi vile??
Nini wanadhan Lisu atakibadilisha kama yule mzee asiye na bla bla wala maneno maneno ameshindwa
kwanza hana miaka 20, pili nafas aliyokuwq nayo asingeweza maana alikuwa na mtu juu yakeLisu kushika kijiti watu wamefurahi sana lakini pia chadema wanaona kama ndo watashika nchi vile??
Nini wanadhan Lisu atakibadilisha kama yule mzee asiye na bla bla wala maneno maneno ameshindwa
Ni euphoria tu. Mfupa uliomshinda Mbowe Lissu atauweza? Atafulia soonLisu kushika kijiti watu wamefurahi sana lakini pia chadema wanaona kama ndo watashika nchi vile??
Nini wanadhan Lisu atakibadilisha kama yule mzee asiye na bla bla wala maneno maneno ameshindwa
Ni angekuwa si mtendaji assinge kitetea chama kwenye kesi mbali mbali, mara ngapi ameenda head to head na serikali almost apoteze uhai?Lisu ni muongeaji siyo mtendaji kuna tofauti ya hawa watu wawili
Kwa nilivyowasikia wengi inaonyesha watu wameichoka tawala ya 6 na walihitaji mtu wa kuleta mshikemshike na tena amekuwa kilwleni basi wanaamini moto utakuwa mkali watawala wa ndioo wanabadilisha mamboLisu kushika kijiti watu wamefurahi sana lakini pia chadema wanaona kama ndo watashika nchi vile??
Nini wanadhan Lisu atakibadilisha kama yule mzee asiye na bla bla wala maneno maneno ameshindwa
Nadhani mambo ya CHADEMA tuwaachie wenyewe maana wanajua wanachokifanyaLisu kushika kijiti watu wamefurahi sana lakini pia chadema wanaona kama ndo watashika nchi vile??
Nini wanadhan Lisu atakibadilisha kama yule mzee asiye na bla bla wala maneno maneno ameshindwa
Ngoja tumpe mda tuone,then ndo tutamhukumu.Lisu ni muongeaji siyo mtendaji kuna tofauti ya hawa watu wawili
akili mbovu tu za akina lema et alLissu kushika kijiti watu wamefurahi sana lakini pia CHADEMA wanaona kama ndo watashika nchi vile?
Nini wanadhan Lissu atakibadilisha kama yule mzee asiye na bla bla wala maneno maneno ameshindwa
Ni sawa ila ngoja nijaribu.Nadhani mambo ya CHADEMA tuwaachie wenyewe maana wanajua wanachokifanya