Kwanini CHADEMA wanaonekana wa muhimu kuliko vyama vingine awamu ya sita?

Kwanini CHADEMA wanaonekana wa muhimu kuliko vyama vingine awamu ya sita?

Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Kila mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake........!
 
Kupitia CHADEMA raia wanaweza kuwakilisha mawazo yao ktk Bunge la Wananchi


 
Chadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa krediti kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.

Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.

ACT hawakljulikani wanasimamia nini.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe.
Cuf tayari waneanza na kampeni Samia ashinde.

CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu.
Mshana Jr jr
Chadema hawanunuliki Kama kina Zitto,Lipumba,shibuda ,Chiyo na wengineo.Ngogwe walikuwa wanajipa umuhimu ambao hawana,ndiyo maana wanaishia kwenye Fiesta.
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Vyama vyote vimeshaitwa ikulu hakuna uspecial wala nini
 
Hapa tunaongelea umuhimu.
Kwani Rais alipoongea na Zitto,Juma Duni nk mazungumzo yao yalikuwa ayana umuhimu? Ila mazungumzo ya Rais na Mbowe,Mnyika nk ndio yenye umuhimu?

Embu tuambie ya wale yalihusu nini na ya hawa yanahusu nini ili tuone huo utofauti maana sisi wengine tunaona viongozi wa vyama vya Upinzani wamekutana na Rais wao Ikulu ili kujenga mstakabali mwema kwa Taifa lao kama wewe unaona tofauti tunaomba utufahamishe
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Wanaomba wenyewe kwenda Ikulu au wanaitwa Ikulu?
 
Kwani Rais alipoongea na Zitto,Juma Duni nk mazungumzo yao yalikuwa ayana umuhimu? Ila mazungumzo ya Rais na Mbowe,Mnyika nk ndio yenye umuhimu?

Embu tuambie ya wale yalihusu nini na ya hawa yanahusu nini ili tuone huo utofauti maana sisi wengine tunaona viongozi wa vyama vya Upinzani wamekutana na Rais wao Ikulu ili kujenga mstakabali mwema kwa Taifa lao kama wewe unaona tofauti tunaomba utufahamishe
Wewe unaonaje?
 
Chadema hawanunuliki Kama kina Zitto,Lipumba,shibuda ,Chiyo na wengineo.Ngogwe walikuwa wanajipa umuhimu ambao hawana,ndiyo maana wanaishia kwenye Fiesta.
Ewaaa
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Ndiyo CHADEMA ni chama chenye umhimu kuliko vyama
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Sio kwamba CHADEMA wanaonekana ni wa muhimu, huo ndo ukweli. Kuonekana wa muhimu au sio wa muhimu ni kutokana na unavyojibrand na wao ktk hilo wamefanikiwa ukilinganisha na vyama vingine
 
Chadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa krediti kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.

Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.

ACT hawakljulikani wanasimamia nini.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe.
Cuf tayari waneanza na kampeni Samia ashinde.

CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu.
Mshana Jr jr
Mkuu umeua kabisa hapo kwenye paragraph ya mwisho
 
hakina umuhimu wowote, na wanajifanya wa muhimu kwenyw hamna, nilichogundua viongozi wote wa upinzani walimmis sana kwenda ikulu enzi za JPM kumbe wanapapemda bwana
Sasa Jiwe ambaye ni sadist angweza ita nani ikulu, kumbuka kauli yake kuwa atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
 
Mahaba yako tu kijana.
Aliekuambia wameitwa kwa heshima ni nani?
Wangeitwa kwa heshima ndio Mbowe angeenda Ikulu peke yake masaa manne tu baada ya kutoka jela? Yaani kapewa muda wa kuoga na kunyoa na kubadili nguo tu?
Lissu mwenyewe ndio aliomba kuonana na Bi mdashi kule Ubelgiji.
Je hapo wameitwa au waliomba kuitwa?
Isitoshe wameitwa na mwenyekiti wa CCM sio Rais manake simuoni Makamu au Waziri Mkuu au Katibu Kiongozi au Mwanasheria Mkuu au oficer yeyote wa serikali zaidi ya
Mwenyekiti wa CCM SSH
Makamu Kinana
Katibu Chongolo..
Wamedanganywa na Jengo la Ikulu tu basi.
CDM WAMEITWA NA CCM WAKAENDA KWA HESHIMA ZOTE
Utakufa kwa kihoro wewe sukuma gang. Kaa kwa kutulia
 
Chadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?

Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Kuna Chama kimeshampitisha mgombea Urais wa Chama kingine kuwa Rais miaka 3½ kabla ya uchaguzi wenywewe. Nacho unataka kiitwe Chama cha upinzani?
 
Akienda Zitto msaliti, Lipumba msaliti ila akienda Mbowe na Mnyika wao ni wapinzani wa maana?

Hii siasa ya wapinzani wa CCM ni ya kipumbavu sijawai kuona akili na mawazo yao ni kuitwa Ikulu tu
ccm wajanja wanatumia vizuri madhaifu ya wapinzani ili wasiungane kwa kuwaaminisha cdm ni chama chenye nguvu ambacho hakihitaji kuungana na vyama vingine.
 
Rejea kauli ya Mbowe ambayo ndiyo hali halisi... Unapotaka maridhiano ya kudumu tafuta muda kutana na yule uliyemdhulumu. Usikutane na wapambe au wasindikizaji ambao hawana kumbukumbu ya kudhulumiwa chochote!
CDM walipokuwa wakidhulumiwa wengine walikuwa upande wa mdhulumaji!
CDM na ccm muhimu sana kwenye mchakato wa maridhiano!

SSH na Kinana wanazidi kuirejesha nchi kwenye ramani ya dunia.
Big up sana Mbowe! Great politician... very principled! Ni wajinga tu ndo hawaelewi mchango wake!
Kinana ana mapungufu lakini ana utu. Sio sawa na Mangula
 
Back
Top Bottom