Kwanini CHADEMA wanaonekana wa muhimu kuliko vyama vingine awamu ya sita?

Kwanini CHADEMA wanaonekana wa muhimu kuliko vyama vingine awamu ya sita?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?


Chadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa credit kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.

Jambo usilolijua ni kwama; mateso huimarisha na ukiimarishwa huja heshima.

Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.

ACT hawakijulikani wanasimamia nini.
Na kiongozi wake hana msimamo thabiti, mara mchana mtumishi wa upinzani, usiku anakula ccm.

Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe na alitumiwa kuhujumu ukawa na cdm.
Alienda hadi Mbeya kuwaksmpenia sijui madiwani wa ccm na kupewa rushwa kuwanunua akina Thelthini na wenzake.
Cuf hili ni chaka la ccm kitambo tu, tayari wameanza na kampeni Samia ashinde 2025.

CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu ili awaangushe .
Mshana Jr
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Akienda Zitto msaliti, Lipumba msaliti ila akienda Mbowe na Mnyika wao ni wapinzani wa maana?

Hii siasa ya wapinzani wa CCM ni ya kipumbavu sijawai kuona akili na mawazo yao ni kuitwa Ikulu tu
 
Chadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa krediti kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.

Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.

ACT hawakljulikani wanasimamia nini.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe.
Cuf tayari waneanza na kampeni Samia ashinde.

CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu.
Mshana Jr jr
Kwani toka Mama amepata Urais Zitto ameenda Ikulu mala ngapi?
 
Uamuzi wa busara wa Mh.Rais kuzungumza na Wapinzani wake ni Muhimu sana kwa maslahi ya Nchi na wananchi wake

Mahusiano mema ya Mh.Jakaya na Chadema yalisaidia sana utawala wake kuwa rahisi na kumaliza kwa mafanikio

Mh.Mbowe na Chadema yote wanatambua Siasa za masikilizano huimarisha sana chadema kuliko Siasa za nginja nginja
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Rudi kwenye speech ya Freeman Mbowe kwenye mkutano wa baraza kuu majibu yote ya maswali yako alishayajibu kwenye ile speech.

Dunia inakwenda mbele wewe unarudi nyuma, wengine tupo mwaka 2035 ila wewe upo mwaka 2016.
 
hakina umuhimu wowote, na wanajifanya wa muhimu kwenyw hamna, nilichogundua viongozi wote wa upinzani walimmis sana kwenda ikulu enzi za JPM kumbe wanapapemda bwana
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Haikuanza leo .

Tutamtoa_Mkoloni_Mweusi_Soon_on_Instagram%3A_%E2%80%9CMwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_akisalimiana...jpg
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Ni chama gani kimezika, kimeuguza, kimefungwa, filisiwa, pigwa risasi, nyanganywa ubunge, swekwa ndani, lkn bado kinapeta na kuimalika, ukishajua kojoa ulale
 
Uamuzi wa busara wa Mh.Rais kuzungumza na Wapinzani wake ni Muhimu sana kwa maslahi ya Nchi na wananchi wake

Mahusiano mema ya Mh.Jakaya na Chadema yalisaidia sana utawala wake kuwa rahisi na kumaliza kwa mafanikio

Mh.Mbowe na Chadema yote wanatambua Siasa za masikilizano huimarisha sana chadema kuliko Siasa za nginja nginja
Kweli JK aliongoza kwa raha, ata Mbowe alipokuwa gerezani Samia hakuwa na raha, nje na ndani ya TZ
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Chadema tulisema tunataka mazungumzo na Rais bila kuwa na watu wengine maana sisi ndio tumeumia na watanzania wengi.

Kuna wajinga wakabisa.


Leo Rais ametekeleza Hadidu za rejea ya ngapi tangu aongee na Lissu?

Mimi naona tuko ya nne sahizi.


1. Kumwachia mbowe bila masharti.
2. Kukutana na viongozi wa kuu wa chama
3. Kufuta Covid-19
4.Katiba Mpya/ mchakato
5. Uhuru wa shughuli za kisiasa na usalama kwa raia.
 
Back
Top Bottom